Hii ilikuwa ni Timu ya Soka ya Taifa(TAIFA STARS) ya mwaka gani?

Mtumpole

JF-Expert Member
Aug 30, 2010
2,278
1,282
Ebu sikilizeni iki kibao pamoja na kuwa na mapungufu ya idadi ya wachezaji waliocheza kutokana na mtangazaji(mwimbaji) akiwataja ni 16.

Huu wimbo uliimbwa kwa ajili ya kuwaomba wachezaji wa Timu ya Soka ya Taifa wasijiuzulu warudi kwenye timu ya Taifa (Taifa Stars).
Hii ilikuwa ni timu ya Soka ya Taifa ya mwaka gani na ni nini kilichosababisha wachezaji waliotajwa kwenye huu wimbo kujiuzulu kuichezea Timu ya Soka ya Taifa?


Wachezaji waliokuwa kwenye hiyo timu ni
01. Iddi Pazi
02. Kiwelo Mussa
03. Said George
04. Athumani Maulid
05. Athumani Chama
06. Ahmed Amasha
07. Ramadhani Lenny
08. Mohamed Adolf
09. Octavian Mrope
10. Makumbi Juma
11. Peter Tino
12. Charles Borniface
13. Lila Shomari
14. Hillal Hemed
15. Selestine Mbunga na
16. Zamoyoni Mogela

Makocha inaonekana walikuwa ni
01. Abdul Wakati Juma na
02. Joel Bendera
 

Attachments

  • Taifa Stars.mp3
    10.1 MB · Views: 81
Duh! Kikosi hatari hicho. Hapo hatumwi mtoto in fact ni kama " barcelona" ya sasa hvi vile


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Performance yake ilikuwaje kimataifa?

Unafikiri walikuwa wanauza chai kama wachezaji wenu wa enzi za hawa kina Paulsen wenu(Jan na Kim)...jamaa walikuwa wanapiga kazi tena kipindi hicho mpira haukuwa na fedha kama kipindi hiki,kipindi hicho morale ilikuwa inatengenezwa na uzalendo halisi,siyo kipindi hicho hela za kumwaga hlf bado wachezaji wanarukaruka tu uwanjani...watu wana budget ya 23 billion kutoka kwa wafadhili halafu leo wanabebeshwa kapu la magoli kule abidjan,is this fair kwakweli si ufujaji wa hela tu.
Kwa kujibu tu swali lako....ninapoliona jina la Peter Augustino au Peter Tino kama alivyokuwa amezoeleka na wapenda soka wa Tanzania basi najua 1 kwa 1 kuwa team ya kipindi hiki ndo ilitupatia ile nafasi 1,(only once) ya kwenda kushiriki kwenye kombe la mataifa ya africa,kwasababu nakumbuka Peter Tino ndo alikuwa mfungaji wa lile goli.
 
Unafikiri walikuwa wanauza chai kama wachezaji wenu wa enzi za hawa kina Paulsen wenu(Jan na Kim)...jamaa walikuwa wanapiga kazi tena kipindi hicho mpira haukuwa na fedha kama kipindi hiki,kipindi hicho morale ilikuwa inatengenezwa na uzalendo halisi,siyo kipindi hicho hela za kumwaga hlf bado wachezaji wanarukaruka tu uwanjani...watu wana budget ya 23 billion kutoka kwa wafadhili halafu leo wanabebeshwa kapu la magoli kule abidjan,is this fair kwakweli si ufujaji wa hela tu.
Kwa kujibu tu swali lako....ninapoliona jina la Peter Augustino au Peter Tino kama alivyokuwa amezoeleka na wapenda soka wa Tanzania basi najua 1 kwa 1 kuwa team ya kipindi hiki ndo ilitupatia ile nafasi 1,(only once) ya kwenda kushiriki kwenye kombe la mataifa ya africa,kwasababu nakumbuka Peter Tino ndo alikuwa mfungaji wa lile goli.

Nakubaliana na wewe 100%


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Unafikiri walikuwa wanauza
chai kama wachezaji wenu wa enzi za hawa kina Paulsen wenu(Jan na
Kim)...jamaa walikuwa wanapiga kazi tena kipindi hicho mpira haukuwa na
fedha kama kipindi hiki,kipindi hicho morale ilikuwa inatengenezwa na
uzalendo halisi,siyo kipindi hicho hela za kumwaga hlf bado wachezaji
wanarukaruka tu uwanjani...watu wana budget ya 23 billion kutoka kwa
wafadhili halafu leo wanabebeshwa kapu la magoli kule abidjan,is this
fair kwakweli si ufujaji wa hela tu.
Kwa kujibu tu swali lako....ninapoliona jina la Peter Augustino au Peter
Tino kama alivyokuwa amezoeleka na wapenda soka wa Tanzania basi najua 1
kwa 1 kuwa team ya kipindi hiki ndo ilitupatia ile nafasi 1,(only once)
ya kwenda kushiriki kwenye kombe la mataifa ya africa,kwasababu
nakumbuka Peter Tino ndo alikuwa mfungaji wa lile goli.

Mkuu ile na Tenga alikuwepo, na jamaa mmoja wa simba Thuen Ally alikuwa balaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom