JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
LEO natimiza post ya 1000 ndani ya jf kwa siku 58 tangu nimejiunga. Najua ambavyo post zangu zo ni kichefuchefu kwa members wengi humu. Lakini mie ni kilaza najijua. So huwa naandika kwanza...
6 Reactions
56 Replies
1K Views
HAPPY BIRTHDAY TO ME........ Nawapenda Ndugu zangu wana Jf karibuni tukate keki[emoji512]
6 Reactions
27 Replies
2K Views
MMESHAELEWA, NIANDIKE KIPI ZAIDI??
1 Reactions
2 Replies
271 Views
Leo tu kumenuka Dar, Mbeya, Manyara........................ FFU wameshindwa sasa JW wanatumika. Amani tena ipo wapi hapa......... Hakuna Amani tena!! Hizi ni dalili za ukombozi zimewadia!!
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Msikilize
0 Reactions
0 Replies
211 Views
Mimi kusema kweli ni huyu mwamba in early 2000s (2001 na 2002) haha hadi nikawa napiga cross kama yeye tukicheza sodo.
4 Reactions
13 Replies
578 Views
Ramani ya Tanzania ya mwaka 1956 ikionyesha Makabila. Kama huoni kabila lako tafadhali tafuta vibali vya kuishi nchini.😂 i
2 Reactions
2 Replies
317 Views
Wasee mko musuri! Mada iko open, taja mambo unayoyakumbuka makubwa ya kipekee uliyowahi kuyafanya utotomi mpka wazazi au wakubwa kiujumla wakajivunia wewe. Nianze namimi. 1. Nakumbuka hili...
3 Reactions
14 Replies
655 Views
Asalam aleikhum. Leo tulikuwa na meeting sehemu flani huko posta. Watu walikuwa wengi zsidi ya 50 tukijadiliana mambo mbalimbali. Mimi nlifika kwa kuchelewa kidogo sababu ya Traffic Jam.baadaye...
42 Reactions
222 Replies
23K Views
Napenda niwape kwanza salamu toka kwa Mark Twain Gerald jamaa yangu toka Finland. Nilikuwa huko nmerudi siku chache zilizopita. Huwa anapenda kuingia ingia JF asome threads za English acheke sana...
41 Reactions
55 Replies
6K Views
Mke na mume walifikia maamuzi ya pamoja kujiua (committing suicide) baada ya kupitia katika nyakati ngumu za maisha yao pamoja. Hivyo wakaamua kujirusha kutoka juu ya jengo lenye ghorofa 20...
7 Reactions
17 Replies
631 Views
Umeshabadili ID yako inayojulikana na mwana JF fulani. Ukafungua ID nyingine akaja akakutongoza. Wewe unamjua yeye anadhani ni member mpya au mwingine. Unamalizanaje naye.....unamkwepa...
26 Reactions
365 Replies
9K Views
Wagwan rasta.....selasiii i,i & i in the name of jah, i salute you wana zengo wa jamii forum.Leo nataka kuongelea kuhusu imani ya kirastafari na kwanini nilichagua kuwa rastafari japo sijazaliwa...
19 Reactions
129 Replies
17K Views
Baada yakusoma maandiko mbalimbali ya umughaka humu jukwaani,na kuvitazama kwa umakini visa vyake,nimegundua tunafanana kwa vingi 1. Ulofa Mimi ni lofa sometimes hasa kwenye kudai hela,naweza...
4 Reactions
5 Replies
525 Views
Habari la jioni dada zangu wapendwa. Mada hii inawahusu wanawake ambao asubuhi mchana jioni madera tu. Unakuta mtu siku nzima anashinda na dera halafu ndani amevaa ribukta la man united au...
4 Reactions
59 Replies
2K Views
Naaaaaaam Ndugu wanajamvi, Kuna huyu mjomba aitwaye Kiranga, huwa anasema kuwa hamwamini Mungu. Msimwamini hata kidogo maana anaigiza aisee. Juzi nilipandisha uzi jamvini hapa unao husu...
6 Reactions
220 Replies
16K Views
Baada ya kugunguliwa muungwana ni kushukuru. Nashukuru lkn sikujua kisa nimetuma picha chafu ipi. Ni uungwana kuomba radhi. Naomba Sana. Sikujua kabisa. Viongozi wangu
9 Reactions
71 Replies
3K Views
Wana jf habari zenu,? Leo naomba niwakumbushe l utongozaji na mawasiliano ya me na ke ktk suala la mapenzi. 1.nikirusha jiwe juu ya paa la nyumba yenu ujue ni Mimi 2.ukitumwa sokon jitahid...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Hope wazima wana JF, Juzi wakati nacheki habari ITV saa 2 usiku, nilipatwa na mshituko baada ya kuona umbo namba 8 la mtangazaji wa habari ITV. Baada ya kutangaza muhtasari wa habari akawa...
3 Reactions
43 Replies
6K Views
Back
Top Bottom