Ili kuipa morali timu yetu kwenye mechi ya kesho dhidi ya FAR RABAT kwa heshima na taadhima tunamuomba tajiri mwekezaji atimize maombi tajwa hapo juu.
Umuhimu wa kulipiwa nauli na viingilio
Sisi...
Wakuu,
Katika tukio lililoamsha hisia za mashabiki wengi wa soka hapa nchini, ni hili la nahodha wa timu ya mpira wa miguu ya Yanga Dickson Job kuzuiliwa bandarini.
Kupitia hii video inayosambaa...
LIST NZIMA YA WASHINDI WA TUZO ZA CAF 2025
✅Mshambuliaji wa Pyramids na timu ya taifa ya DR Congo, Fiston Kalala Mayele ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2025 barani Afrika kwa wachezaji...
Sikuhiyo D9 itawale ili GSM na Engineer Hersi wajue kuwa tulichukizwa kwa kitendo cha kuchukua ada na michango ya wanayanga na kwenda kununua silaha za kuua ndugu zetu.
Baada ya miaka nane ya nembo ya Visit Rwanda kupamba bega la jezi za Arsenal, klabu hiyo litangaza kuwa itasitisha mkataba wa udhamini na Visit Rwanda ifikapo mwezi Juni 2026.
Hata hivyo...
Mchezaji wa PSG na timu ya Taifa ya Morocco Achraf Hakimi ametwaa Tuzo ya Mchezaji bora wa mwaka 2025.
Hakimi ametwaa Tuzo hiyo baada ya kufanya vizuri kwa msimu uliyopita kwa kuchukua makombe...
Mashabiki wa Yanga wamepigwa na Ubaridi mara baada ya Club hiyo Kongwe nchini Tanzania Kuzindua Jezi zinazofanana na matambala matambala
Ikumbukwe msimu huu hawakutoa Jezi nzuri hivyo wananachama...
Nimeshangaa wale watu wa bandarini pale Zanzibar wakiwafanyia harassment wachezaji wa Yanga na kuwaweka juani muda mrefu
Wale walinzinwamegoma kuwaruhusu kupita ati hawana vitambulisho
Yaani...
Kuna Systems nyingi watu huwa wanakuja nazo ila mwisho wa siku kutokana na probability na odds zina-favor mtoa odds ni kwamba Bookmaker huwa anashinda tu mwisho wa mwaka, hata ukimpiga leo baada...
Star wa Simba amepata msiba wa kifiwa na baba yake mzazi,
Binafsi Nampa pole Kwa msiba huo
Kibu ni star wa football TANZANIA amecheza mpira muda mrefu na sasa yupo Simba analipwa zaidi ya milion...
Mbunge wa Geita, Joseph Musukuma
"...Mheshimiwa mfuko wa wasanii pesa alizotoa Mama Samia leo tukiuliza kuna shilingi ngapi au mliowakopesha wamerudisha shilingi ngapi wapo hapa kuchukua hela leo...
Congo ...... Wamefuzu Kushiriki Fainali Za Kombe La Dunia
🇨🇩 DR Congo defeat Nigeria 4-3 on penalties to book their place in the inter-confederation playoffs in March.
The Leopards are now...
Wakuu
i salute you kinsmen
Mimi kama mimi mwenyewe nimafuatilia sana team yetu tangu mwanzo mwa msimu na mara kadhaa niligusia swala moja moja ila leo nitagusia yote yanayotukwamisha kwa namna...
I salute you kinsmen
Wakuu za chini ya kapeti ni kuwa kuna baadhi ha wachezaji wa team yetu wamekuwa hawatoi ushirikiano kwa asilimia mia na kuwa wavivu wakubwa kazini kwao.
Ndio maana...
YANGA YADAIWA TENA, WACHEZAJI WAZIDI KUCHOKA AHADI HEWA
Kwa mujibu wa taarifa ambazo zimefika mezani kwetu, wawakilishi wa kiungo wa Yanga SC, Aziz Andabwile, wamefungua rasmi kesi TFF wakidai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.