Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Thamani ya Simba ni mashabiki wake na nembo yake. Mashabiki na nembo ya Simba ni zaidi ya Tsh 500b. Hii thamani ndiyo iliyomfanya mo aachane na Singida United na kuja Simba. Hela zoooooote...
6 Reactions
46 Replies
463 Views
Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Yanga SC, wameendeleza kasi yao katika msimu mpya baada ya kuichapa Coastal Union mabao 4-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex. Yanga ilionyesha...
5 Reactions
59 Replies
1K Views
Mario Balotelli ni mshambuliaji wa Italia mwenye asili ya Ghana, aliyezaliwa 12 Agosti 1990, nchini Italia. Alianza kujulikana akiwa na Inter Milan, ambako alishinda mataji kadhaa chini ya José...
0 Reactions
3 Replies
52 Views
Wakuu mambo niaje? Kwa hapa Kariakoo ni duka gani naweza kupata jezi za zamani za clubs za Uingereza kama hizi?
0 Reactions
8 Replies
74 Views
Miaka tisa iliyopita, Kylian Mbappé na Bernardo Silva walikuwa sehemu ya kikosi cha Monaco kilichotikisa soka la Ulaya mwaka 2017. Wawili hao walicheza pamoja katika kikosi hicho kabla ya...
0 Reactions
0 Replies
41 Views
Taja game unalolipenda umpate mwana hapa mwenzio Kichwa hakina miguu,tuenedelee tulipoishia…
1 Reactions
8 Replies
124 Views
Ligi Kuu England (Premier League) 2026/27 inaanza rasmi leo, Ijumaa Agosti 21, huku mabingwa watetezi Arsenal wakifungua msimu dhidi ya Coventry City kwenye Uwanja wa Emirates. Mchezo huo...
0 Reactions
1 Replies
50 Views
TIMU ZITAKAZO SHIRIKI MSIMU HUU: Arsenal Aston Villa Bournemouth Brentford Brighton & Hove Albion Chelsea Coventry City Crystal Palace Everton Fulham Hull City Ipswich Town Leeds United Liverpool...
5 Reactions
15 Replies
347 Views
Arsenal kila la kheri https://www.jamiiforums.com/threads/english-premier-league-uzi-maalum-wa-msimu-2026-2027.2455265/
0 Reactions
0 Replies
26 Views
Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo Jumatano, Agosti 19, 2026, kwa michezo mitatu, huku Simba SC ikishuka dimbani kumenyana na Pamba Jiji FC katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mchezo huo unatarajiwa...
4 Reactions
61 Replies
1K Views
Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga SC, Fiston Kalala Mayele, ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa klabu ya Al Ahli Tripoli ya nchini Libya, akitokea Pyramids FC ya Misri. Nyota huyo wa...
3 Reactions
5 Replies
234 Views
Nafurahishwa mno na kitendo cha kocha Juma Kaseja katika fani yake hii ya ukocha. Hatua unazopitia usikate tamaa kwani sasa ni kocha mkuu wa timu ya Kagera ambayo uliteremka nayo daraja na kupanda...
4 Reactions
5 Replies
167 Views
FEISAL SALUM ana ofa ya Mkataba mpya kutoka Azam ambao ni wa miaka miwili. Mchezaji ametaka Signing fee ya Billion 5 (5,000,000,000) kwa miaka yote miwili pamoja na mshahara wa Million 200...
13 Reactions
56 Replies
1K Views
Shirikisho la Soka nchini Senegal limemtaza rasmi gwiji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Patrick Vieira, kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya nchi hiyo (‘Lions of Teranga’)...
1 Reactions
5 Replies
94 Views
Habari za siku nyingi , EPL isharudi Msimu 202627 , JamiiForums Fantasy League imerejea . Jiunge uoneshe uwezo ushinde prizes kutoka Fantasy EPL na ligi ndogo mbalimbali zilizopo nchini ...
2 Reactions
6 Replies
95 Views
Baraza la Michezo la Taifa, BMT, limetoa ufafanuzi kwa umma, wanachama na wadau wa Klabu ya Simba kuhusu utekelezaji wa Katiba iliyorekebishwa ya klabu hiyo iliyoidhinishwa tarehe 18 Februari...
1 Reactions
2 Replies
97 Views
  • Featured
Wakuu! Bila shaka msimu wa 2025/26 wa Ligi Kuu ya NBC umetoa funzo na mwelekeo wa namna ya kuboresha kanuni za mashindano kuelekea msimu wa 2026/27 ili kuongeza nidhamu, ushindani na hadhi ya...
7 Reactions
31 Replies
866 Views
  • Featured
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia, amesema Shirikisho hilo limepitisha maboresho makubwa ya kanuni za mpira wa miguu kuelekea msimu mpya, ikihusisha kuongeza adhabu...
7 Reactions
65 Replies
2K Views
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Yanga SC, wameingiza kitita cha Shilingi bilioni 4.6 kufuatia kukamilisha mauzo ya mastaa wao wawili wa kigeni, Laurindo Aurellio ‘Depu’ na Allan...
4 Reactions
14 Replies
356 Views
FANTASY PREMIER LEAGUE Familia karibuni kwenye ligi ya watu wa mpira ya fantasy msimu huu mpya wa premier league, ligi yetu ina season 5 hadi sasa za ushindani karibuni tukafurahie msimu mpya wa...
0 Reactions
0 Replies
26 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…