Ngoja leo nisiwaongelee kabisa Watani zangu,
Leo tuweke unazi pembeni,tuongee kidogo kuhusiana na team yetu ya Taifa, Taifa Stars ambayo kesho tarehe 2 itateremka dimbani Jijini Abidjan kumenyana...
Mechi hii ya kwanza ya kuwania kufuzu kombe la dunia 2014, itachezwa saa 2:00 usiku (EAT) kwa mujibu ESPN Soccernett katika uwanja wa kumbukumbu ya Felix Boigny mjini Abidijan.
Updates nitaomba...
Tangu kuondoka kwa Tido Mhando TBC imeshindwa kuonyesha au kutangaza live mechi za timu ya soka ya Tanzania,inasikitisha sana pamoja na kuendeshwa kwa kodi zetu lakini imekua ikihusika na...
Floyd Mayweather's time to head to jail has come, but will any lessons come of it?
By Kevin Iole | Yahoo! Sports – Thu, May 31, 2012 9:16 PM EDT
LAS VEGAS – In January, June 1...
Ebu sikilizeni iki kibao pamoja na kuwa na mapungufu ya idadi ya wachezaji waliocheza kutokana na mtangazaji(mwimbaji) akiwataja ni 16.
Huu wimbo uliimbwa kwa ajili ya kuwaomba wachezaji wa Timu...
Ni mechi ya kwanza ya Kundi D katika michezo ya kufuzu Kombe la Dunia 2014 kati ya Ghana na Lesotho, inayoendelea katika uwanja wa Baba Yara mjini Kumasi ambayo imevunjika kutokana na kuzimika kwa...
Revealed: Why Chris Eubank gave away his sons to a virtual stranger
He has a look of his pugilist father and packs a mean punch, too. At the Top Rank boxing gym, a few yards off the brightly lit...
Wana Jf nimekuwa nikisikia sana mchezaji fulani amefunga goli kwa hat trick...
Naomba kufahamishwa kufunga kwa hat trick ni goli la aina gani?..... na nini tofauti yake na offside trick?
Wanajamvi kwa sasa ligi nyingi zimekwisha, tarehe 11 june mtanange unaanza.
Hapa tuhabarishane kwa kila kinachojiri.
Tuambiane TV gani kwa bongo itarusha au zile link za bure wewe tupia hapa...
Wadau habari zenu. Jamani naomba kwa anaejuwa saa za Warsaw Poland 2am na 445am kwetu TZ inakuwa ni saa ngapi maana mechi zote zitachezwa muda huo. Nawasilisha.
...Simba Sc...iliyokuwa chini ya mbunge wa Tabora Mjini...Aden Rage..imekuwa na Mipango mingi sana toka waingie madarakani...mipango hiyo... mabayo mingi iliwekwa Hadharani...naikumbuka michache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.