Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Kama ulikata Tiketi yako ya Kielektroniki ile Mechi ya Awali itunze kwani hiyo hiyo utaingia nayo Mechi ya tarehe 15 June.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wadau kama mnavyoona kichwa Cha habari kinavyosema Nina laki 5 kama mtaji kwenye betting kuelekea kuanza Kwa msimu. Nitumie mbinu Gani Ili niweze kufanikiwa kufikisha million 10 mpaka mwakani...
10 Reactions
135 Replies
6K Views
Ijumaa ya 16/08/2024 pazia la EPL litafunguliwa kwa mchezo baina ya Man Utd Vs Fulham kule Old Trafford. Kuelekea msimu huu mpya wa 2024/25 tabiri Top Four yako itaishaje mwisho wa msimu. Twende...
8 Reactions
67 Replies
3K Views
Serikali ya Uingereza imeingia katika mzozo na aliyekuwa mmiliki wa Klabu ya Chelsea, Roman Abramovich kuhusiana na matumizi ya fedha Pauni Bilioni 2.5 ambazo zimezuiwa katika akaunti ya benki...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi ni mmoja wa watu wachache sana ambao tuliitabiria makubwa Simba kabla hata msimu huu haujaanza. Kwa maana hiyo mimi ni mmoja wa watu wachache ambao tuna kibali cha kuona na kutafsiri kwa...
11 Reactions
71 Replies
4K Views
Hey, guys! What about you fav sports to betting?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu Uzi ndo umeisha hivo. Kipindi cha kwanza Simba anashinda moja au mbili then kipindi cha pili anashinda 3 au mbili jumla goli 4. Nimemaliza
6 Reactions
64 Replies
2K Views
Kwakuwa mwaka jana nilikuambia tutafutane ili nikufanyie hiyo Kazi ukawaamini Wanafiki waliokuzunguka sasa GENTAMYCINE nimeshapata Wachezaji wa maana Watano kutoka Congo DR 2, Tanzania 1, Uganda 2...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Mimi nitaenda na formation: 4-3-1-2 1. Cech 2. Neville 3. Vidic 4. Terry 5. Cole 6. Scholes 7. Gerrard 8. Lampard 9.Rooney 10. Ronaldo 11. Henry
9 Reactions
69 Replies
3K Views
Baada ya timu ya Inter-Milan kupigwa mabao 5-0 kwenye mchezo wa fainali wa UEFA Champions league, mashabiki wa AC-Milan walijitokeza mitaani wakiwa wamebeba mfano wa masanduku ya kuzikia kuashiria...
10 Reactions
24 Replies
2K Views
Msikilizaji anataka kusikilizwa mpira kuanzia mwanzo hadi mwisho na Kila tukio uwanjani. Kuna wakati mpira umenza lakini TBC hawatangazi mpira bali wanatangaza vitu vyao vingine kabisaaaaaa...
5 Reactions
49 Replies
2K Views
03 June 2025 Nairobi, Kenya PAMOJA VISA iko mbioni kurahisisha watu kuzunguka latika nchi wenyeji wa mashindano ya CHAN 2025 Michuano ya CHAN 2025 ikiwa inakaribia, nchi tatu za Afrika ya...
1 Reactions
1 Replies
385 Views
Kutokana na Bodi ya Ligi kuu kuvuruga ligi hii ya mwaka huu, nadhani imefikia wakati kuwe na makampuni binafsi ya kuendesha na kusimamia mashindano mbalimbali yaliyo chini ya TFF. Makampuni hayo...
0 Reactions
0 Replies
250 Views
Azam FC wanawakumbusha watani wa jadi kuwa wao ni level nyingine, walishamwaga bilioni 250 kwenye ligi kuu na bado wanatoa pocket money milioni 50 kwa kila timu kila mwezi, kwao si chochote kumpa...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Ni mechi ya 3 tu lakini tayari Man City ni bingwa na Halaand kashachukua kiatu Hii ligi Pep kashaigeuza farmer league kama bundesliga na league 1, Hii ligi itakuwa na ushindani endapo Pep...
15 Reactions
73 Replies
4K Views
Hii ni hazina nyingine ya Dar Young Africans inayoenda kuushangaza ulimwengu. Hajawahi kuisahau Yanga. Kama alivyokuwa yule mwingine shabaan nonda Papii Yanga imempeleka Striker hatari ulimwenguni.
2 Reactions
43 Replies
2K Views
SALAAM WAKUU. Jana kulishuhudiwa mchezo wa hatima ya UEFA CL kati ya REAL MADRID dhidi yaLIVERPOOL ambapo vijana wa LOS BLANCOS walinyakua taji baada ya kuifunga LIVERPOOL bao 1 bao lililofungwa...
13 Reactions
180 Replies
10K Views
Katika muktadha wa betting (kamari mtandaoni), neno "Curaçao" linamaanisha leseni ya uendeshaji wa kamari mtandaoni inayotolewa na serikali ya Curaçao, ambayo ni eneo la ng’ambo la Uholanzi...
0 Reactions
5 Replies
459 Views
Wimbo huu nimeufanya kwa kushiriaka na AI, nilipata wazo, nikatunga mashairi machache. Nilipopata ugumu nikashauriana na AI tukajadili tukapata mashairi. Nikafanya prodction ya Beat kama sample...
4 Reactions
15 Replies
875 Views
Back
Top Bottom