Kama kuna mtu atatokea hapa na kubisha basi huyo ndie rafiki mwenyewe.. Na baadhi ni marafiki zetu hapa JF
Unahitaji usaidizi wa kitu kwa mfano ununuzi wa kiwanja, nyumba, gari mtambo nknk
Sasa...
Namaste everybody
Heshima zenu wakuu.
Muziki wa kitambo miaka hio ya wahenga kabla sisi Gen Z hatuzaliwa ulikuwa mzuri sana ukilinganisha na ya sasa.
Makelele merngi sana siku hizi
Vyombo vya...
Hii tabia imekaa kiupinde sana unakuta mwanaume kabisa ananua kitanda eti bed sofa WTF!
Kihalisi kitanda cha kiume ni cha mbao, imeshindikana kabisa basi kiwe cha chuma kisicho na urembo wa sofa...
Kwanza nilipofika Oral interview wengi walikua wananiangalia sana, they was like hypnotized, nikasema hapa wameisha. mambo yakaenda vyema, sasa kazini wee, kwanza nilipofika, walidhani labda ni...
Ukiwa mume mwenye mke zaidi ya mmoja basi kila hatua unayochukua inakubidi uitafakari mara mbili. Hayo yametokea jana baada ya baba mwenye mji wake kumpost mke mdogo kwenye Status WhatsApp
Baada...
Assalaam,
Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu, namshukuru Mungu kwa kuifika siku ya leo nikiwa na afya njema.
Allah anijalie afya njema, anilinde, niishi kwa kumpendeza yeye.
Oooh ushangazi...
Nilienda dukani kununua mahitaji ya hapa na pale leo wikiend, mara pap kapita boda kapakiza dada anamzigo kama wote, ghafla nikasikia wamama wauza vitafanwa na supu wanasema " YALE MAKEBO...
Fuatana nami kwa makini kwenye hii mada hii..!
Katika ndoto, udongo unawakilisha misingi ya maisha yako, uwezo wako wa kukua kiroho, na utayari wa kupokea mambo mapya..
Kwa kuwa udongo ndio...
Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, cha kushangaza unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti
UMASIKINI NI MENTALITY NA SIO POSESSION
Pongezi kwa kila mwenye kupata riziki halali. Ukiweza kutega mifereji ya kupata shilingi kadhaa, kwa jasho lako (au hata kwa kusaidiwa)...wewe sio MTU wa mchezo mchezo..heeeko👍🏾!
Ilikuwa mida fulani hivi ya saa mbili usiku ile naingia nyumbani kabla sijafika sebuleni nikasikia ndugu zangu wanajadili "Tumemletea tiba leoleo lazima aache hizo pombe zake!"
hapo walikuwa...
Tuhuma bila ithibati!
Utani wenye uhalisia.!
Wivu wa kijinga!
Shuku kisa chitchat!
Maskhara yanapogeuka ugomvi.
Umbea kwa usiyemjua vema..!
Ma snitch!
Hisia zilizotafsiriwa kinyume!🤔😫😷
A lot of us grew up in homes where the rules were clear, teachers were respected, dinner was not a restaurant menu and kids were expected to figure some things out without a commitee meeting.
But...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.