Thamani ya Simba ni mashabiki wake na nembo yake. Mashabiki na nembo ya Simba ni zaidi ya Tsh 500b. Hii thamani ndiyo iliyomfanya mo aachane na Singida United na kuja Simba.
Hela zoooooote...
Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Yanga SC, wameendeleza kasi yao katika msimu mpya baada ya kuichapa Coastal Union mabao 4-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex.
Yanga ilionyesha...
Mario Balotelli ni mshambuliaji wa Italia mwenye asili ya Ghana, aliyezaliwa 12 Agosti 1990, nchini Italia. Alianza kujulikana akiwa na Inter Milan, ambako alishinda mataji kadhaa chini ya José...
Miaka tisa iliyopita, Kylian Mbappé na Bernardo Silva walikuwa sehemu ya kikosi cha Monaco kilichotikisa soka la Ulaya mwaka 2017.
Wawili hao walicheza pamoja katika kikosi hicho kabla ya...
Ligi Kuu England (Premier League) 2026/27 inaanza rasmi leo, Ijumaa Agosti 21, huku mabingwa watetezi Arsenal wakifungua msimu dhidi ya Coventry City kwenye Uwanja wa Emirates.
Mchezo huo...
TIMU ZITAKAZO SHIRIKI MSIMU HUU:
Arsenal
Aston Villa
Bournemouth
Brentford
Brighton & Hove Albion
Chelsea
Coventry City
Crystal Palace
Everton
Fulham
Hull City
Ipswich Town
Leeds United
Liverpool...
Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo Jumatano, Agosti 19, 2026, kwa michezo mitatu, huku Simba SC ikishuka dimbani kumenyana na Pamba Jiji FC katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mchezo huo unatarajiwa...
Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga SC, Fiston Kalala Mayele, ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa klabu ya Al Ahli Tripoli ya nchini Libya, akitokea Pyramids FC ya Misri.
Nyota huyo wa...
Nafurahishwa mno na kitendo cha kocha Juma Kaseja katika fani yake hii ya ukocha.
Hatua unazopitia usikate tamaa kwani sasa ni kocha mkuu wa timu ya Kagera ambayo uliteremka nayo daraja na kupanda...
FEISAL SALUM ana ofa ya Mkataba mpya kutoka Azam ambao ni wa miaka miwili.
Mchezaji ametaka Signing fee ya Billion 5 (5,000,000,000) kwa miaka yote miwili pamoja na mshahara wa Million 200...
Shirikisho la Soka nchini Senegal limemtaza rasmi gwiji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Patrick Vieira, kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya nchi hiyo (‘Lions of Teranga’)...
Habari za siku nyingi , EPL isharudi Msimu 202627 , JamiiForums Fantasy League imerejea . Jiunge uoneshe uwezo ushinde prizes kutoka Fantasy EPL na ligi ndogo mbalimbali zilizopo nchini ...
Baraza la Michezo la Taifa, BMT, limetoa ufafanuzi kwa umma, wanachama na wadau wa Klabu ya Simba kuhusu utekelezaji wa Katiba iliyorekebishwa ya klabu hiyo iliyoidhinishwa tarehe 18 Februari...
Wakuu!
Bila shaka msimu wa 2025/26 wa Ligi Kuu ya NBC umetoa funzo na mwelekeo wa namna ya kuboresha kanuni za mashindano kuelekea msimu wa 2026/27 ili kuongeza nidhamu, ushindani na hadhi ya...
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia, amesema Shirikisho hilo limepitisha maboresho makubwa ya kanuni za mpira wa miguu kuelekea msimu mpya, ikihusisha kuongeza adhabu...
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Yanga SC, wameingiza kitita cha Shilingi bilioni 4.6 kufuatia kukamilisha mauzo ya mastaa wao wawili wa kigeni, Laurindo Aurellio ‘Depu’ na Allan...
FANTASY PREMIER LEAGUE
Familia karibuni kwenye ligi ya watu wa mpira ya fantasy msimu huu mpya wa premier league, ligi yetu ina season 5 hadi sasa za ushindani karibuni tukafurahie msimu mpya wa...