Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,657
- 218,145
Hatuwezi kuwa na makocha wanaotegemea kukanyaga mafuta ili kupata ushindi , hii timu ya vijana sina hakika kama inaweza kupata hata goli kwenye michuano hii , achilia mbali kupata ushindi .
Jamhuri hana uwezo wowote ule wa kufundisha soka kwenye michuano ya kimataifa , hivi ni nani alimpa hii kazi ? hadi dk 90 Tanzania 0 - 4 Ghana
Napendekeza TAKUKURU kuchunguza kitengo cha ajira TFF
Jamhuri hana uwezo wowote ule wa kufundisha soka kwenye michuano ya kimataifa , hivi ni nani alimpa hii kazi ? hadi dk 90 Tanzania 0 - 4 Ghana
Napendekeza TAKUKURU kuchunguza kitengo cha ajira TFF