Not bad when you double check eachother 🤣Umeshabadili ID yako inayojulikana na mwana JF fulani. Ukafungua ID nyingine akaja akakutongoza.
Wewe unamjua yeye anadhani ni member mpya au mwingine.
Unamalizanaje naye.....unamkwepa? unamuignore au unaenda naye hadi mwisho?
Hapo ni ukitombi tu my wanguEither anakupenda kweli umemvutia kwa mara nyingine, au ni kitombi anatongoza to giza kila mtu
Unatongozwa na binti?Umeshabadili ID yako inayojulikana na mwana JF fulani. Ukafungua ID nyingine akaja akakutongoza.
Wewe unamjua yeye anadhani ni member mpya au mwingine.
Unamalizanaje naye.....unamkwepa? unamuignore au unaenda naye hadi mwisho?
KabisaHapo ni ukitombi tu my wangu
Muache huu mchezo 😀Kuna huyo nilienda nae weee badae nikamuambia bwana mie fulani ahahaaa akasema alikuwa ananitania hapo kashaomba mtoko mara kibao shida nilikua mbali nae ningeonana nae kwa mara ya pili.
Ahahaa wa kubadili Id?Muache huu mchezo
Eeh ukitongozwa mara 2 usilie lieAhahaa wa kubadili Id?
Sasa akiwa sexless leo wakike kesho wakiume, hapo una fanyaje?Either anakupenda kweli umemvutia kwa mara nyingine, au ni kitombi anatongoza tu kila mtu
😅😅😅😅Ngoja nisome comments.kuna phaller mmoja anajua sijamstukia 😄.mdogo mdogo tutafika tunakokwenda
Hawana loloteKabisa
Na kwanini utongoze mara mbilimbiliEeh ukitongozwa mara 2 usilie lie