Mtumpole
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 2,278
- 1,282
Ebu sikilizeni iki kibao pamoja na kuwa na mapungufu ya idadi ya wachezaji waliocheza kutokana na mtangazaji(mwimbaji) akiwataja ni 16.
Huu wimbo uliimbwa kwa ajili ya kuwaomba wachezaji wa Timu ya Soka ya Taifa wasijiuzulu warudi kwenye timu ya Taifa (Taifa Stars).
Hii ilikuwa ni timu ya Soka ya Taifa ya mwaka gani na ni nini kilichosababisha wachezaji waliotajwa kwenye huu wimbo kujiuzulu kuichezea Timu ya Soka ya Taifa?
Wachezaji waliokuwa kwenye hiyo timu ni
01. Iddi Pazi
02. Kiwelo Mussa
03. Said George
04. Athumani Maulid
05. Athumani Chama
06. Ahmed Amasha
07. Ramadhani Lenny
08. Mohamed Adolf
09. Octavian Mrope
10. Makumbi Juma
11. Peter Tino
12. Charles Borniface
13. Lila Shomari
14. Hillal Hemed
15. Selestine Mbunga na
16. Zamoyoni Mogela
Makocha inaonekana walikuwa ni
01. Abdul Wakati Juma na
02. Joel Bendera
Huu wimbo uliimbwa kwa ajili ya kuwaomba wachezaji wa Timu ya Soka ya Taifa wasijiuzulu warudi kwenye timu ya Taifa (Taifa Stars).
Hii ilikuwa ni timu ya Soka ya Taifa ya mwaka gani na ni nini kilichosababisha wachezaji waliotajwa kwenye huu wimbo kujiuzulu kuichezea Timu ya Soka ya Taifa?
Wachezaji waliokuwa kwenye hiyo timu ni
01. Iddi Pazi
02. Kiwelo Mussa
03. Said George
04. Athumani Maulid
05. Athumani Chama
06. Ahmed Amasha
07. Ramadhani Lenny
08. Mohamed Adolf
09. Octavian Mrope
10. Makumbi Juma
11. Peter Tino
12. Charles Borniface
13. Lila Shomari
14. Hillal Hemed
15. Selestine Mbunga na
16. Zamoyoni Mogela
Makocha inaonekana walikuwa ni
01. Abdul Wakati Juma na
02. Joel Bendera