Napingana na baadhi ya mashabiki na wachambuzi wanaotafuta kichaka cha kujifichia kwamba Simba ratiba yao imekuwa ngumu ndio maana wachezaji wamechoka na wakafungwa hili jambo sio kweli ata...
Wadau wa NBA hebu tukae sawa...
Kama kuna somo msimu huu tumejifunza, ni kwamba "heshimu kila timu, hata kama ESPN haijawapa nafasi."
✅ Oklahoma City Thunder
✅ Indiana Pacers
Kiukweli kabisa –...
Japo si kwa 100% of course doubts kidogo zilikuwepo kutokana na uwepo wa giants kama Al Ahly na Mamelodi,
Lakini nilipotazama mchezo wa pyramids dhidi ya esperansa nilisema kwakweli isingekuwa...
Mungu fundi
Mungu fundi
Mungu hajawahi shindwa
Yaan nilianza kuiombea pyramid ifike final
Imefika nkaomba mungu asaidie wachukue na ubingwa
Sasa wanasubiriaa tu masaa kubeba kombe
Niliomtakia...
Sambamba na kichwa hapo juu kikiakisi kiarabu cha mchongo, al-furaha mutawaliya, yaani hapa naeleza furaha 3 mfululu au mfuatano, au basi kama mulivyozowea, furaha mfululizo.
1. Yanga na Ubingwa...
Uongozi wa Klabu ya Yanga umesema kuondoka kwa Fiston Mayele ni hatua ya kukua kwa soka ndani ya timu yao na watampata mbadala wake kwa kuwa maisha ni lazima yaendelee.
Mayele mchezaji na...
Kocha Mkuu Wa pyramids FC Krunoslav Jurcic [emoji1082] ameuambia Uongozi wa Pyramids kuwa ana malengo makubwa na Fiston mayele na kama watamuuza basi yeye pia ataondoka ndani ya Timu hiyo
Familia...
Wakuu,
Leo inapigwa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank ni Simba SC dhidi ya Singida BS pale katika dimba la Tanzanite Kwaraa Mkoani Manyara.
Mechi hii itachezwa kuanzia saa 9:30...
Klabu ya Yanga SC ya Tanzania inatarajia kucheza mechi ya Kimataifa ya kirafiki dhidi ya Rayon Sports Juni 15, 2025 mchezo huo ukiwa unalenga kujenga uhusiano mzuri na klabu hiyo.
Mchezo huo...
Hii hapa ni orodha ya vilabu vilivyochukua Ligi ya mabingwa barani Ulaya (UCL-UEFA CHAMPIONS LEAGUE) baada ya Jana PSG kubeba taji kwa kipigo cha mbwa Koko alichomshushia Inter Milan,Chama lako ni...
Licha ya kuwa TFF, Bodi ya ligi na taasisi zote za TFF zipo mfukoni mwa Simba ila Kwa hili oneni basi aibu
Mpanzu amemchezea rafu mbaya mchezaji wa Singida Black Stars ambayo ingehatarisha kipaji...
#CRDBFACup Leo kuna watu wanatamani hadi refa afanyiwe SUB
Jana mechi ikiendelea Mashabiki wa Simba walirise Kwa kurusha chupa uwanjani huku wakiimba refa atolewe sub
Je nikweli bila nguvu za...
The gambling industry is growing every day in Africa, with lottery games attracting more and more young people. In Africa, Zambia ranks seventh, behind South Africa, Nigeria, Kenya, Uganda, and...
Baada ya kichaka Cha marefa wa Simba kuchezesha mechi kufyekwa Sasa imekua kama Nyoka ( kolo) wamepigwa kichwani [emoji23][emoji23] ingawa bado anapumua Kidgo
Hivyo Ile ndoto ya makolo ya kubeba...
Kama kweli Simba inahitaji msimu ujao kufanya vizuri kimataifa na kitaifa na kuonyesha ubaya ubwela kweli basi wafuatao waachwe.
1. Che Malone Fondoh
2.Chamou Karaboe
3. Augustine Okajepha...
Along his wife. Aseeeeee KUDANGA mixer. Bongoland
Agiza bia hapo nakuja lipia.......🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️
Katika hali ya kushangaza kibegi maarufu cha mashabiki lia lia wa Simba kimeonekana kutelekezwa vichakani,kuelekea mwisho wa msimu ambapo Simba sc wakionekena kukata tamaa kupata hata kikombe cha...
1)MADRID 7-3 FRANKFURT Mwaka 1960 pale mjini glasgow nchin scotland
2)BENFICA 5-3 MADRID mwaka 1962 pale amsterdam uholanzi
3)PSG VS INTER MILAN....Matokeo nimesahau
Tuwe Wakwelii...
Luis Enrique ametumia karibu kiasi sawa cha pesa ndani ya miaka miwili pale PSG kama ambavyo Mikel Arteta ametumia katika kipindi cha miaka sita pale Arsenal.
Lakini kuna...
Kikosi cha Simba SC kwa msimu wa 2024/2025.
KILICHOFUZU KUCHEZA FAINALI ZA SHIRIKISHO BARANI AFRICA CAFCC 2024-205.
kinajumuisha wachezaji kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika. Hapa chini ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.