kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,046
- 16,724
Thamani ya Simba ni mashabiki wake na nembo yake. Mashabiki na nembo ya Simba ni zaidi ya Tsh 500b. Hii thamani ndiyo iliyomfanya mo aachane na Singida United na kuja Simba.
Hela zoooooote alizotoa Mo kwa Simba zimetumika tayari kumtangaza mo, makampuni yake na bidhaa zake sokoni. Matangazo haya yame promote bidhaa zake zikauzika sokoni kama nyungu hadi akawa bilionea namba moja kijana Afrika. Simba imemtangaza mo hadi akajulikana ndani na nje ya nchi. Anaijua thamani ya kutangazwa?
Simba haina deni lolote, sanasana inamdai mo na makampuni yake yaliyoimarika kutokana na kubebwa na Simba, na hii ndiyo iliyomfanya asiende kuzifadhili timu nyingine.
Hela zoooooote alizotoa Mo kwa Simba zimetumika tayari kumtangaza mo, makampuni yake na bidhaa zake sokoni. Matangazo haya yame promote bidhaa zake zikauzika sokoni kama nyungu hadi akawa bilionea namba moja kijana Afrika. Simba imemtangaza mo hadi akajulikana ndani na nje ya nchi. Anaijua thamani ya kutangazwa?
Simba haina deni lolote, sanasana inamdai mo na makampuni yake yaliyoimarika kutokana na kubebwa na Simba, na hii ndiyo iliyomfanya asiende kuzifadhili timu nyingine.