Miss Halima
Senior Member
- Aug 4, 2026
- 170
- 377
Miaka tisa iliyopita, Kylian Mbappé na Bernardo Silva walikuwa sehemu ya kikosi cha Monaco kilichotikisa soka la Ulaya mwaka 2017.
Wawili hao walicheza pamoja katika kikosi hicho kabla ya kutengeneza njia zao tofauti kwenye soka la kimataifa.
Sasa, mwaka 2026, historia imewarudisha pamoja tena safari hii wakiwa wachezaji wenza wa Real Madrid.
Wawili hao walicheza pamoja katika kikosi hicho kabla ya kutengeneza njia zao tofauti kwenye soka la kimataifa.
Sasa, mwaka 2026, historia imewarudisha pamoja tena safari hii wakiwa wachezaji wenza wa Real Madrid.