Alihamdulilah tumeshinda
Kipindi cha kwanza nilishindwa kuelewa hata kidogo game plan ya mwalimu ya pale kati kuwepo Camara tu mbaya zaidi akichezeshwa kama no 6 binafsi mi ni muumini wa traits...
Leo nimeweka bet ya 100m kuwa Yanga itashinda am 3-0 au 3-1; nikikosa zote, basi nitahamia mapangoni. Nikipata mojawapo, basi tuwasiliane nikakupe bia za bure mpaka uzitapike: "He was a wise man...
Joao Mota Maria ndiye Kocha Mkuu mpya wa Yanga SC, raia wa Ureno.
Kocha Mpya wa Yanga SC Joao Mota Maria anawasili nchini alfajiri ya Oktoba 25, 2025 na ndege ya saa tisa alfajiri, atakuwepo...
Hii match tumeimaliza nje ya Uwanja. Na ubao unasoma tuna goals zisizopungua 3. Leo hawa madogo wanapigika kinyama hasa.
Wameshakubali matokeo. Sisi tupo vizuri na tunaingia uwanjani kuwachakaza...
Dokumentari ya Fiston Mayele alivyopokewa kuwa mfalme wa uwanjani ktk nchi ngeni
https://m.youtube.com/watch?v=YIKlNoYxNDc
Ceci est un film biographique du joueur Fiston Kalala Mayele retraçant...
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAFCL, Yanga SC jioni ya leo wataingia uwanjani kurudiana na timu ya Silver Strikers kutoka Malawi
Katika mechi ya kwanza iliyofanyika jijini Lilongwe...
Kwanza nitoe pole kwa mashabiki na wanachama kwa kipindi hiki kifupi na kigumu tulichopitia tangu timu ilipokuwa chini ya kocha aliyetimuliwa Romain Folz. Kocha huyu alikuwa hana uzoefu wa kutosha...
Wale ambao huwa mnawaona wakiingia Uwanjani pale Goli likifungwa au Mechi ikiwa bado inaendelea siyo kwamba huingia kwa Mahaba ya Mchezaji fulani au Goli kufungwa bali kwa tunaoujua vyema Mpira wa...
Edmund john - anacheza kama kondoo
Offen Chikola - sio level ya yanga
Aziz adambwile - vivu,zembe , chawi
Prince Dube- huyu apigwe kabla yakufukuzwa
Mo doumbia _ mchezaji mvivu na mjinga
Kocha...
Moja kwa moja kwenye mada
Mara kadhaa nimeona mtandaoni kocha na wachezaji wa Nsingizin wakisema eti wanajua Simba atajiangusha na kujilaza sana pale kwa mkapa ili kupoteza muda pale kwa mkapa...
Habari zenu humu ,wale wapenzi wa DRAFT ,ilifanyika ligi ya MABINGWA wa draft unaowajua wewe hapa TZ ,pale Java Lounge
Bingwa aliibuka dogo SISCO
Mashindano yalianza na hatua za makundi
Katika...
Kumekuwa na wimbi jipya katika mitandao ya kijamii wiki hii, likimhusisha binti mahiri wa soka, Vivienne Theresa Upendo Lia, ambaye baadhi ya Watanzania wameanza kudai ni “Mtanzania” kwa sababu tu...
17 October 2025
Dar es Salaam — Singida Black Stars ya Singida Tanzania imeondoka kwenda Burundi kwa ajili ya mchezo wao wa Kombe la CAF Confederation dhidi ya Flambeau du Centre, unaotarajiwa...
Kuishi vijijini tabu yake ndio hii sasa
Unanunua king'amzi cha Dstv na hujuwi vifurushi vyake huwa vina bei gani
Naomba kufahamishwa ndugu wapenda michezo
Kwa sasa ni bei gani ili niangalime...
I salute you kinsmen
Kiukweli kuna jambo linatatiza sana sana!
Kuna team ipo hapo kariakoo na jengo Lao la msimbazi la mchongo huwa ina matatizo makubwa sana
Wao hawakubaligi kuwa wameachwa...
Kuna mtu namjua anamdogo wake yupo academy flani hapo morogoro ila ile academy kuna kipindi hata mipira haina inabidi wamuombe mpira mdogo wake jamaa aliyemununulia
Changamoto za academy za mpira...
Nilipomkataa huyu tapeli wa mpira baada ya gemu dhidi ya Simba sc ambapo mashabiki maandazi wengi walimmwagia sifa za uongo niliishia kutukanwa , wapo walioenda mbali nakusema hatimae...
Tunawaomba viongozi wetu wa Yanga siku ya mechi yetu ya marudiano na Silver tupate chakula pilau, soda na maji wakati mechi inaendelea tunakula, na baada mechi kuisha tupate tena tukiwa...
Wale watu wa bara waliovamia Dar es salaam kama wanahitaji uongozi Yanga watambue falsafa na misingi ya timu ya Yanga kuwa inaongozwa kwa Dua
Ni swali la kujiuliza watu kutoka bara na ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.