Ubutu wa Primera Liga waanza kuthibitika

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,231
Kwa muda mrefu sana wapenda soka wa dunia wamedanganywa kwamba ligi ya Spain ndio ligi bora na ngumu kuliko ligi zote duniani , hata pale sisi wataalam na wachambuzi wa soka tulipopinga , tena kwa mifano iliyofanyiwa utafiti , tuliishia kusimangwa .

Kipigo cha Barcelona kutoka kwa vibonde PSG ni ushahidi mwingine kwamba soka la spain si lolote , jambo pekee lililojificha ni kwamba , ligi ya spain ina mkusanyiko wa wachezaji wazuri wa dunia ambao kucheza kwao kwa muda kwenye ligi mbovu kumedumaza uwezo wao.

Mifano ni mingi sana , ligi bora haiwezi kuwa na timu bora zisizozidi 5 tu kama siyo 3 , ligi bora ya dunia haiwezekani kuonekana bure bila malipo , ukiacha Tv duni kabisa duniani kama TBC , karibu Tv zingine zote zinaonyesha ligi ya Spain bure kabisa , Azam na Dstv Bomba ni mifano ya karibu .

Timu za Spain zitaendelea kuadhirika zaidi kuanzia sasa na kuvuliwa huo ufalme hewa waliovikwa .

....... Itaendelea ........

UPDATES
BARCELONA 2 - 8 BAYERN MUNIC
 
EPL ndio ligi bora kwa kuwa ina ushindani.
Kama haujui kaka ,ligi ya england ni ligi maarufu na lig ya spain ni ligi boraa

Nikupe mtihani kidogo. Katika ligi ya england wakae kikao timu zote 20 na waseme katika sisi timu 20 tuchague club bora kati ya hizo 20 na ikacheze na barcelona au real madrid timu gan yenye uhakika england itaaminiwa kwa ubora zaid
 
Kama haujui kaka ,ligi ya england ni ligi maarufu na lig ya spain ni ligi boraa

Nikupe mtihani kidogo. Katika ligi ya england wakae kikao timu zote 20 na waseme katika sisi timu 20 tuchague club bora kati ya hizo 20 na ikacheze na barcelona au real madrid timu gan yenye uhakika england itaaminiwa kwa ubora zaid
Naongelea ushindani, wana giants clubs kama madrid na barcelona so hiyo ndio advantage yao, ukisema hata ufaransa watakuwa ligi bora kwani wana PSG, au German watakuwa ligi bora kwani wana Bayern Munich.
Kuwa na two giants hakumaanishi ndio ligo bora.
Pia
Chelsea huwa ana mfunga barcelona sana tu
 
Hahahaa Wamepigwa nne wakat hao psg wameshindwa kumfunga Arsenal Na monaco aliwapa 3 - 0 Na mechi ya pili wakasuluhuuu Huwez kuwa na Messi neymar suarez iniesta halaf usipate hata goli 1 kweli www ni Mmmbovuuu !!
 
Naongelea ushindani, wana giants clubs kama madrid na barcelona so hiyo ndio advantage yao, ukisema hata ufaransa watakuwa ligi bora kwani wana PSG, au German watakuwa ligi bora kwani wana Bayern Munich.
Kuwa na two giants hakumaanishi ndio ligo bora.
Pia
Chelsea huwa ana mfunga barcelona sana tu
Ligi ya ushindani bora ni england
Ligi boraa na kuwa na timu bora ni spain
Ligi maarufu ni england
 
Hahahaa Wamepigwa nne wakat hao psg wameshindwa kumfunga Arsenal Na monaco aliwapa 3 - 0 Na mechi ya pili wakasuluhuuu Huwez kuwa na Messi neymar suarez iniesta halaf usipate hata goli 1 kweli www ni Mmmbovuuu !!
Kweli na wewe haujui kuelewa kabisa yaan unalinganisha kwa mtindo huo duuuu kajifunze upyaa kaka

Mfano hiyo ilitokea. Hapa bongo. Mugambo fc alimfunga simba na yanga akamfunga mgambo hapo nan ni bora
 
Kwa hiyo engalnd 2-1 Spain

Hivo EPL ni bora zaid
Hapo nimetumia data zako mwenyewe
Nimesema lig yenye ushindani na maarufu ni england

Ushindani Kwa maana kwamba england yeyote mech haitabiriki ni kwamba yeyote anashindaa

Na umaarufu ni kwamba inafuatiliwa na wengi sanaa

Spain ni ligi bora kwamaana kwamba club zao ni club bora ambazo hata zikienda kucheza mashindano makubwa zinatoa ushindani mkubwaa na kuwa ni bora mfano ni europa zinaweza kuingia timu 3 nusu fainali na uefa piaa zinaweza kuingia club 3 nusu fainali na biaa wachezaji bora wapo spain
 
Huyu mtoa mada kweli ni kilaza kabisa kwenye mpiraa ,PSG unawaona ni vibonde wewe na wachezaji wa psg class yao unaweza kulinganisha na wa arsenall
Kweli haufuatilii mpira wewe club ya psg ni kubwa sana na wao wamewekeza sana kusajili wachezaji wakubwaa
we mwenyeo utakuwa kilaza. PSG timu kubwa kakwambia nani? kwa sababu ya mapesa ndio unasema timu kubwa? basi kama ni ivo china sasa kuna timu kubwa basi nako. Timu kubwa inapimwa kwa mafanikio sio pesa zao. mimi ni mhasimu wa arsenal lakini huwezi kufanananisha PSG na Arsenal wewe. Arsenal ipo juu ya PSG sana tu. Yaani fluke ya kumfunga barca izo nne ndio PSG ishakuwa timu kubwa? Duh! Yaani zinapotajwa timu kubwa duniani ni hizi Barca, Real Madrid, Manutd, Chelsea, Arsenal, Liverpool..... ata man city haimo! PSG is looking for attention kama zilivo timu za china na USA, bahati mbaya hawaipati.... mana outside UEFA no one wastes their time with french teams!
 
we mwenyeo utakuwa kilaza. PSG timu kubwa kakwambia nani? kwa sababu ya mapesa ndio unasema timu kubwa? basi kama ni ivo china sasa kuna timu kubwa basi nako. Timu kubwa inapimwa kwa mafanikio sio pesa zao. mimi ni mhasimu wa arsenal lakini huwezi kufanananisha PSG na Arsenal wewe. Arsenal ipo juu ya PSG sana tu. Yaani fluke ya kumfunga barca izo nne ndio PSG ishakuwa timu kubwa? Duh! Yaani zinapotajwa timu kubwa duniani ni hizi Barca, Real Madrid, Manutd, Chelsea, Arsenal, Liverpool..... ata man city haimo! PSG is looking for attention kama zilivo timu za china na USA, bahati mbaya hawaipati.... mana outside UEFA no one wastes their time with french teams!
Yaan wewe hapo unaweka majina yaliyokosa mwelekeo unasema timu kubwaa yaana unaiweka arsenal mpaka sasa kapigwa 3:1 na bayern na unamsahau bayern
 
Ligi ya ushindani bora ni england
Ligi boraa na kuwa na timu bora ni spain
Ligi maarufu ni england
EPL ina ushindani gani wakati hadi ka Leicester kamekua bingwa, yani eti mchovu wa kushuka daraja anakua bingwa.......ubora wenu uleteni UEFA au Europa basi tuuone
 
Nimesema lig yenye ushindani na maarufu ni england

Ushindani Kwa maana kwamba england yeyote mech haitabiriki ni kwamba yeyote anashindaa

Na umaarufu ni kwamba inafuatiliwa na wengi sanaa

Spain ni ligi bora kwamaana kwamba club zao ni club bora ambazo hata zikienda kucheza mashindano makubwa zinatoa ushindani mkubwaa na kuwa ni bora mfano ni europa zinaweza kuingia timu 3 nusu fainali na uefa piaa zinaweza kuingia club 3 nusu fainali na biaa wachezaji bora wapo spain

UEFA haipimi ligi, inapima wawakilishi wa Ligi
So hapo ndio mimi na wewe tunapo tofautiana
Kwangu ligi ni mashindano, na mashindano yenye upinzani mkali ndio bora.
Haiwezekani ligi miaka 8, timu moja imechukua mara 6 halafu useme ni bora.

Kuhusu kufanya vzuri au vibaya zipi sababu zake ambazo ni nje ya ubora, nazo ni ratiba ya EPL imekaa vibaya na kwa kuwa la liga hakuna ushindani timu zina focus kwenye makombe mengine kama EUROPA na EUFA kubwa.
 
we mwenyeo utakuwa kilaza. PSG timu kubwa kakwambia nani? kwa sababu ya mapesa ndio unasema timu kubwa? basi kama ni ivo china sasa kuna timu kubwa basi nako. Timu kubwa inapimwa kwa mafanikio sio pesa zao. mimi ni mhasimu wa arsenal lakini huwezi kufanananisha PSG na Arsenal wewe. Arsenal ipo juu ya PSG sana tu. Yaani fluke ya kumfunga barca izo nne ndio PSG ishakuwa timu kubwa? Duh! Yaani zinapotajwa timu kubwa duniani ni hizi Barca, Real Madrid, Manutd, Chelsea, Arsenal, Liverpool..... ata man city haimo! PSG is looking for attention kama zilivo timu za china na USA, bahati mbaya hawaipati.... mana outside UEFA no one wastes their time with french teams!
We kweli poyoyo na pimbi tu, Liverpool? Bayern Munich je? Juventus je? Shida mpira hamjui na mmeanza kushabikia mpira juzi juzi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom