Kikosi bora cha wiki Africa, Thadeo Lwanga ni bora dimba la kati

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,180
103,672
150469875_2037560666384934_801849637955361217_o.jpg


Bonus
20210216_125514159056.jpg
 
Akiendelea mchezo wa nguvu nguvu na tackle za ajabu ajabu kuna red card yake mapema katika haya mashindano.
 
Akiendelea mchezo wa nguvu nguvu na tackle za ajabu ajabu kuna red card yake mapema katika haya mashindano.
T. Lwanga sio kiungo wa kwanza duniani kwa aina yake ya uchezaji, wapo wengi na wanasurvive tu. Siku refa akiona kuwa lwanga kazidisha ugumu na anastahili kadi basi atamwonyesha.

Vinginevyo maneno ya mashabiki wengine ni takataka maana hata sheria za soka hawazijui, wamejawa na mihemko tu.
 
Akiendelea mchezo wa nguvu nguvu na tackle za ajabu ajabu kuna red card yake mapema katika haya mashindano.
Kaka kwa playing style ya Lwanga kupata kadi nyekundu ni kawaida, tazama mtu kama casemiro na fernandinho ndivyo Lwanga alivyo
 
T. Lwanga sio kiungo wa kwanza duniani kwa aina yake ya uchezaji, wapo wengi na wanasurvive tu. Siku refa akiona kuwa lwanga kazidisha ugumu na anastahili kadi basi atamwonyesha.

Vinginevyo maneno ya mashabiki wengine ni takataka maana hata sheria za soka hawazijui, wamejawa na mihemko tu.
Baadhi yao ni kama
Sergio busquet,
Blaise matuidi,
Fernandinho, na
Casemiro
 
Akiendelea mchezo wa nguvu nguvu na tackle za ajabu ajabu kuna red card yake mapema katika haya mashindano.
Yule anaitwa Tactical midfielder na moja ya kazi zake ni kusababisha tactical fouls inapotokea hatari.Na hizi fouls anatakiwa azifanye kabla mtu hajaingia kwa box.Zile faulu zake nyingi Ni za kupanga si za bahati mbaya.
 
Akikutana na wahuni wa jangwani atapigwa sub first half tu km Larry Bwalya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom