Habari wadau,
Nadeclare interest mimi ni mshabiki wa yanga..
Ukweli kulalamikia marefa sio sahihi kwamba wanatunyima penalty, tumebebwa mechi na tumepewa penalty nyingi zisizo halali mojawapo game na simba Dar. Penalty ya Kisinda na Onyango sio halali, kama unabisha tazama maridio youtube. Kagera pia tulibebwa kaitaba staidum na Gwambina pia tulibebwa.. hapo sijataja mechi zote..
Viongozi wa yanga waache janja janja za zama za Zahera waweke hela timu ipate matokeo
Kesi ya Morisson wametuletea ujanja ujanja... huwezi mleta yikpe na kumsajili bila majaribio kisha ukamleta mchezaji mwenye kiwango cha kueleweka na mwenye cv kubwa kama Morisson ukamsajili baada ya majaribio kwa mkataba wa miezi sita.
Huwezi acha mshambuliaji anaejua kujiposition kama Molinga kwamba hafai na kumbakisha Nchimbi na kumsajili Sarpong.
Sarpong na Molinga hivi kweli wanafanana?
Nchimbi vs Molinga hivi kweli wanafanana?
Nadeclare interest mimi ni mshabiki wa yanga..
Ukweli kulalamikia marefa sio sahihi kwamba wanatunyima penalty, tumebebwa mechi na tumepewa penalty nyingi zisizo halali mojawapo game na simba Dar. Penalty ya Kisinda na Onyango sio halali, kama unabisha tazama maridio youtube. Kagera pia tulibebwa kaitaba staidum na Gwambina pia tulibebwa.. hapo sijataja mechi zote..
Viongozi wa yanga waache janja janja za zama za Zahera waweke hela timu ipate matokeo
Kesi ya Morisson wametuletea ujanja ujanja... huwezi mleta yikpe na kumsajili bila majaribio kisha ukamleta mchezaji mwenye kiwango cha kueleweka na mwenye cv kubwa kama Morisson ukamsajili baada ya majaribio kwa mkataba wa miezi sita.
Huwezi acha mshambuliaji anaejua kujiposition kama Molinga kwamba hafai na kumbakisha Nchimbi na kumsajili Sarpong.
Sarpong na Molinga hivi kweli wanafanana?
Nchimbi vs Molinga hivi kweli wanafanana?