Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Wapendwa SIJAWAHI kosea ndoto ZANGU Usiku waleonnimeota BODI ya Ligi itajiuzulu siku si nyingi kuanzia sasaaa Na taarifa za ndoto ZANGU zinasema Itaundea BODI mpya Na bAadae YANGA...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
FIFA hairuhusu shughuli na uendeshaji wa mpira kuingiliwa na wanasiasa, au maamuzi yake kufanywa na Serikali. Tumeshuhudia Bodi ya Ligi ikishindwa kujisimamia na kusimamia majukumu yake hivyo...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Simba, juzi juzi tu kuelekea fainal yenu, Mama alitoa karibu gharama zote simba kwenda na kurudi Moroco, mlimpongeza mama kwa vicheko na furaha meno yote 32 nje nje kwa furaha mlokuwa nayo Leo...
5 Reactions
15 Replies
775 Views
I salute kinsmen Hakika kwa sasa tulishajua maji na mafuta ni kipi kimejitenga . Tumejua sasa kuwa simba alitakiwa kumaliza nafasi ya 8 ligi kuu msimu huu. Zaidi tumejua kuwa mbeleko ule...
6 Reactions
81 Replies
2K Views
Unaambiwa Mafundi wa kujenga jengo Msimbazi imegeuka kila mtu anaongea LUGHA yake,wakisema lete Zege, analeta maji, leta tofali, analeta ugali [emoji849] Guess what's real happening at kolo's...
8 Reactions
15 Replies
1K Views
🎙ENG. HERSI KUHUSU KARIA 👇 🗣"Nikuhakikishie sisi kama wadau wa soka tutaendelea kukuunga mkono Rais wa TFF Wallace Karia na Kamati ya utendaji, nipongeze wazo zuri ambalo kaka angu Mangungu...
0 Reactions
5 Replies
920 Views
Mwamba Kila Baada ya dk 10 alikuwa anapost kwenye social media zake akiwananga Yanga na kampeni yao ya hatuchezi Pia alipinga sana kuwa tamko la yanga la kutaka viongozi wajiudhuru ....halikuwa...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
"Jana Marefa 9 wa Championship wamefungiwa kuto kuchezesha mashindano yoyote kwa msimu mzima unao fata Kosa kubwa lilo fanya wafungiwe ni kudai stahiki zao na kuwaeleza matatizo yao Waandishi wa...
2 Reactions
5 Replies
519 Views
Kila nikiangalia la liga nachoka sana. Yani flop za uingereza ndio zinasumbua Spain yaani Raphinha na Antony Hii ligi wanapeana nafasi sana yani mtu anapewa nafasi mpaka unashangaa sekunde 10 mtu...
10 Reactions
89 Replies
4K Views
MANGUNGU KUHUSU KARIA 👇 🗣"Kwa ambae atakaechukua fomu ya Urais wa TFF atakuja kutueleza atafanya jambo gani kubwa ambalo wewe Wallace Karia umeshindwa kulifanya, lipi ambalo yeye atakuwa ametoka...
0 Reactions
2 Replies
445 Views
Ningekuwa kiongozi wa Simba,nisingekubali kupeleka timu uwanjani labda kama tunasingizia swala la kuonewa. Na kama viongozi wa Simba wanatumia propaganda kwamba eti tunaonewa na ukweli ni kwamba...
4 Reactions
50 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza katika mashindano ya FIFA, waamuzi kwenye Kombe la Dunia la Klabu 2025 linalofanyika Marekani watakuwa wanavaa kamera za mwilini. Kamera za Mwili kwa Waamuzi, Waamuzi watavaa...
0 Reactions
4 Replies
538 Views
Kumetokea nini Ligi kuu ya uingereza? Nimeangalia msimamo wa Epl nikakuta timu mbovu ya Arsenal inaongoza ligi kwenye duru ya kwanza kwa tofauti ya point nane. Hii ni aibu aibu. Fikiria kikosi...
7 Reactions
148 Replies
8K Views
Shirikisho la mpira wa miguu TFF imekanusha taarifa za kujiuzulu kwa rais wa shirikisho hilo Wallace Karia,taarifa ambazo zimesambaa katika mitandao ya kijamii leo asubuhi zilidai kuwa rais...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Klabu ya Auckland City FC, mabingwa wa Oceania, leo wanatarajiwa kucheza dhidi ya mabingwa wa Ujerumani, Bayern Munich, kwenye michuano ya FIFA Club World Cup. Hata hivyo, klabu hiyo kutoka New...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
From covering all NBA games after he was caught playing solitaire during the game 4 of the NBA finals league. Boxs core ph.
1 Reactions
3 Replies
481 Views
Ndio nimeona timu ya Simba Sports Club , almaarufu Makolo FC wameweka Mgomo Baridi na hii nimejua kupitia mambo mawili, la kwanza Simba hawajapost wala kutoa taarifa kwa Umma kuwa Derby imesogezwa...
11 Reactions
50 Replies
3K Views
Kwanza nikiri wazi mimi nilikua mpenzi, mwanachama na shabiki wa Simba sports Club.. Ila baada ya kumuona Mangungu ikulu na Kiongozi wa Sisiemu. Na kupewa maagizo na kutoka akiwa anachekelea na...
6 Reactions
13 Replies
695 Views
Kwa muda mrefu sana wapenda soka wa dunia wamedanganywa kwamba ligi ya Spain ndio ligi bora na ngumu kuliko ligi zote duniani , hata pale sisi wataalam na wachambuzi wa soka tulipopinga , tena kwa...
8 Reactions
253 Replies
23K Views
klabu ya simba imesisitiza kuwa siku ya jumapili ya tarehe ya 15 mwezi june watapeleka timu uwanjani.
5 Reactions
99 Replies
4K Views
Back
Top Bottom