loose Nut
JF-Expert Member
- Dec 6, 2025
- 2,263
- 5,171
Itakuwa bonge la mechi ambayo itawakutanisha Morocco the Atlas Lions na Ufaransa Les blues katika hatua ya robo fainali kwenye michuano ya kombe la dunia yanayoendelea Marekani, Mexico na Canada.
Siyo mechi ya kukosa hata madogo watakesha.
Kwa upande wangu naishabikia Morocco nakuiombea ishinde.
Kulingana na ukomavu na uzoefu wangu wa muda mrefu katika maswala ya mpira mechi itaenda hadi hatua ya mikwaju ya penati kuamua mshindi ambapo Morocco 🇲🇦 itaibuka kidedea na kusonga mbele nusu fainali.
Hakimi atakutana na wenzake anaocheza nao PSG "Dembelee" , Bacorra na duerte.
Nawatakia utazamaji mwema wa hii mechi natukutane tena jamvini mechi itakavyoanza.
Senior JF local, international football analyst and correspondent and FIFA delegate
adriz de mbusii
Siyo mechi ya kukosa hata madogo watakesha.
Kwa upande wangu naishabikia Morocco nakuiombea ishinde.
Kulingana na ukomavu na uzoefu wangu wa muda mrefu katika maswala ya mpira mechi itaenda hadi hatua ya mikwaju ya penati kuamua mshindi ambapo Morocco 🇲🇦 itaibuka kidedea na kusonga mbele nusu fainali.
Hakimi atakutana na wenzake anaocheza nao PSG "Dembelee" , Bacorra na duerte.
Nawatakia utazamaji mwema wa hii mechi natukutane tena jamvini mechi itakavyoanza.
Senior JF local, international football analyst and correspondent and FIFA delegate
adriz de mbusii