LEO natimiza post ya 1000 ndani ya jf kwa siku 58 tangu nimejiunga.
Najua ambavyo post zangu zo ni kichefuchefu kwa members wengi humu. Lakini mie ni kilaza najijua. So huwa naandika kwanza...
Leo tu kumenuka Dar, Mbeya, Manyara........................ FFU wameshindwa sasa JW wanatumika. Amani tena ipo wapi hapa.........
Hakuna Amani tena!!
Hizi ni dalili za ukombozi zimewadia!!
Wasee mko musuri!
Mada iko open, taja mambo unayoyakumbuka makubwa ya kipekee uliyowahi kuyafanya utotomi mpka wazazi au wakubwa kiujumla wakajivunia wewe.
Nianze namimi.
1. Nakumbuka hili...
Asalam aleikhum.
Leo tulikuwa na meeting sehemu flani huko posta. Watu walikuwa wengi zsidi ya 50 tukijadiliana mambo mbalimbali.
Mimi nlifika kwa kuchelewa kidogo sababu ya Traffic Jam.baadaye...
Napenda niwape kwanza salamu toka kwa Mark Twain Gerald jamaa yangu toka Finland. Nilikuwa huko nmerudi siku chache zilizopita. Huwa anapenda kuingia ingia JF asome threads za English acheke sana...
Mke na mume walifikia maamuzi ya pamoja kujiua (committing suicide) baada ya kupitia katika nyakati ngumu za maisha yao pamoja. Hivyo wakaamua kujirusha kutoka juu ya jengo lenye ghorofa 20...
Umeshabadili ID yako inayojulikana na mwana JF fulani. Ukafungua ID nyingine akaja akakutongoza.
Wewe unamjua yeye anadhani ni member mpya au mwingine.
Unamalizanaje naye.....unamkwepa...
Wagwan rasta.....selasiii i,i & i in the name of jah, i salute you wana zengo wa jamii forum.Leo nataka kuongelea kuhusu imani ya kirastafari na kwanini nilichagua kuwa rastafari japo sijazaliwa...
Baada yakusoma maandiko mbalimbali ya umughaka humu jukwaani,na kuvitazama kwa umakini visa vyake,nimegundua tunafanana kwa vingi
1. Ulofa
Mimi ni lofa sometimes hasa kwenye kudai hela,naweza...
Habari la jioni dada zangu wapendwa.
Mada hii inawahusu wanawake ambao asubuhi mchana jioni madera tu.
Unakuta mtu siku nzima anashinda na dera halafu ndani amevaa ribukta la man united au...
Naaaaaaam
Ndugu wanajamvi,
Kuna huyu mjomba aitwaye Kiranga, huwa anasema kuwa hamwamini Mungu.
Msimwamini hata kidogo maana anaigiza aisee.
Juzi nilipandisha uzi jamvini hapa unao husu...
Baada ya kugunguliwa muungwana ni kushukuru. Nashukuru lkn sikujua kisa nimetuma picha chafu ipi.
Ni uungwana kuomba radhi. Naomba Sana. Sikujua kabisa. Viongozi wangu
Wana jf habari zenu,? Leo naomba niwakumbushe l utongozaji na mawasiliano ya me na ke ktk suala la mapenzi.
1.nikirusha jiwe juu ya paa la nyumba yenu ujue ni Mimi
2.ukitumwa sokon jitahid...
Hope wazima wana JF,
Juzi wakati nacheki habari ITV saa 2 usiku, nilipatwa na mshituko baada ya kuona umbo namba 8 la mtangazaji wa habari ITV. Baada ya kutangaza muhtasari wa habari akawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.