Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Wakuu kama ilivyoada Leo midnight tunatokaje . Direct win, each team to score over, quarter NBA FOREVER HELABET: 32JZ6
5 Reactions
8 Replies
392 Views
Mpaka sasa klabu ya Petro de Luanda kutokea nchini Angola ndiyo inayoongoza kwenye msimamo wa Kundi D, michuano ya CAF Champions League hatua ya makundi mara baada ya kuitandika Simba SC chuma...
4 Reactions
13 Replies
755 Views
GT Mpira wa Tanzania upo ukingoni. Kilichoikuta TP Mazembe na AS Vita kinaenda kutoka TZ belive me. Watz tupo busy na nchi yetu hadi tupate katiba mpya sure I tell you. Kwa sasa tumeyasusia...
20 Reactions
20 Replies
750 Views
Kutaja wachambuzi list hapa tz niwengi sana yani unaona kabisa uchambuzi wao ubalance yani kuonesha hisia zao zipo wapi kwenye saisa,mlengo gani,kuwa upande gani. Katika siku ambayo nilimuona...
2 Reactions
9 Replies
543 Views
Wiki moja kabla ya Mechi ya Jana nilianzisha Uzi hapa Kuonya na kusema kuwa tunafungwa ila Wapumbavu wasiojua Mpira na Wao Mahaba Niue kwa Simba SC yamewatawala Vichwani mwao wakaanza Kunibeza na...
2 Reactions
26 Replies
834 Views
Salut kwenu great thinkers wote wa JF. Kama ilivyoada jana nimepandisha Uzi humu jukwaani kuiombea Mabaya klabu ya YANGA ili apoteze game yake dhidi ya Far Rabat ila Dua yao ikawa kubwa kushinda...
10 Reactions
19 Replies
669 Views
Salut sana waungwana wa JF. Awali ya yote kabisa NaDECLAIRE INTEREST, mimi nilikuwa shabiki kindaki ndaki kabisa wa hii timu kongwe hapa nchini, ila kwa sasa soccer la bongo silipendi kabisa...
10 Reactions
51 Replies
1K Views
“Hali inazidi kua mbaya. Ata baada ya mapunziko marefu ya EPL bado kuna team zinapwetapweta. Walibebwa sana misimu iliopita na system ila sasa ukweli unajiweka wazi. “ -Kuna mlevi anaongea hapa...
5 Reactions
21 Replies
726 Views
Haya CRDB wamemwaga mboga Baada ya Ally kamwe kumwaga ugali TFF na Bodi ya Ligi kuna changamoto Kubwa sana, haya njooni miwape majibu Yanga SC pesa mmepeleka wapi? Pia soma > Ali Kamwe...
14 Reactions
216 Replies
8K Views
Jana kwenye mechi ya Yanga na ASFAR nimeona uwanja wa Aman Complex ukiwa umejaa nusu tu, na kwa sehemu kubwa watazamaji walikuwa ni ndugu wa Abdul. Ndiyo kusema watanganyika waliokwenda...
28 Reactions
25 Replies
1K Views
Wote tuliguna pale makundi ya CHAN yalivyotangazwa. Kenya alipangwa kundi ambalo tulidhani asingetoboa ila mwisho wa siku ameshinda mechi mbili akiwa anacheza pungufu na kamaliza hatua ya mwanzo...
2 Reactions
4 Replies
765 Views
Mabingwa wa Tanzania, Yanga leo wanaanza kucheza mechi ya kwanza dhidi ya Far Rabat ya Morocco katika mechi ya kwanza ya group B, katika mechi itakayochezwa kwenye uwanja wa Amani Complex, Zanzibar
7 Reactions
56 Replies
3K Views
Sometimes Kuna muda saa mbovu husema ukweli Gb64 kammyooshea mikono pacome anasema kwa ligi ya tanzania kashindikana hakuna wa kumgusa pacome .....Nb tuendelee kulinda amani ya Tanzania
2 Reactions
19 Replies
531 Views
Yanga tuna changamoto ya lone striker kwa muda mrefu sana ..leo hii Dube ameanza kuonesha makali
1 Reactions
10 Replies
448 Views
Tanzania imeporomoka kwa nafasi tano kwenye viwango vya ubora vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) katika chati ya viwango ya mwezi Novemba. Kichapo cha mabao 4-3 ambacho timu ya Taifa...
1 Reactions
11 Replies
512 Views
Baadhi ya Mashabiki wa Simba waliojilipia nauli zao kusafiri kwenda kuipa support timu yao Nchini Misri Kila shabiki amejilipia Dola 1200 sawa na Milioni 3,126,000. Hili swala la Serikali...
19 Reactions
114 Replies
7K Views
https://www.threads.com/@karokiatv/post/DRUuRngkaks?xmt=AQF0qSZRkYNPyQHdyL2_Lz60WfZ1NwU0wX78-C5CohLqe9mQewGNDs7VZzcR95Va_jwHq_yW&slof=1 Huyu mganga bwege hana akili na Yanga hatumlipi kama ana...
1 Reactions
4 Replies
313 Views
Msemaji mkuu wa Serikali Gerson amesema Tuzo ya heshima ya Rais ni Tuzo ya watanzania wote kwa jumla na si yake peke yake. Soma Pia: Samia atunukiwa Tuzo ya Maalum na CAF, kwa kutambua mchango...
1 Reactions
17 Replies
422 Views
Goli la mama limelipa ndio tuseme hivyo, na timu nne kwenda hatua ya makundi Klabu Bingwa Afrika na Kombe la Shirikisho =================== Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu...
1 Reactions
19 Replies
735 Views
Back
Top Bottom