Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia na Rais wa Yanga, Hersi Said wameteuliwa katika kamati tofauti za Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA).
Karia ambaye pia...
Kocha Miloud Hamdi huyu ni bonge la kocha katika upande wa mbinu na ufundi sijui hata ikawaje kaachwa kizembe.
Azam walipigwa msako pamoja na kutokuwepo kwa Khalid Aucho ila Yanga ilishinda...
I salute you kinsmen.
Rejea uzi wangu uliopita niliposhauri kuwa tatizo la yanga hasa ni mkurugenzi wa ufundi bwana Moalim aliyeondoka..
Leo najaribu kuelewesha deep sana. Well let's goo.
Huyo...
I salute you kinsmen
Nimeona kelele nyingi sana zikitaka Romain Folz afukuzwe
Well kila mtu ana lake ila kwa mtazamo mkali kabisa nimeona tatizo kubwa lilikuwa hapa..
Kilichomsaidia Miloud...
Kwa mujibu wa gazeti la The Citizen ni kuwa Simba na Yanga watalazimika kutafuta viwanja vingine kwasababu dimba la Benjamin Mkapa litaendelea na matengenezo makubwa mwezi huu hivyo kupisha...
Mels Dalder raia wa Uholanzi ambaye ni Chief Scout wa Simba ametangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kujiuzulu wadhfa wake ndani ya Simba huku akiweka wazi kuwa sababu hajioni kama anapita...
Leo ndio tunakaa pale juu na hakuna wa kutushusha tena hadi msimu unaisha.
Tuna kikosi bora kabisa, hatuna majeruhi ya kutisha na tupo Emirates.
Liverpool wazee wa bahati leo mnatoka kileleni...
Waamuzi wa mechi za Ligi Kuu na mchezaji mmoja wamefungiwa kutokana na utendaji mbaya katika michezo iliyopita. Kikao cha kamati ya saa 72 kilichokaliwa jana kimeamuru adhabu kwa waamuzi...
Ushauri wangu jamani Mwenyezi Mungu anapotupa nafasi ya Kuzikamata basi tuwe na Nidhamu ya Kuzitumia lakini Kubwa tujikite mno katika Kuwekeza ili tusije Kuumbuka baadae / mbeleni kama aliyewahi...
Kocha mpya wa Simba SC, Dimitar Nikolaev Pantev kutoka Bulgaria, amekubali kuanza rasmi kazi yake baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili hadi Juni 2027. Simba imelipa fidia kwa klabu ya Gaborone...
I salute you kinsmen.
Wakuu
Yanga nimewavulia kofia kwa kweli!
Yaani hii team watu wana akili kupitiliza
Nakushukuru sana Mungu wa mbinguni kunifanya niwe yanga hakika sijawahi kujutia kabisa...
Mimi mwehu ndama jitu la mtumba , ndio nilikua wakwanza kuzipinga mbinu za tapeli wa kifaransa"Roman Folz" na sikuishia hapo tu, nilienda mbali nakukosoa uchezeshwaji wa mchezaji Aziz andambwile...
Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) linatafakari kufanya mabadiliko makubwa katika sheria ya upigaji penalti kwa kuondoa mabao yanayofungwa kupitia mpira unaotemwa na kipa.
Katika mapendekezo...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kitakachoingia kambini kujiandaa kwa mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Zambia.
I salute you kinsmen
Hivi mnajua kuwa haijawahi kutokea Simba mbovu kuliko Hii ya leo?
Yaani haina tofauti na mbwinde fc ya kwetu kilimagohe kimbiji.
Nachelea kusema wale Gaborone ni kwamba...
Piga ua Tumlete Mgunda
Kwa hiki kikosi kilivyo hakuna kocha mwenye akili timamu mzuri kutoka Nje anaweza kukiongoza kikosi hiki.
Piga Ua Tumlete Mgunda
Mo alimtaka sana mgunda ila Wajumbe wa...
I salute you kinsmen.
Yaani Tanzania hii kuna team kutwa kutuaibisha tu,
Wao mambo meusi yamejaa tele klabuni kwao nje ndani.
Wao walijifanya eti wamempa ruhusa kocha alete wachezaji anaowataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.