Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 17,183
- 26,548
Bos amepaniki, Kauli aliyotoa mmilikiwa Timu ya Azam ndugu bakhresa kwamba wanajitoa kwenye ligi na kuhamia Zanzibar ni kashfa kubwa sana.
Kashfa hii inaweza kukimbiza wawekezaji wa mpira na watu kuacha kuangalia soka la Tanzania.
Kasfa hii lazma ijibiwe vikali, sijui alitaka Feisali apewe pongezi kwa utovu wa nidhamu aliofanya?
Inasemekana aliuziwa mechi ya nusu fainali CRDB na yeye akauza mechi ya NBC, akaaminishwa kwamba atakuwa bingwa wa CRDB, Sasa Leo mambo yamekuwa tofauti fala Kawa Azam kauza halafu yeye kabaki na makopo, ndiyo maanah ata FEI amepaniki kwa sababu aliona mechi ya nusu fainali CRDB akacheza halafu mechi kubwa ya NBC aka-kaa mbao ndefu kitambala bench, Manula bench, kwa hiyo Fei alijua maboss wake wamezunguka mbuyu na yeye akaona isiwe tabu akatengeneza tukio na kupata red card na Ile kilikuwa lengo lake, kwa hiyo wasimfokee REFA Wala bodi ya ligi.
Kashfa hii inaweza kukimbiza wawekezaji wa mpira na watu kuacha kuangalia soka la Tanzania.
Kasfa hii lazma ijibiwe vikali, sijui alitaka Feisali apewe pongezi kwa utovu wa nidhamu aliofanya?
Inasemekana aliuziwa mechi ya nusu fainali CRDB na yeye akauza mechi ya NBC, akaaminishwa kwamba atakuwa bingwa wa CRDB, Sasa Leo mambo yamekuwa tofauti fala Kawa Azam kauza halafu yeye kabaki na makopo, ndiyo maanah ata FEI amepaniki kwa sababu aliona mechi ya nusu fainali CRDB akacheza halafu mechi kubwa ya NBC aka-kaa mbao ndefu kitambala bench, Manula bench, kwa hiyo Fei alijua maboss wake wamezunguka mbuyu na yeye akaona isiwe tabu akatengeneza tukio na kupata red card na Ile kilikuwa lengo lake, kwa hiyo wasimfokee REFA Wala bodi ya ligi.