Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Mgombea wa nafasi ya Urais wa TFF, Dkt. Mbete Mshindo Msolla leo Julai 2 atafanyiwa interview na Kamati ya Uchaguzi pale kwenye ofisi za shirikisho la soka nchini TFF. Interview yake ya uchaguzi...
0 Reactions
7 Replies
572 Views
Kocha mkuu wa Simba amezungumza kuelekea mchezo wa Dabi nakumesema.." Labda watacheza kwa ajili ya sare, labda wataamua kubaki nyuma na kucheza kuipata sare maana bila shaka wakipata sare watakuwa...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Winga wa zamani wa Yanga SC raia wa Afrika Kusini, Mahlatse ‘Skudu’ Makudubela amejiunga na Wiliete Sport Club de Benguela ya Angola baada ya kuachana na AS Vita ya DR Congo. Makudubela mkataba...
1 Reactions
3 Replies
518 Views
Baada ya miaka kumi kupita huku ikibaki mechi moja tu msimu wa 2022/2023 bundesliga kuisha mtanange wa kuwania kombe la ligi hiyo kati ya bayern munich na borussia dortmund umezidi kunoga...
5 Reactions
41 Replies
3K Views
Yanga kama mbabe wa mpira wa Tanzania imedhamiria Kwa dhati kusafisha pale TFF na bodi ya ligi, Sasa nguvu time imehamia Kwa Wallace Karia CEO wa Yanga Andre Mtine ameandika barua kwenda kamati...
34 Reactions
109 Replies
5K Views
Na kwanini Simba SC pamoja na kutofanya vyema Msimu huu huku ikichekwa mno bado ipo katika 10 bora Barani Afrika?
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Nyota wa Yanga, Kibwana Shomari, Dickson Job na Abuutwaleeb Mshery wamepanga kutoa msaada wa bima za afya kwa watu 500 mkoani Morogoro kupitia tamasha lao la Wape Tabasamu 2025 Kilele cha tamasha...
2 Reactions
7 Replies
538 Views
Simba hii ya mwaka 2025 ni Simba ya maajqbu. Imefanya mambo yaliyofanywa na baba zao miaka 32 iliyopita. Kwangu Mimi Simba hii ni moja kati ya kikosi Bora kabisa Cha Simba,hii ni Kwa sababu ya...
8 Reactions
45 Replies
3K Views
Wengi wanaponda upangaji wa kikosi wa mwalimu fadlu davis mbinu zake,kwanza kabisa mimi sio shabiki wala mpenzi wa klabu ya simba mimi ni shabiki na mwanachama wa Coastal union mangushi ya Tanga...
15 Reactions
84 Replies
3K Views
Kuna watu wanashupaza shingo zao hadi zinakaribia kukatika na wengine wanajipa matumaini hewa kuwa labla katimu kao ambako kanaenda kama gari bovu kanaweza kuchukua ubingwa wowote msimu huu. Huku...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Hoja. Wengi wanaogopa kusema kwa sababu hizi timu mbili Zina nguvu kubwa. Yaani kama ni Mungu basi ungekuwa Ibada lakini ukweli ni kwamba ulucifer ni hali ya juu sana. Mimi kama Mimi sipendi...
2 Reactions
4 Replies
230 Views
Pamoja na kwamba nilishalisema hili kitambo sana kuwa Simba inaenda kuwa bingwa wa CAF msimu huu, siku hizi chache nilikaa kimya kuhusu hili ili kwanza nijihakikishie baadhi ya mambo. Nimerudi...
14 Reactions
80 Replies
4K Views
SIKU YA MECHI KALI. VIKOSI VINAVYOANZA LEO. p UPDATES..... 4:15pm Kandanda imeanza tayari, Game inapigwa zazuri kabisa. DK 2 Simba wanafanya move nzuri hapa, inababatizwa na Mchezaji wa FG...
14 Reactions
760 Replies
41K Views
Tuweke mengine yote pembeni tuangalie namba zinasemaje. Baada ya ushindi mnono wa leo wa Simba dhidi ya Pamba, ni rasmi sasa Simba imejihakikishia tiketi ya kucheza mashindano ya CAF ya Klabu...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
I will be short kipa bora wa ligi kuu, nyani 🐒 pin pin camara ni free agent.
6 Reactions
31 Replies
3K Views
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Labani og.... Semaji la cafu Toka lilambe teuzi pale u-koloni ..... Haijawahi kushika wala kushuhudia kombe lolote likitua pale msimbazi Je ni laana ni laana ya...
2 Reactions
25 Replies
954 Views
Nimepitia majina ya timu za taifa kwa mataifa yote ya Afrika nikahisi kuwa Tanzania, Ghana na Kenya inabidi tubadilishe majina yatu; neno "stars" linakuwa monontonous. Somalia na South Sudan...
10 Reactions
45 Replies
3K Views
mbaya zaidi kuna taarifa baadhi ya uwanja wanauza siti za uwanja kwa mataifa yanayozitakahttps://youtu.be/gzc9b6MP39o
1 Reactions
0 Replies
401 Views
Match Day. #Daimambelenyumamwiko# Kikosi cha Yanga Kinachoanza. Kikosi Cha Singida Black Stars
11 Reactions
123 Replies
9K Views
Back
Top Bottom