JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Kwa sasa kumekuwepo na taarifa amabayo imechapishwa kwenye mtandao wa kijamii wa facebook kwenye ukurasa wa Katunzi Blog ukiwa na nukuu ya Iran imetoa amri ya kupiga risasi raia anayesimama na Israel Katika chapisho limeonekana kuwa na nukuu hii "Baba na mama, kama mwana wako au binti yako hawasikilizi, si kosa letu. Yeyote leo kwenye ardhi ya Iran anayetoa sauti au wimbo kutoka kooni mwake ambao unalingana na adui,miguu yake iko chini ya Tel Aviv na kichwa chake ni Netanyahu. Amri ya kumpiga risasi imetolewa. Niwaambie tu hili kwasababu hamna aliewahi kuwaambia hatutaki mtoto wako auawe kwisa ujinga wake au kutoelewa kwake" -Salar Velayatmadar kamanda wa ngaiz ya juu jeshi la IRGC Katika kufuatilia uhalisia wa chapisho hilo...
Kumekuwepo na taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook, zikidai kuwa Jeshi la Iran kupitia Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limemnyonga Jenerali Esmail Qaani, ambaye ni kiongozi wa Kikosi cha Quds. Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyochapishwa na ukurasa wa Smart tv habari sambamba na Wadada Na Mastory's ya viongozi ndani ya Iran walianza kumtilia shaka Jenerali Qaani baada ya kuokoka mashambulizi kadhaa yaliyodaiwa kufanywa na Marekani na Israel, ilhali baadhi ya makamanda waliokuwa karibu naye walifariki katika mashambulizi hayo. Ripoti hizo zinaeleza kuwa tuhuma zilianza kuibuka zikidai kwamba huenda Jenerali Qaani alikuwa akishirikiana kwa siri na shirika la ujasusi la Israel, Mossad. Madai hayo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…