Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

SportsPesa ametoa bonus ya Tsh. 262 million kwa Yanga kufanya vizuri kwenye msimu. Je, kiasi hiki cha bonus kinafanana na mafanikio ya Yanga? Yanga iendelee na mdhamini huyu?
2 Reactions
13 Replies
715 Views
21 June 2025 Dar es Salaam, Tanzania TWIGA STARS YATWAA KOMBE LA MICHUANO YA CECAFA FULL MATCH FINAL CECAFA 2025 KENYA VS TANZANIA https://m.youtube.com/watch?v=0D7FA4xY-K4 Hivyo michuano ya...
1 Reactions
12 Replies
891 Views
Ligi Kuu Tanzania, Vodacom Premier League (VPL) kuendelea kupigwa leo March 15, 2020 ambapo wenyeji wa mchezo Namungo FC wanapepetana na Yanga SC, kwenye uwanja wa Majaliwa, (Majaliwa Stadium)...
10 Reactions
183 Replies
20K Views
M/kiti wa Simba na meneja wa habari na mawasiliano Ahmed Ally wanapaswa kuachia ngazi kwani hao wanaihujumu simba kwa kufanya propaganda za kuisifu simba kwamba ni Bora ili ionekana ni timu Moja...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Kama kuna Kitu kinachoniuma kwa Simba SC yangu hadi sometimes huwa naamua hata Kuisusa na Kuinanga vibaya sana Mitandaoni ni Viongozi wa Simba SC na hasa Msemaji wa Simba SC kuwekeza zaidi katika...
18 Reactions
46 Replies
5K Views
DStv wameshtuka baada ya kupoteza mamilioni ya watazamaji wake. Dunia ya teknolojia, watu wana stream mechi hawalipii tena vifurushi. DStv wako mbioni kutuletea vifurushi pekee vyenye chaneli za...
11 Reactions
34 Replies
3K Views
Timu ya Yanga Sasa imekuwa ni daraja la makocha + wachezaji kwenda mambele wakiachwa na Yanga Aliyekuwa mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Kennedy Musonda amejiunga na klabu ya Hapoel Ramat Gan...
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Ila ninavyokujua unavyopapenda Dar es Salaam hasa lile Chimbo lako la Mbezi Beach (BK) ninajua tu utabakia Tanzania.
2 Reactions
5 Replies
967 Views
Tuzifahamu baadhi ya makampuni yanayomiliki timu zaidi ya moja duniani 1) The City Football club (CFG) Hawa jamaa wanamiliki timu 13 ambazo ni Man city ( Eng) New York City fc (USA) -Melbourne...
12 Reactions
59 Replies
4K Views
Tatizo kubwa la kwanza simba lina fichwa na tajiri mo kwa kukubaliana na hao wazee kula 50 kwa 50 sababu yeye angekua mhanga asingekubali kuwa simba mpaka sasa amin hakna mapenzi ya hasara hata...
1 Reactions
2 Replies
570 Views
Golikipa wa timu ya taifa ya Tanzania taifa stars zamani Simba Sc Amejiunga na timu yake ya Zamani Azam FC Kwa mkataba wa miaka 3, Aisha anaondoka Simba baada ya kukosa namba mbele ya Spider man...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Ngao ya jamii ilikuwa ni timu 2 kwa miaka mingi lakini Simba ilipoanza kukosa nafasi ya kushiriki, Karia akaongeza ziwe timu 4. Nasikitika kusema kwamba kwa maksudi mechi za nusu fainali wanaweza...
4 Reactions
9 Replies
914 Views
Hili jamaa bwana linashangaza sana , unadai unataka kuongoza mbona unamuogopa Eng Hersi pale Yanga wakati ni mwanachama wa Yanga tena mkongwe kuliko Hersi? Au kWa sababu TFF hakuna makelele na...
1 Reactions
2 Replies
350 Views
Aliyekuwa Mchezaji wa Simba SC Luis Miquissone Raia wa Msumbiji ametambulishwa rasmi kama Mchezaji wa Al Ahly ya Misri, mitandao mbalimbali imeripoti kwamba Miquissone atakuwa analipwa mshahara...
25 Reactions
59 Replies
9K Views
Ukisema maendeleo kidogo yaliyopatikana katika soka la Tanzania limechangiwa na Wallace karia, ninapinga.Maendeleo ya soka nchini kwa kiasi kikubwa yamechangiwa na wadau wa michezo wakiwemo...
4 Reactions
10 Replies
650 Views
Tanzania ya leo bila NBC premier league, maisha hayachangamsihi tena. SIasa za uchaguzi ndiyo zimekuwa za hovyo kabisa; tuna CCM inayoenedsha mambo yao kwa mabavu kifalme na CHADEMA inayoendesha...
0 Reactions
17 Replies
542 Views
Hivi kweli wachezaji wetu ni wanakosa koneksheni au bongo kama mbele Ikumbukwe Novatus akitokea huko nchi ya ahadi Sasa anatamba soka la Turkey Kwa Nini Mzize asiwaze Kutimkia nchi kama hizo!?
1 Reactions
2 Replies
319 Views
Hizi ndizo Timu tatu ambazo tayari zimeshaonyesha Nia ya Kumsajili Mchezaji Emil Mpanzu tena kwa Fedha nono sana.... 1. KRC Genk 2. Brest FC 3. RS Berkane Ila Mimi kama GENTAMYCINE mwenye...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Chelsea imefuzu fainali ya Kombe la Dunia la Klabu (FIFA Club World Cup) baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fluminense ya Brazil. The Blues sasa wanasubiri mshindi kati ya PSG na...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kazi yangu Kubwa sana leo katika huu Uzi wangu ni kujua akina nani wanajua Kuuchambua Mpira.
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Back
Top Bottom