Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Tunawaomba viongozi wetu wa Yanga siku ya mechi yetu ya marudiano na Silver tupate chakula pilau, soda na maji wakati mechi inaendelea tunakula, na baada mechi kuisha tupate tena tukiwa...
1 Reactions
7 Replies
402 Views
Wale watu wa bara waliovamia Dar es salaam kama wanahitaji uongozi Yanga watambue falsafa na misingi ya timu ya Yanga kuwa inaongozwa kwa Dua Ni swali la kujiuliza watu kutoka bara na ambao...
6 Reactions
43 Replies
1K Views
Ziyech, ambaye ni moja ya wachezaji nyota wa Morocco waliowahi kung’aa kimataifa, alianza safari yake ya soka nchini Uholanzi akiwa na klabu ya Heerenveen, kisha akacheza FC Twente na baadaye Ajax...
4 Reactions
4 Replies
416 Views
Vijana wangu wameniambia kwamba Yanga wamelipiwa. Nafikiri wamelipiwa na mwarabu GSM. Hili swala litaendelea mpaka lini, hamuoni aibu watu wazima kulipiwa na mwarabu. Sasa inatofauti gani na...
5 Reactions
7 Replies
421 Views
Klabu ya Simba SC imepata heshima kubwa baada ya kutajwa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) kuwania Tuzo ya Timu Bora (Club of the Year) kwa mwaka 2025. Tuzo hii inatambua klabu zilizofanya...
2 Reactions
11 Replies
935 Views
I salute you kinsmen Tayari miloud kashatimuliwa Tuache kuzunguka bure huyu alikuwepo yanga majuzi tu hakuna haja ya kumrudisha tu maana sidhani kama bado anasahau team yetu maana alikuwepo juzi...
4 Reactions
107 Replies
3K Views
Sisi Wanachama wa Yanga wazalendo tuliwaasa kuhusu kujihusisha na siasa hasa CCM Sasa Kuna tetesi kuwa mmetumwa na CCM ili mfanye muwezavyo ili Yanga itolewe hatua za awali ili kubadilisha...
5 Reactions
19 Replies
949 Views
Shomari Kapombe, beki mashuhuri wa Simba SC, amefanya historia baada ya kupitishwa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) kwenye orodha ya wachezaji 10 bora wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora wa...
3 Reactions
5 Replies
667 Views
I’m thinking of using USDT for betting on Helabet. Is it fast and reliable?
0 Reactions
0 Replies
179 Views
Mlinda mlango chipukizi Cheikh Touré (18) kutoka Senegal ameuawa kikatili nchini Ghana baada ya kutekwa na kundi la watu wasiojulikana waliokuwa wakidai fidia kutoka kwa familia yake. Kwa mujibu...
4 Reactions
5 Replies
544 Views
MAKALA KAMILI: HERSI SAID NA MWISHO WA ENZI YA UONGOZI WA KUJIPAMBA — YANGA SC KATIKA NJIA PANDA Utangulizi Kwa miaka michache, Yanga SC imekuwa mfano wa klabu yenye mabadiliko makubwa ya ndani...
2 Reactions
7 Replies
541 Views
“Tumekubaliana kuwa mechi hii imeondolewa viingilio majukwaa yote isipokuwa jukwaa la VIP A na VIP B yamekuwa Reserved kwa waalikwa maalum ambao ni Wageni wetu pamoja na wanachama wa Yanga wa...
4 Reactions
16 Replies
622 Views
Zikiwa zimepita siku tatu baada ya kuachishwa kazi aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga, Romain Folz kufuatia kipigo cha bao 1-0 ugenini dhidi ya Silver Strikers ya Malawi katika mchezo wa mtoano wa Ligi...
2 Reactions
7 Replies
520 Views
Kama mwanachama anguli wa Yanga, nawaasa acha mara Moja hata kufikiria kumleta Coach Rakotondrabe wa Madagascar kwenye timu yetu maana atafeli hata zaidi ya Folz Mimi ni foundation ya coaching...
2 Reactions
34 Replies
1K Views
Kocha wa timu ya taifa ya Ghana, Chris Hughton, ametimuliwa baada ya timu hiyo kutolewa mapema kwenye mashindano ya kugombea ubingwa wa kandanda barani Afrika (AFCON) yanayoendelea nchini Ivory...
1 Reactions
2 Replies
855 Views
Nilitegemea ushindi wa 2-0 nikaishia kichapo cha 0-1. Sijui kwenye Yanga hii kosa liko wapi
4 Reactions
14 Replies
604 Views
Mtu yeyote anayoshirikiana na dhalimu hawezi kufanikiwa. Lilikuwa kosa kubwa sana la kimkakati katika ulimwengu wa haki. Mwaka huu ni mwaka wa neema kwa wenye haki. Yanga, kwa kujifungamanisha na...
2 Reactions
9 Replies
398 Views
Unaambiwa adui muombee njaa na Enemy of my Enemy is my Friend. Man U leo akimpiga Liver, gepu la namba 1 na yeye tatu litazidi kua kubwa. Hapo hatupati tena. man City sio tishio kabisa.
4 Reactions
58 Replies
2K Views
MAREKANI: Kocha Ruben Amorim amesema yupo tayari kuwarejesha kwenue kikosi chake cha Manchester United ambao hawpao kwenue mipango yake kama hakutakuwa na timu itakayofikia kiwango cha bei...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama vipi tumwambie Rais wetu ambuku mapema ili Msimu ujao atue Yanga na aweze kutusaidia Kumfunga Simba.
4 Reactions
12 Replies
556 Views
Back
Top Bottom