Yanga ni Umoja wa Mataifa
Yondani ni wajangwani tuna pesa balaa
Maisha yanaenda kasi sana kutoka pesa balaa mpaka njaa balaaYanga ni Umoja wa Mataifa
Yondani ni wajangwani tuna pesa balaa
Mapito..msimu ujao pesa balaaMaisha yanaenda kasi sana kutoka pesa balaa mpaka njaa balaa
Hahaaaaa tuombe heri mkuu maana dalili si njema sanaMapito..msimu ujao pesa balaa
Usishangae, hata Simba baada ya muda so mrefu njaa yaweza kurejea, tena ile njaa ya hatari, kwa sababu siioni mipango yoyote endelevu ya kuimarisha uchumi hapo Simbafc zaidi ya Moo kutoa pesa zake mfukoni. Siku Bi 20 zikimslizika, na njaa inaanza kutamalaki Msimbazi, itakuwa kama Africa Lyoni au Singida united. Povu ruksa.Maisha yanaenda kasi sana kutoka pesa balaa mpaka njaa balaa
Wasengerema nyie mlikua na mbwembwe hizi mnamsainisha mtu na kitita mezani halaf leo mnaomba tuwachangie... Mlipokua na hela mlikua na kiburi sana... Haya sasa onesheni jeuri tena nzi wa kijani nyinyi