Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,708
- 1,733
Nafurahishwa mno na kitendo cha kocha Juma Kaseja katika fani yake hii ya ukocha.
Hatua unazopitia usikate tamaa kwani sasa ni kocha mkuu wa timu ya Kagera ambayo uliteremka nayo daraja na kupanda nayo.
Nakuomba, usije kukubali kuwa kocha msaidizi wa timu yoyote hasa Simba, hii itakuzuia kutengeneza CV yako ya maendeleo.
Hatua unazopitia usikate tamaa kwani sasa ni kocha mkuu wa timu ya Kagera ambayo uliteremka nayo daraja na kupanda nayo.
Nakuomba, usije kukubali kuwa kocha msaidizi wa timu yoyote hasa Simba, hii itakuzuia kutengeneza CV yako ya maendeleo.