JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Wakuu Nimekutana na hii taarifa ikiambata na video na kudai kuwa ni ushuhuda wa kwamba Lissu alieleza kuwa walikutanishwa na Padri kitima kwa lengo la kupatanishwa. Je ni kweli Lissu alisema maneno hayo? === OGOPA MUNGU na TEKNOLOJIA amewahi kusema marehemu Ruge Mutahaba. Huyu hapa Tundu Lissu anaeleza wazi namna walivyoitwa na Padri Kitima kupatanishwa yeye na Mbowe Kama alivyonukuliwa @habibu_mchange hapo Jana akihojiwa na Edwin Odemba.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…