Tafadhali tujuane mapema tunashangilia Timu gani 7 tu za Taifa kuelekea FIFA WORLD CUP inayoanza hivi karibuni

Tafadhali tujuane mapema tunashangilia Timu gani 7 tu za Taifa kuelekea FIFA WORLD CUP inayoanza hivi karibuni

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,350
Reaction score
127,291
Zangu Fundi na kwa Kujiamini kabisa nina uhakika 4 zitatoboa hadi Nusu Fainali, 2 Fainali na 1 kuwa Bingwa kabisa

1. ARGENTINA
2. GERMANY
3. SPAIN
4. MEXICO
5. NETHERLANDS
6. SENEGAL
7. GHANA

Na Watu wote wa Mpira na wanaoujua vyema Mpira ni lazima tu Watazichagua hizi Timu zangu 7 nilizozitaja hapa....
 
Zangu Fundi na kwa Kujiamini kabisa nina uhakika 4 zitatoboa hadi Nusu Fainali, 2 Fainali na 1 kuwa Bingwa kabisa

1. ARGENTINA
2. GERMANY
3. SPAIN
4. MEXICO
5. NETHERLANDS
6. SENEGAL
7. GHANA

Na Watu wote wa Mpira na wanaoujua vyema Mpira ni lazima tu Watazichagua hizi Timu zangu 7 nilizozitaja hapa....
Mtoe Mexico weka walau ENGLAND
mtoe ghana weka JAPAN
 
Zangu Fundi na kwa Kujiamini kabisa nina uhakika 4 zitatoboa hadi Nusu Fainali, 2 Fainali na 1 kuwa Bingwa kabisa

1. ARGENTINA
2. GERMANY
3. SPAIN
4. MEXICO
5. NETHERLANDS
6. SENEGAL
7. GHANA

Na Watu wote wa Mpira na wanaoujua vyema Mpira ni lazima tu Watazichagua hizi Timu zangu 7 nilizozitaja hapa....
Nilichofarijika! Kn wapumbavu wanaitwa Morocco! Hawapo ktk List!
Thumb up
 
1. France
2. Spain
2. Portugal
3. Argentina
4. Brazil
5. England
6. Netherland
7. Germany

Bingwa Netherland.
 
Zangu Fundi na kwa Kujiamini kabisa nina uhakika 4 zitatoboa hadi Nusu Fainali, 2 Fainali na 1 kuwa Bingwa kabisa

1. ARGENTINA
2. GERMANY
3. SPAIN
4. MEXICO
5. NETHERLANDS
6. SENEGAL
7. GHANA

Na Watu wote wa Mpira na wanaoujua vyema Mpira ni lazima tu Watazichagua hizi Timu zangu 7 nilizozitaja hapa....
Then what?? Itakusaidia nini ukishajua??
 
Mbn kama unatulazimisha kwa kigezo Cha watu wanaojua mpira,.kila mtu anahaki ya kuchagua kitu kwa mapenzi yake mrn mm ni Germany, France, Senegal, Brazil,na simbahehehe
 
Zangu Fundi na kwa Kujiamini kabisa nina uhakika 4 zitatoboa hadi Nusu Fainali, 2 Fainali na 1 kuwa Bingwa kabisa

1. ARGENTINA
2. GERMANY
3. SPAIN
4. MEXICO
5. NETHERLANDS
6. SENEGAL
7. GHANA

Na Watu wote wa Mpira na wanaoujua vyema Mpira ni lazima tu Watazichagua hizi Timu zangu 7 nilizozitaja hapa....
Germany
Holland
 
Back
Top Bottom