Hatuwezi kuwa na makocha wanaotegemea kukanyaga mafuta ili kupata ushindi , hii timu ya vijana sina hakika kama inaweza kupata hata goli kwenye michuano hii , achilia mbali kupata ushindi ...
Kuelekea mchezo wa Klabu bingwa barani Afrika wa Simba dhidi ya Al ahly ya Misri, Simba imeitisha mkutano na waandishi wa habari kuelezea maandilizi kuelekea mchezo huo.
Mchezo ambao utapigwa...
NI. NGUMU KUAMINI
HIiZ N SABABU 3 ZA. SIMBA KUFUNGWA LEO
1)KUJIAMINI KUPITILIZA
2( KIWANGO KIDOGO CHA UWEZO KULINGANISHA NA WAARABU
3)IMANI MBOVU ZA KICHAWI
HII N SABABU KUBWA LEO SIMBA...
Michezo ya ligi ya mabingwa barani Ulaya itapigwa hii leo ambapo, Atlètico Madrid ya Hispania atakipiga dhidi ya Chelsea ya England.
Michezo ambayo Atlètico Madrid amekutana na Chelsea katika...
Kwa muda mrefu vilabu vyetu, wadau na mashabiki wamekuwa wakilia na kulalamikia sana maamuzi yanayoamuliwa na waamuzi wetu kwenye mchezo pendwa wa soka ama kandanda au kabumbu kama linavyofahamika...
Club ya CD De Agosto ya Angola imetumia ukurasa wake wa instagram kulalamika kwamba Wenyeji wao Namungo FC wanadhoofisha kikosi chao baada ya kupewa majibu kuwa Wachezaji watano wa De Agosto...
Licha ya kuwa Yanga haijapata kupoteza mchezo wa kiushindani msimu huu wa 2020/21, bado kuna haja na sababu ya kuhakikisha tunaimarisha safu ya ulinzi ili kuhakikisha tunapunguza idadi ya magoli...
Tusipoangalia na kuchukua hatua, mpira wetu wa miguu, badala ya malengo hasa yaliyokusudiwa na huyo/hao, mwanzilishi/waanzilishi wa mchezo huu, utageuka kuwa uwanja wa uwasama, chuki na vita, kwa...
“Mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati yetu Simba na Al Ahly kutoka nchini Misri itapigwa saa 10:00 jioni siku ya Jumanne Februari 23, 2021. Ni mechi kubwa sana kwa Simba, Tanzania na Afrika...
1. Uongozi kwa Kushirikiana na GSM Kukwepa Lawama na kuwalazimisha Mashabiki wao waone wanaowakwamisha ni TFF na Kamati zake.
2. Kutaka Kuwatishia Waamuzi ( hasa huyu wa leo dhidi ya Mtibwa FC )...
Michezo ya kundi C AFCON U20 kupigwa hii leo, ambapo Morocco itakutana na Tanzania huku Ghana ikikipiga dhidi ya Gambia.
Hii ni michezo ya mwisho ambayo itaamua ni timu zipi zitasonga mbele...
Wakuu Habari zenu?
Kuelekea mechi ya simba na al ahly pale kwa mkapa licha ya kauli mbiu iliyopo ya total war :no point of return.
Nilikuwa naona ingekaa hivi ndio ingekuwa vizuri zaidi WAR IN...
Mechi imechezwa 21/02/2021 mchezaji wa Ruvu mpira umemgonga usoni refa anafunika penati.
Kwa waamuzi wa aina hii akina Saanya bado tunasafari ndefu sana kwenye soka upande wa waamuzi.
Kwa siku za karibuni tumeshuhudia Burundi ikileta watu wake kupata ajira hapa Tanzania.
Kuna makocha,tena wapo timu kubwa kabisa.
Achilia mbali lundo la wachezaji waliopo katika vilabu vyetu...
Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara inaendelea leo kwa Klabu ya Azam FC kukutana na Tanzania Prisons katika dimbani Nelson Mandela huko Mbeya
Mara ya mwisho Azam kukutana na Tanzania Prisons ilikuwa...
Patashika ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kuendelea kutimua vumbi leo February 21, 2021 kwenye uwanja wa Azam Complex, ambapo wenyeji CD De Agosto wanapambana na Namungo FC
===========...
Mchezo wa kombe la shirikisho kati ya De Agosto dhidi ya Namungo umemalizika katika Dimba la Azam Complex Chamanzi jijini Dar es salaam.
Katika mchezo huo ambao Namungo ilikuwa ugenini...
Kocha wetu amefeli sana katika idara zote mfano.
1.Ameshindwa kabisa kuunganisha timu kutengeneza kikosi cha ushindi. Angalia beki ya timu wanakatika Hadi wanagombana mfano Lamine na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.