Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Klabu ya Simba leo 9 Oct 2025 itacheza mechi ya kirafiki katika uwanja wa Meja Isamuhyo dhidi ya al hilal omdurman katika hali ya kujiweka sawa kuelekea katika michezo ya Caf Champions...
1 Reactions
4 Replies
675 Views
Familia ya mpira⚽️ karibuni kwenye channel yetu ya whatsapp kwa maudhui ya kipekee kwa lugha ya kiswahili Taarifa za mechi lini anacheza nani matokeo yamekuaje unaweza kupata popote ila taarifa...
1 Reactions
3 Replies
390 Views
Rais wa Shirikisho la Soka la kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametuma salamu za pongezi kwa timu ya taifa ya Ghana (Black Stars), kufuatia kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026 litakalofanyika...
2 Reactions
2 Replies
389 Views
Nimetazama viwango vya nchi jirani katika mechi zao za kufuzu world cup kanda ya Afrika. Rwanda wanapiga sana ball. Hawa miaka michache ijayo wanaenda kutuacha kama tusipo badilika. Kenya, a new...
7 Reactions
8 Replies
490 Views
Siku ya jana pamoja na siku zingine nyuma, Tanzania imeshuhudia mashindano ya ngumi yanayojulikana kama “Knockout Ya Mama”, yakitajwa kuwa ni sehemu ya kukuza michezo nchini. Mashindano haya...
1 Reactions
16 Replies
714 Views
Kiungo wa Klabu ya Yanga Sc Pacome ZouZou ameongezwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Ivory Coast kuchukua nafasi ya Ibrahim Sangare, anayeitumikia Klabu ya Nottingham Forest ya Uingereza baada...
9 Reactions
27 Replies
4K Views
Yanga wameiandikia TFF barua kuwa wako tayari mchezaji wao wa timu ya wanawake, Jeanine MUkandayisenga kupima na kuuthibitisha jinsia yake kama TFF walivotaka TFF waliwaandikia barua Yanga kuwa...
7 Reactions
52 Replies
2K Views
[emoji599] OFFICIAL & CONFIRMED: Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo fundi ZOUZOUA PACOME (26) kutoka Asec kwa Mkataba wa miaka miwili. Pacome [emoji1132] ni kiungo...
6 Reactions
56 Replies
7K Views
Kufuatia Morata kuanza kwa kusuasua kwenye klabu yake ya Chelsea. Wengi wanahofu Chelsea wanaweza wakawa wamesajili garasa. Tujikumbushe baadhi ya wachezaji ambao waliwahi kusajiliwa kwa mbwembwe...
5 Reactions
218 Replies
27K Views
Kikosi cha Taifa Stars kinachoanza dhidi ya Zambia 7’ Tanzania 0 vs 0 Zambia FIFA Calendar updates …!
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amewasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuelekea...
1 Reactions
11 Replies
457 Views
Klabu kubwa Afrika Tp Mazembe na As Vital Club 🇨🇩 hazijakidhi kufuzu mashindano ya kimataifa msimu huu. Timu zilizofuzu nchini Congo ✅ Ligi ya Mabingwa Afrika: •Eagle du Congo (Bingwa wa Ligi) 🏆...
14 Reactions
80 Replies
3K Views
I salute you kinsmen. Hatimaye sasa tumejua Romain Folz ametimuliwa na muda wowote kwanzia sasa tangazo litatolewa.. Ila kwa hapa viongozi wamecheza kama Pele Romuard Rakontondrabe ni kocha...
3 Reactions
31 Replies
1K Views
Msemaji wa klabu ya JKT Tanzania Masau Bwire amekanusha taarifa zilizopo mitandaoni kuhusu wao JKT QEENS kupeleka barua za kutaka mchezaji wa Yanga Princess kufanyiwa vipimo vya jinsia na amesema...
0 Reactions
1 Replies
301 Views
Tutamsahau mda si mrefu Yanga wamemmaliza gafla
3 Reactions
21 Replies
1K Views
1. Raoul Shungu (DRC) 2000 2. Charles Boniface Mkwasa (Tz) 2001 3. Jack Chamangwana (Malawi) (rip) 2002-2004 4. Jean Polycarpe Bonganya (DRC) 2004 5. Syllersaid Mziray (Tanzania) (RIP) 2004 6...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Kikosi cha Taifa Stars kimewasili Zanzibar kwa maandalizi ya mechi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Zambia, itakayochezwa Oktoba 8 kwenye Uwanja wa Amaan.
0 Reactions
4 Replies
367 Views
Viongozi wa Yanga tafadhari sana, tena sana msifanye kosa la kumrudisha Saed Ramovic. Kumbukeni jinsi Yanga yake ilivyo kuwa shambolic in defense ikifanyiwa counter attacking. Ilikuwa wapinzani...
6 Reactions
25 Replies
988 Views
Back
Top Bottom