Klabu ya Simba leo 9 Oct 2025 itacheza mechi ya kirafiki katika uwanja wa Meja Isamuhyo dhidi ya al hilal omdurman katika hali ya kujiweka sawa kuelekea katika michezo ya Caf Champions...
Familia ya mpira⚽️ karibuni kwenye channel yetu ya whatsapp kwa maudhui ya kipekee kwa lugha ya kiswahili
Taarifa za mechi lini anacheza nani matokeo yamekuaje unaweza kupata popote ila taarifa...
Rais wa Shirikisho la Soka la kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametuma salamu za pongezi kwa timu ya taifa ya Ghana (Black Stars), kufuatia kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026 litakalofanyika...
Nimetazama viwango vya nchi jirani katika mechi zao za kufuzu world cup kanda ya Afrika.
Rwanda wanapiga sana ball. Hawa miaka michache ijayo wanaenda kutuacha kama tusipo badilika.
Kenya, a new...
Siku ya jana pamoja na siku zingine nyuma, Tanzania imeshuhudia mashindano ya ngumi yanayojulikana kama “Knockout Ya Mama”, yakitajwa kuwa ni sehemu ya kukuza michezo nchini. Mashindano haya...
Kiungo wa Klabu ya Yanga Sc Pacome ZouZou ameongezwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Ivory Coast kuchukua nafasi ya Ibrahim Sangare, anayeitumikia Klabu ya Nottingham Forest ya Uingereza baada...
Yanga wameiandikia TFF barua kuwa wako tayari mchezaji wao wa timu ya wanawake, Jeanine MUkandayisenga kupima na kuuthibitisha jinsia yake kama TFF walivotaka
TFF waliwaandikia barua Yanga kuwa...
[emoji599] OFFICIAL & CONFIRMED:
Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo fundi ZOUZOUA PACOME (26) kutoka Asec kwa Mkataba wa miaka miwili.
Pacome [emoji1132] ni kiungo...
Kufuatia Morata kuanza kwa kusuasua kwenye klabu yake ya Chelsea. Wengi wanahofu Chelsea wanaweza wakawa wamesajili garasa.
Tujikumbushe baadhi ya wachezaji ambao waliwahi kusajiliwa kwa mbwembwe...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amewasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuelekea...
Klabu kubwa Afrika Tp Mazembe na As Vital Club 🇨🇩 hazijakidhi kufuzu mashindano ya kimataifa msimu huu.
Timu zilizofuzu nchini Congo
✅ Ligi ya Mabingwa Afrika:
•Eagle du Congo (Bingwa wa Ligi) 🏆...
I salute you kinsmen.
Hatimaye sasa tumejua Romain Folz ametimuliwa na muda wowote kwanzia sasa tangazo litatolewa..
Ila kwa hapa viongozi wamecheza kama Pele Romuard Rakontondrabe ni kocha...
Msemaji wa klabu ya JKT Tanzania Masau Bwire amekanusha taarifa zilizopo mitandaoni kuhusu wao JKT QEENS kupeleka barua za kutaka mchezaji wa Yanga Princess kufanyiwa vipimo vya jinsia na amesema...
Kikosi cha Taifa Stars kimewasili Zanzibar kwa maandalizi ya mechi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Zambia, itakayochezwa Oktoba 8 kwenye Uwanja wa Amaan.
Viongozi wa Yanga tafadhari sana, tena sana msifanye kosa la kumrudisha Saed Ramovic.
Kumbukeni jinsi Yanga yake ilivyo kuwa shambolic in defense ikifanyiwa counter attacking.
Ilikuwa wapinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.