Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Ili kuipa morali timu yetu kwenye mechi ya kesho dhidi ya FAR RABAT kwa heshima na taadhima tunamuomba tajiri mwekezaji atimize maombi tajwa hapo juu. Umuhimu wa kulipiwa nauli na viingilio Sisi...
4 Reactions
13 Replies
512 Views
Wakuu, Katika tukio lililoamsha hisia za mashabiki wengi wa soka hapa nchini, ni hili la nahodha wa timu ya mpira wa miguu ya Yanga Dickson Job kuzuiliwa bandarini. Kupitia hii video inayosambaa...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
LIST NZIMA YA WASHINDI WA TUZO ZA CAF 2025 ✅Mshambuliaji wa Pyramids na timu ya taifa ya DR Congo, Fiston Kalala Mayele ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2025 barani Afrika kwa wachezaji...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Sikuhiyo D9 itawale ili GSM na Engineer Hersi wajue kuwa tulichukizwa kwa kitendo cha kuchukua ada na michango ya wanayanga na kwenda kununua silaha za kuua ndugu zetu.
3 Reactions
3 Replies
278 Views
Baada ya miaka nane ya nembo ya Visit Rwanda kupamba bega la jezi za Arsenal, klabu hiyo litangaza kuwa itasitisha mkataba wa udhamini na Visit Rwanda ifikapo mwezi Juni 2026. Hata hivyo...
4 Reactions
3 Replies
442 Views
Mshambuliaji wa Yanga Clement Mzize amefanikiwa kushinda goli bora la mwaka Afrika
3 Reactions
8 Replies
475 Views
Mchezaji wa PSG na timu ya Taifa ya Morocco Achraf Hakimi ametwaa Tuzo ya Mchezaji bora wa mwaka 2025. Hakimi ametwaa Tuzo hiyo baada ya kufanya vizuri kwa msimu uliyopita kwa kuchukua makombe...
0 Reactions
0 Replies
348 Views
Mashabiki wa Yanga wamepigwa na Ubaridi mara baada ya Club hiyo Kongwe nchini Tanzania Kuzindua Jezi zinazofanana na matambala matambala Ikumbukwe msimu huu hawakutoa Jezi nzuri hivyo wananachama...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Nimeshangaa wale watu wa bandarini pale Zanzibar wakiwafanyia harassment wachezaji wa Yanga na kuwaweka juani muda mrefu Wale walinzinwamegoma kuwaruhusu kupita ati hawana vitambulisho Yaani...
4 Reactions
32 Replies
1K Views
Na ndiyo maana nilifurahi mno kuona Super Black kachezewa mchezo alikokuwa na sasa hayuko kwani hakutusaidia.
0 Reactions
11 Replies
509 Views
Kuna Systems nyingi watu huwa wanakuja nazo ila mwisho wa siku kutokana na probability na odds zina-favor mtoa odds ni kwamba Bookmaker huwa anashinda tu mwisho wa mwaka, hata ukimpiga leo baada...
6 Reactions
33 Replies
3K Views
Star wa Simba amepata msiba wa kifiwa na baba yake mzazi, Binafsi Nampa pole Kwa msiba huo Kibu ni star wa football TANZANIA amecheza mpira muda mrefu na sasa yupo Simba analipwa zaidi ya milion...
7 Reactions
68 Replies
3K Views
Mbunge wa Geita, Joseph Musukuma "...Mheshimiwa mfuko wa wasanii pesa alizotoa Mama Samia leo tukiuliza kuna shilingi ngapi au mliowakopesha wamerudisha shilingi ngapi wapo hapa kuchukua hela leo...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Congo ...... Wamefuzu Kushiriki Fainali Za Kombe La Dunia 🇨🇩 DR Congo defeat Nigeria 4-3 on penalties to book their place in the inter-confederation playoffs in March. The Leopards are now...
1 Reactions
13 Replies
921 Views
Wakuu i salute you kinsmen Mimi kama mimi mwenyewe nimafuatilia sana team yetu tangu mwanzo mwa msimu na mara kadhaa niligusia swala moja moja ila leo nitagusia yote yanayotukwamisha kwa namna...
7 Reactions
16 Replies
875 Views
I salute you kinsmen Wakuu za chini ya kapeti ni kuwa kuna baadhi ha wachezaji wa team yetu wamekuwa hawatoi ushirikiano kwa asilimia mia na kuwa wavivu wakubwa kazini kwao. Ndio maana...
3 Reactions
15 Replies
972 Views
YANGA YADAIWA TENA, WACHEZAJI WAZIDI KUCHOKA AHADI HEWA Kwa mujibu wa taarifa ambazo zimefika mezani kwetu, wawakilishi wa kiungo wa Yanga SC, Aziz Andabwile, wamefungua rasmi kesi TFF wakidai...
2 Reactions
18 Replies
939 Views
Je, kuna Siri gani labda iliyojificha hapa? au huwa ni lazima labda kila Spika wa Bunge la JMT awe ni Shabiki wa SSC?
0 Reactions
19 Replies
734 Views
Tukubali tu stars hatuna wachezaji! Tuanze tu upya kuandaa misingi ya soka serious na siyo uhuni wa TFF kuchezesha maveterani na kuiita ligi ya U 20
1 Reactions
4 Replies
353 Views
Mimi naanza na Sergio Ramos
3 Reactions
152 Replies
5K Views
Back
Top Bottom