...Nilikuwa na wazee wa Simba uwanja wa Jamuhuri hapa Dodoma siku za karibuni,mzee mmoja wa Simba akasema ni bora ubingwa uende kwa Yanga au Villa Squad kuliko Azama FC.Lakini pia wa Yanga nao...
Inatupasa wana JF wote kujumuika na kuweka tofauti zetu kando na kwenda kuishabikia Manchester united itakapokwaana na Stoke city katika dimba la old traford mida ya saa tano usiku kwa saa za...
Barcelona have completed the signing of Wayne Rooney for a world record transfer fee of £83 million.
After weeks of speculation, the world and European champions held off a...
Mr. Marcio Maximo Barcellos, Brazilian Professional Football Coach is serious, competent and has coaches always with good results as one may check on his honest "Curriculum" and had his capacity...
Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa klabu ya Simba yuko hatarini kufungiwa maisha kwa kujihusisha na rushwa katika pambano la watani wa jadi hapo Oktoba 2011.Alinaswa na viongozi wa Yanga akiwasiana...
Haya kwa wale wapenda tennis.
Msimu wa 2011 kijana djokoviv aliwapelekesha kiina Nadal na Federer. Federer Umri unaonekana umekwenda lakini bado yumo yumo
Msimu ndio Umeanza kwa AUSTRALIAN...
NI AJABU MNO KUONA/KUSIKIA VYOMBO VYETU VYA HABARI KUONA UFAHARI KUONESHA 'LIVE' MECHI ZA SOKA LA KLABU ZA ENGLAND NA KUACHA KUFANYA HIVO KWENYE KOMBE HILI LA AFRIKA ACHILIA MBALI LIGI YETU. KAMA...
hongereni sana Manchester united kwa kutoa dozi ya kipigo cha mabao mawili kwa moja dhidi ya Arsenal tena kwenye uwanja wao wa Nyumbani,ninaimani mna uchu wa magoli.
No one loves you manchester city also Azam FC!! may be wale wanafiki wasiopenda timu flani ichukue tena ubingwa safari hii na ambao timu yao imepoteza matumaini kabisa!!!
Spanish football Cup slips, falls under bus
Spain's most treasured football trophy, the King's Cup, slipped from the hands of a Real Madrid player, fell under the team bus and was...
Hawa miamba wawili kwanini hawatwangani tujue nani mbabe zaidi maana kila mtanange ukipangwa upande mmoja unazingua.
Mimi naamini Mayweather ni mkali kuliko Pacquiao ninachosubiri ni raundi 12 tu...
Nilitarajia kuwa waziri wa utamaduni............. Angejikita katika kuhakikisha vyombo vyetu vya habari (television, radio, magazeti nk.) vinathamini utamaduni wetu hasa katika kutuhabarisha...
Naomba msaada wa kilipo chama cha riadha,binafisi naishi maeneo ya kimara si shabiki wa michezo lakini nimuomavyo msichana wetu wa kazi ni mutu ambaye itakuja kuwa lulu kubwa ya taifa hili,mutu...
My fellow artists, am looking for shops where they sell painting stuffs like brushes, boards, oil paints and so forth here in DSM. If anyone knows, pls PM me.