Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

IFFHS Top 10 African Club Rankings – October 2025 🇪🇬 Pyramids FC – Egypt 🇪🇬 Al Ahly SC – Egypt 🇲🇦 RS Berkane – Morocco 🇹🇳 Espérance Sportive de Tunis – Tunisia 🇿🇦 Mamelodi Sundowns FC – South...
2 Reactions
3 Replies
696 Views
Kuna taarifa kwamba kuna vijana wengi wa academy ya mpira huko Mwanza waliuuwawa kikatili sana katika machufuko ya October 29 lakini hii timu haikuona hiyo ni habari na badala yake wamejikita...
1 Reactions
4 Replies
327 Views
Azam Tanzania Nairobi United Kenya Maniema Congo Wydad
1 Reactions
4 Replies
594 Views
Kwanza niombe radhi Kwa mashabiki na Wanachama wenzangu wa Yanga, ambao tumekuwa tukivutana kuhusu kiwango cha Dube Me ni shabiki mvumilivu mno Dube havumiliki Ni mchezaji wa kawaida mno Dube...
7 Reactions
49 Replies
2K Views
Si mnajitapa nyie ni Mabingwa wa Mpira, Fitna na Kuroga sasa pambanane na hao Waarabu Wapaka Wese Watatu.
4 Reactions
15 Replies
639 Views
Katika tukio ambalo limegusa mioyo ya wengi, mashabiki wa soka nchini Tanzania tujipamge kuonyesha mshikamano na majonzi kwa wale waliopoteza maisha katika maandamano ya kudai haki yaliyofanyika...
11 Reactions
11 Replies
619 Views
Nashauri tuanze mapema kutoa sababu za kutolewa kwani Waarabu watambikiri Mtu kote kote Dar na Cairo Kudadadeki. Asanteni sana CAF kwa hii Draw na sasa tutaheshimiana. Kweli CAF safari hii...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
klabu ya Simba Sc itamenyana na JKT Tanzania katika mwendelezo wa ligi ya NBC leo, Novemba 08, 2025, katika uwanja wa Mej Jenerali Isamhyo majira saa 1 kamili usiku. All the Best Simba Sc.
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Mabondia wanne wa Tanzania wafungwa miaka 15 jela nchini Mauritius kwa makosa ya kuingiza dawa za kulevya aina ya heroin. Mabondia hao ni Case Ramadhani Fills, Nathanael...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
GT Kama Taifa ifike mahali tuwe serious na Taifa letu, zamani tulikuwa tunashangaa kwa nini Kenya mpira si kwa sana hao jamaa wameamua kufocus na nchi yao,sasa ni wakati wetu watanzania tuachane...
6 Reactions
12 Replies
686 Views
Tangu tarehe 29 Oktoba mwaka huu, Tanzania imekuwa ikipitia siku za majonzi na simanzi kubwa. Wimbi la vifo vya raia, mikononi mwa vyombo vya dola, limeitikisa nchi na kuacha majeraha yasiyopona...
2 Reactions
4 Replies
337 Views
LEO tukiwa tunaadhimisha miaka 37 ya kuzaliwa kwa Ronaldinho Gaucho, mmoja kati ya Wanasoka mahiri kuwahi kutokea katika uso wa Dunia. Wengi wanaamini bado hakuna mchezaji aliyefanikiwa kuziba...
16 Reactions
448 Replies
50K Views
I salute you Wakuu Kama nakumbuka hapa kati wakati wa kocha Folz pale yanga watu wengi walikuwa wanashauri kuwa Gamondi arudi yanga tu haina haja ya kuzunguka Lakini shida ya Gamondi ile ile...
0 Reactions
20 Replies
990 Views
Kaimu kocha mkuu wa Taifa Stars Miguel Gamondi ametangaza kikosi kitakachoingia kambini Oktoba 10 kwaajili ya maandalizi ya mechi ya kirafiki ya kalenda ya fifa dhidi ya Kuwait. Mchezo huo kati...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
3 Reactions
9 Replies
560 Views
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Frank Ribery mmoja wa wachezaji bora katika miaka 10 iliyopita. NAAMINI kama sio kivuli cha Leo Messi na Ronaldo, kuna nyakati fulani huyu jamaa alistahili kubeba...
3 Reactions
84 Replies
10K Views
Kocha Miguel Gamondi wa Singida Black Stars ametangazwa rasmi anachukua mikoba ya Hemed Seleman aliyekuwa kocha mkuu wa Taifa Stars. Soma Pia: Gamondi kocha mpya Singida Black Stars Miguel...
0 Reactions
5 Replies
495 Views
Kwa mujibu wa chanzo, Shirikisho la soka duniani FIFA limeitaka klabu ya Yanga inayoshiriki ligi kuu soka Tanzania bara kujieleza juu ya tuhuma za kushiriki Siasa kwa kukichangia pesa za uchaguzi...
6 Reactions
75 Replies
4K Views
Ndugu Wachezaji, Mashabiki na Wanaharakati wa Amani, Tanzania yetu imetoka katika kipindi kigumu cha kisiasa, kipindi ambacho baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki zetu wamepoteza maisha mikononi...
0 Reactions
0 Replies
201 Views
Silver Strikers vs Yanga SC Saa 10:00 jioni Leo ni siku nyingine ya Wananchi kufurahi #CAFCL Soma Pia>> Rasmi ndoa ya yanga na Folz yafikia ukomo
11 Reactions
126 Replies
5K Views
Back
Top Bottom