Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

TotalEnergies CAF CHAN 2024: Tanzania Kuhost Mechi ya Ufunguzi, Uganda Kuhost Mechi ya Mshindi wa Tatu/Nne, Kenya Kuhost Mechi ya Fainali Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), kwa ushirikiano...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Mwanzoni mwa msimu tuliambiwa Bwana Debora anaruka vichwa hatari, watu watapata tabu sana! Tukaambiwa streka refu kuliko goli, akigusa tu! IMOOO Ghafla mido ikaibiwa airport! Tukajua hii Man...
9 Reactions
15 Replies
656 Views
Tuliambiwa kuna striker moja refu kuliko holi, akigusa tu, imo! Kisha Bilioni 7 zikamwagwa hapo, wakatua Mutale SGR, Debora Fernandes,Jenshalee ahwaa, Kiungo wa airport, Awesu awesu nk. Tukaambiwa...
1 Reactions
0 Replies
270 Views
Wakuu mpo! Ni matumaini yangu mnatizama kombe la dunia la vilabu kwa umakini licha ya vilabu kutoka afrika kutupwa nje hatua ya makundi Katika hii michuano nimeona baadhi ya makipa wazuri...
3 Reactions
11 Replies
722 Views
Habari za muda huu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu, naomba msaada wenu kwa wale mafundi wa playstation 4, jinsi ya kukaba kwenye fifa 24 au 23, nimegundua nikiwa nacheza...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Kuelekea msimu ujao, tetesi zasema Simba SC kufanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi chake. Kwenye dirisha hili la usajili, taarifa zinaeleza kuwa wachezaji kadhaa huenda wakaachwa au kuuzwa na...
3 Reactions
24 Replies
8K Views
Habari wakuu Nimewahi kuleta nyuzi kadhaa humu jukwqani za utabiri mfano "Gusa achia twende kwao" inaenda kuleta mapinduzi ya pili ligi kuu NBCPL Round ya pili kuanzia january timu ndogo...
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Nianze kwa Kuwapongezeni sana kwa Kupanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara na hata kwa aina ya Uwekezaji wenu mzuri ambao unaratibiwa Kiustadi kabisa na Mheshimiwa Waziri Mkuu wa sasa Kassim Majaliwa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Hizi tetesi ukweli zinachosha na kukera sana kwani jatujasahau sajili za hovyo kama akina Ateba na bado wakasifiwa na wao kutamba kuifunga yanga lakini kila mtu anajua kilichotokea. Busara...
1 Reactions
3 Replies
486 Views
Kampuni ya Jay Rutty ndo ilishinda zabuni ya kutengeneza na kuuza jezi za Simba na kuwa waliweka mezani zaidi ya billion 38, Hilinlilikuwa jambo tamu masikioni mwa wanasimba Mbali na mapesa hayo...
1 Reactions
12 Replies
794 Views
[emoji457] ELIE MPANZU HAWEZI KUWAPA UBINGWA SIMBA SC!. "Naona huko mitandaoni Mashabiki wa Simba wanaongea saana baada ya kumsajili 'Ellie Mpanzu', niwaambie tuu UKWELI huyo Mpanzu hajaja...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Wote tunajua, hizi ni timu zinazomilikiwa na wanasiasa. Nini hatima ya timu hizi baada ya uchaguzi mkuu endapo wamiliki wake hawatorudi kwenye nafasi zao?
3 Reactions
14 Replies
937 Views
Kama unabisha letw hoja yenye akili
4 Reactions
16 Replies
751 Views
Mlisema amchezi bila kulipwa fedha zenu za ubingwa wa ligi zilizopita(CRDB CUP), Nauliza tu, au ndio zishalipwa kimya kimya.....?
1 Reactions
12 Replies
545 Views
wajameni man u fans i knw ishapita lakini mmeona walivyowabanjua newcastle, we're on top 4 sure,ARSENAL watch us clinch another title
1 Reactions
1 Replies
2K Views
𝗧𝗥𝗔𝗡𝗦𝗙𝗘𝗥 𝗡𝗘𝗪𝗦: Simba wako kwenye mazungumzo na kiungo wa Bravos do Maquis ya Angola,Higino Epalanga Kapitango (22). Kiungo huyo anasifika kwa upigaji pasi mzuri na magoli ya mbali. Chanzo...
2 Reactions
1 Replies
474 Views
Unaambiwa kuna mgogoro mzito mno huko ,inawezekana msimu ujao GODLOVE akaja kuwa mdhamini wa timu viongozi wanamuuliza mwekezji pesa ya CAF iko wapi haijulikani ilipo amesema hataki maswali ya...
9 Reactions
59 Replies
2K Views
Mangungu aliahidi mambo 11 wakati anaomba kura kuwa Mwenyekiti Simba. kabla ya kuhukumu rejea kwanza ahadi zake, ametimiza mangapi? https://youtu.be/t_mRj7nOM14?si=dTAi_PkWeRMepQW_
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Wallace Karia, ambaye amehudumu kama Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa vipindi kadhaa, amekuwa akitajwa mara kwa mara kama kiongozi aliyeshindwa kuleta mabadiliko makubwa...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Back
Top Bottom