Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia na Rais wa Yanga, Hersi Said wameteuliwa katika kamati tofauti za Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA). Karia ambaye pia...
3 Reactions
4 Replies
467 Views
Kocha Miloud Hamdi huyu ni bonge la kocha katika upande wa mbinu na ufundi sijui hata ikawaje kaachwa kizembe. Azam walipigwa msako pamoja na kutokuwepo kwa Khalid Aucho ila Yanga ilishinda...
10 Reactions
39 Replies
1K Views
I salute you kinsmen. Rejea uzi wangu uliopita niliposhauri kuwa tatizo la yanga hasa ni mkurugenzi wa ufundi bwana Moalim aliyeondoka.. Leo najaribu kuelewesha deep sana. Well let's goo. Huyo...
-1 Reactions
49 Replies
1K Views
I salute you kinsmen Nimeona kelele nyingi sana zikitaka Romain Folz afukuzwe Well kila mtu ana lake ila kwa mtazamo mkali kabisa nimeona tatizo kubwa lilikuwa hapa.. Kilichomsaidia Miloud...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa gazeti la The Citizen ni kuwa Simba na Yanga watalazimika kutafuta viwanja vingine kwasababu dimba la Benjamin Mkapa litaendelea na matengenezo makubwa mwezi huu hivyo kupisha...
2 Reactions
15 Replies
718 Views
• Remo Stars 🇳🇬 🆚 🇿🇦 Mamelodi Sundowns • Aigle Noir 🇧🇮 🆚 🇪🇬 Al Ahly • Silver Strikers 🇲🇼 🆚 🇹🇿 Yanga SC • Stade d’Abidjan 🇨🇮 🆚 🇦🇴 Petro de Luanda • Horoya 🇬🇳 🆚 🇲🇦 AS FAR • Nsingizini Hotspurs 🇸🇿 🆚...
4 Reactions
6 Replies
748 Views
Mels Dalder raia wa Uholanzi ambaye ni Chief Scout wa Simba ametangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kujiuzulu wadhfa wake ndani ya Simba huku akiweka wazi kuwa sababu hajioni kama anapita...
1 Reactions
11 Replies
513 Views
Leo ndio tunakaa pale juu na hakuna wa kutushusha tena hadi msimu unaisha. Tuna kikosi bora kabisa, hatuna majeruhi ya kutisha na tupo Emirates. Liverpool wazee wa bahati leo mnatoka kileleni...
7 Reactions
24 Replies
790 Views
Waamuzi wa mechi za Ligi Kuu na mchezaji mmoja wamefungiwa kutokana na utendaji mbaya katika michezo iliyopita. Kikao cha kamati ya saa 72 kilichokaliwa jana kimeamuru adhabu kwa waamuzi...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
  • Closed
Ushauri wangu jamani Mwenyezi Mungu anapotupa nafasi ya Kuzikamata basi tuwe na Nidhamu ya Kuzitumia lakini Kubwa tujikite mno katika Kuwekeza ili tusije Kuumbuka baadae / mbeleni kama aliyewahi...
9 Reactions
11 Replies
2K Views
Kocha mpya wa Simba SC, Dimitar Nikolaev Pantev kutoka Bulgaria, amekubali kuanza rasmi kazi yake baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili hadi Juni 2027. Simba imelipa fidia kwa klabu ya Gaborone...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
I salute you kinsmen. Wakuu Yanga nimewavulia kofia kwa kweli! Yaani hii team watu wana akili kupitiliza Nakushukuru sana Mungu wa mbinguni kunifanya niwe yanga hakika sijawahi kujutia kabisa...
13 Reactions
78 Replies
3K Views
Mimi mwehu ndama jitu la mtumba , ndio nilikua wakwanza kuzipinga mbinu za tapeli wa kifaransa"Roman Folz" na sikuishia hapo tu, nilienda mbali nakukosoa uchezeshwaji wa mchezaji Aziz andambwile...
4 Reactions
5 Replies
576 Views
Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) linatafakari kufanya mabadiliko makubwa katika sheria ya upigaji penalti kwa kuondoa mabao yanayofungwa kupitia mpira unaotemwa na kipa. Katika mapendekezo...
4 Reactions
15 Replies
874 Views
Barcelona 1 - 2 PSG, kuna watu wanaamini goli la pili ni Offside kwamba hadi VAR imefanya makosa! Ushabiki wa hovyo kabisa!
1 Reactions
4 Replies
484 Views
Next match : Simba SC vs Namungo Fc game itapigwa saa 8:15PM Starting Xl ya Simba SC All the best Simba SC 🦁 #Nguvu moja
8 Reactions
63 Replies
3K Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kitakachoingia kambini kujiandaa kwa mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Zambia.
4 Reactions
16 Replies
2K Views
I salute you kinsmen Hivi mnajua kuwa haijawahi kutokea Simba mbovu kuliko Hii ya leo? Yaani haina tofauti na mbwinde fc ya kwetu kilimagohe kimbiji. Nachelea kusema wale Gaborone ni kwamba...
3 Reactions
8 Replies
726 Views
Piga ua Tumlete Mgunda Kwa hiki kikosi kilivyo hakuna kocha mwenye akili timamu mzuri kutoka Nje anaweza kukiongoza kikosi hiki. Piga Ua Tumlete Mgunda Mo alimtaka sana mgunda ila Wajumbe wa...
1 Reactions
8 Replies
374 Views
I salute you kinsmen. Yaani Tanzania hii kuna team kutwa kutuaibisha tu, Wao mambo meusi yamejaa tele klabuni kwao nje ndani. Wao walijifanya eti wamempa ruhusa kocha alete wachezaji anaowataka...
8 Reactions
22 Replies
905 Views
Back
Top Bottom