Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

The Borussia Dortmund attacker,shinji kagawa,will join Old trafford subject to a medical and UK work permit. source:goal.com
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ngoja leo nisiwaongelee kabisa Watani zangu, Leo tuweke unazi pembeni,tuongee kidogo kuhusiana na team yetu ya Taifa, Taifa Stars ambayo kesho tarehe 2 itateremka dimbani Jijini Abidjan kumenyana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mechi hii ya kwanza ya kuwania kufuzu kombe la dunia 2014, itachezwa saa 2:00 usiku (EAT) kwa mujibu ESPN Soccernett katika uwanja wa kumbukumbu ya Felix Boigny mjini Abidijan. Updates nitaomba...
1 Reactions
301 Replies
23K Views
Very inspiring. Love them.
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Brazil wala kichapo wakiwa nyumbani kwao 2 bila majibu kutoka kwa Mexico!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dah Kidosho cha Georgia ni kikali kweli kweli.........hebu ngoja tuone matokeo..........
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Was a very nice friendly match.............
0 Reactions
1 Replies
955 Views
Tangu kuondoka kwa Tido Mhando TBC imeshindwa kuonyesha au kutangaza live mechi za timu ya soka ya Tanzania,inasikitisha sana pamoja na kuendeshwa kwa kodi zetu lakini imekua ikihusika na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
FIFA.com - 2014 FIFA World Cup? - African preliminary competition
0 Reactions
0 Replies
847 Views
Floyd Mayweather's time to head to jail has come, but will any lessons come of it? By Kevin Iole | Yahoo! Sports – Thu, May 31, 2012 9:16 PM EDT LAS VEGAS – In January, June 1...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Liverpool fans make their way into Wembley Stadium for the FA Cup final.
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Ebu sikilizeni iki kibao pamoja na kuwa na mapungufu ya idadi ya wachezaji waliocheza kutokana na mtangazaji(mwimbaji) akiwataja ni 16. Huu wimbo uliimbwa kwa ajili ya kuwaomba wachezaji wa Timu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wana jamvi hii mech hapo juu inaonyeshwa kwenye television channel ipi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jf, kuna stesheni yoyote ya Tv za hapa Bongo itakayorusha matangazo ya 1 kwa 1 (live)? Mwenye taarifa aweke hapa tafadhali.
1 Reactions
0 Replies
875 Views
Ni mechi ya kwanza ya Kundi D katika michezo ya kufuzu Kombe la Dunia 2014 kati ya Ghana na Lesotho, inayoendelea katika uwanja wa Baba Yara mjini Kumasi ambayo imevunjika kutokana na kuzimika kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Revealed: Why Chris Eubank gave away his sons to a virtual stranger He has a look of his pugilist father and packs a mean punch, too. At the Top Rank boxing gym, a few yards off the brightly lit...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana Jf nimekuwa nikisikia sana mchezaji fulani amefunga goli kwa hat trick... Naomba kufahamishwa kufunga kwa hat trick ni goli la aina gani?..... na nini tofauti yake na offside trick?
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Wanajamvi kwa sasa ligi nyingi zimekwisha, tarehe 11 june mtanange unaanza. Hapa tuhabarishane kwa kila kinachojiri. Tuambiane TV gani kwa bongo itarusha au zile link za bure wewe tupia hapa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau habari zenu. Jamani naomba kwa anaejuwa saa za Warsaw Poland 2am na 445am kwetu TZ inakuwa ni saa ngapi maana mechi zote zitachezwa muda huo. Nawasilisha.
0 Reactions
19 Replies
3K Views
...Simba Sc...iliyokuwa chini ya mbunge wa Tabora Mjini...Aden Rage..imekuwa na Mipango mingi sana toka waingie madarakani...mipango hiyo... mabayo mingi iliwekwa Hadharani...naikumbuka michache...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom