Aliyekuwa kocha wa klabu ya Yanga Sc, Miloud Hamdi kutoka Algeria ametambulishwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Ismaily Sc ya Nchini Misri kwa mkataba wa mwaka mmoja na chaguo la ongezeko la mwaka...
ANDIKO LA KWANZA LA AHMED ALLY KUHUSU SIMBA YA SASA..!!
.
Nianze na pole kwa Wana Simba kumaliza msimu bila ubingwa katika mashindano tuliyoshiriki hususan ligi kuu ya NBC
Wana Simba tuepuke...
Klabu ya Fluminense imefanikiwa kusonga mbele katika hatua ya nusu fainali ya mashindano ya kombe la Dunia la FIFA ngazi ya Klabu baada ya kuichapa Al Hilal mabao 2-1.
Mabao ya ushindi yalifungwa...
Kwa taarifa za kiinteligensia inasemekana Yanga Wana kikosi Cha Siri Cha propaganda ambacho huwalisha matangopori ya usajili Simba
How does it work???
Ni Kwamba kipindi Cha usajili macho ya...
@alexngereza._ anasema kuwa wanasimba mnapaswa kumuondoa Mo Dewji kwanza kuliko kupambana na Mangungu.
Katiba ya Simba iliipa bodi ya ligi mamlaka makubwa ya kuendesha timu ....bodi hyo ipo chini...
⚽ Timu zinazovaana:
🔵 Wasanii kigoma fc vs 🔴 Buhanda Stars
📍 Eneo: Buhanda Stadium – Kigoma
🗓 Tarehe: Jumapili, 6 Julai 2025
🕓 Muda: Saa 10:00 Jioni (4PM)
LENGO LA MECHI:
Hii si mechi ya...
Leo Lamine Yamal kavunja record Kwa Jersey mpya namba 10 yenye jina lake ya Barcelona msimu 2025/26 kabla jata kuzinduliwa na kununuliwa Kwa wingi.
Haijawahi kutokea kwenye historia ya mpira hata...
Katika kupitia historia ya mpira bongo kuna mtu alinisanua kuhusu timu inaitwa Pan African, kwa maelezo yake anasema ilishawahi kufika robo fainali CAF champions league, katika kupitia mtandaoni...
Ni rasmi, beki kinda Lameck Lawi amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga nasi kwa ajili ya msimu ujao
Mchezaji wa Coastal Union, Lameck Lawi amemwaga wino wa kuitumikia Azam FC kwa mkataba wa...
Salaam Members:
June mwaka huu TFF walitoa tangazo la kuwepo kwa uchaguzi kwa nafasi ya Urais na nafasi za Wajumbe 6 wa kamati ya utendaji.
Hapa utazipata updates za hatua zote za awali hadi...
Kwa kutokea msiba wa Diogo jota aliyekuwa ni mchezaji wa Liverpool nimeamini kwamba huu mchezo unaunganisha watu wengi sana huu mchezo unachukua nafasi kubwa kwenye maish
Baada ya mshambuliaji wa Liverpool, Diogo Jota kupata ajali leo asubuhi na kufariki dunia, klabu hiyo imeistahafisha jezi namba 20 iliyokuwa inavaliwa na nyota huyo raia wa Ureno.
Soma,Pia...
Habari.
Wote ni wazima wa afya na vyema tuendelee kumshukuru Mungu Kwa wema wake kwetu.
Twende kwenye mada Moja kwa Moja juu ya mchezaji bora mwenye nguvu na kasi akiwa uwanjani.
Clement Mzize...
Nitaifaangalia mpira nikiwa home
Mechi itaanza kwa kasi sana kiasi cha mabanda umiza kulipuka kwa change.
Wale wana yanga wenye roho nyepesi wanaofatilia mchezo kupitia redio hali itakuwa...
KOCHA wa Napoli, Antonio Conte, amewasilisha jina la mshambuliaji wa Atalanta na timu ya taifa ya Nigeria, Ademola Lookman, kwa mabosi wa timu yake na kutaka staa huyo mwenye umri wa miaka 27...
Mashabiki wa Liverpool, mashabiki wa EPL pamoja na mashabiki wa mpira wa Miguu kwa ujumla kwa humu jamii forums. Uzi huu ni kwa ajili ya kumuenzi na kumkumbuka mchezaji wetu pendwa Diogo Jota...
🚨💣 UPDATES 👇
➡️ Aliyekuwa Kocha wa Yanga Sc, Miguel Angel Gamondi 🇦🇷 amesaini mkataba wa mwaka mmoja na Singida Black Stars 🇹🇿
✅ Gamondi anatarajia kuja Tanzania baada ya wiki mbili tayari kwa...
Wachezaji wa Ufaransa waliokosa penati ni Kingsley Junior Coman na Aurélien Djani Tchouaméni.
Baada ya dakika 90 kukamilika matokeo yakiwa 2-2, zikaongezwa dakika 30 matokeo yakawa 3-3, ndipo...
Allyoce Komba, mmoja wa wanachama wa Yanga na wakili wa kujitegemea amefungua shauri kupinga uteuzi wa Karia kuwa mgombea urais wa TFF.
Allyoce Komba ambaye amewahi kuwa mwandishi wa gazeti la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.