Wakuu,
Hii ni vita kamili, Total War! National Al Ahly ni klabu ya tatu kwa ubora duniani na tunaheshimu hilo ila Jumanne ijayo kwetu ni vita kamili! Vitapiganwa vita kamili pale kwa Mkapa!
Hii...
Sina jambo lolote dhidi ya Sarpong.
Ushauri wangu kwa klabu ya Yanga SC ni kwamba huu ni wakati sahihi wa kuhakikisha Sarpong anaondolewa kwenye mipango ya kikosi cha kwanza cha Yanga SC...
Ni mechi ya simba kuweka record mpya
1. Al ahly baada ya kufungwa na fc buyern tu hakuna club nyingine yoyote imeifunga zaidi ya simba
2. Al ahly ndio safari yake ya kwanza kutoka baada ya mechi...
Merseyside Derby imemaliza huku ikibadili history ya Everton ya kutofunga Anfield kwa takribani miaka 21 , baada ya kumtandika Liverpool goli 2-0.
N baada ya kujinyakulia alama zote 15 kwenye...
Kwa kuwa Mtibwa nayo ni timu ina Mungu
Kwa kuwa refa naye ni binadam aanaweza kupitiwa
Namuomba Mungu afanye jambo kesho, Yanga wapigwe, halafu refa akosee awanyime goli la ofside.Halafu tuone...
Kumekuwa na udhalilishaji mkubwa juu ya brand ya Yanga kwa kisingizio cha utani wa jadi kinachofanywa na Kiongozi wa Simba anayejiita Hajji Manara.
Nimefuatilia kwa karibu ndani ya msimu huu mtu...
Baada ya kuuanza mwezi Februari kwa kichapo kizito cha goli 9-0 kutoka kwa Manchester United na kisha kupigwa tena 3-2 na Newcastle kwenye michezo ya ligi, Southampton hii leo inashuka tena...
Habari wadau,
Nadeclare interest mimi ni mshabiki wa yanga..
Ukweli kulalamikia marefa sio sahihi kwamba wanatunyima penalty, tumebebwa mechi na tumepewa penalty nyingi zisizo halali mojawapo...
Video ikionyesha wahuni wa Yanga wakiahidi kufanyia fujo marefa kama timu yao itafugwa. Mtibwa Sugar tunatoa rai kwa TFF ishirikiane na Jeshi la Polisi kuweka ulinzi na kutoa kipigo cha mbwa koko...
Timu ya Taifa ya Tanzania vijana umri chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes imeendelea kusuasua kwenye mashindano ya Afcon u-20 baada ya kucheza michezo miwili na kuambulia alama 1.
Baada ya...
Baada ya kupoteza katika mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya Afcon U20 Juma lililopita, Timu ya Taifa Tanzania ya vijana chini ya miaka 20, almaarufu Ngorongoro heroes hapo kesho wanatupa tena...
1. Je, TFF, Kamati yake ya nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo inawafanya akina Sarpong, Nchimbi na Feisal kukosa Magoli?
2. Je, TFF, Kamati yake ya nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson...
Klabu ya Yanga imesema kuwa haitendewi haki na vyombo vinavyosimamia mpira wa miguu kwa maana ya Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF),Bodi ya ligi, kamati ya ya masaa 72 na kamati ya...
Ni fedhea sana, ni aibu na haipashwi kufumbiwa Macho kwa hili la Kaze, Kaseke na Wapuuzi wengine wote wa Utopolo wanaolinajisi soka la Nchi yetu. TFF fungieni hawa wote akili zikae sawa.
Mtaitisha press conference ngapi mwaka huu?
Ni akili kutishia kujitoa kwa sababu Morrison amefunga?
Hivi huwa mnafuatilia ni makosa mangapi hufanywa na waamuzi mechi za wengine au mnadeka watu...
Makamu Mwenyekiti ZUZU. tena ni ZUZU MAJI KWELI KWELI. Ambaye anaamini na Sisi mashabiki wote ni ndugu zake. Yaani nasi ni Mazuzu Maji plus plus.
Nliwahi sema ni nani anamtumia Mwakalebela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.