Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Ile slogan ya nguvu Moja naiona kabisa kuwa haiakisi uhalisia wa timu ya Makolo. Timu inagawanyika kirahisi sana ....Kila mtu yupo tayari kuitisha press conference kuzungumzia...
3 Reactions
28 Replies
841 Views
Wakuu kama mnavyojua kiongozi Bora lazima awe na msimamo usiotetereka hasa taasisi yake inapopitia changamoto yeyote. Mangungu toka Mwaka 2023 amekuwa akisakamwa kila Kona na wanasimba...
2 Reactions
11 Replies
610 Views
Yanga sports club pamoja na kutwaa ubingwa wa 2024/25 lakini still club inakosa pesa ya kufanya usajili. Pamoja na kunywesha watu supu za ngamia na chapati na hamna ela niuzwazwa wa hali ya juu...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Kiungo wa Young Africans, Peodoh Pacome Zouzoua, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Juni katika Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025. Zouzoua aliwashinda Clatous Chama wa Simba na Kibu Denis wa...
2 Reactions
2 Replies
833 Views
Basketball Bet Ni hiv basketball nayoinabetiwa kama michezo mingine tu inavyobetiwa tu, Isipokua kwenye basket hatupendelei sanaa kubet ishu za normal et flan ashinde au flani asishinde, kwani...
25 Reactions
221 Replies
79K Views
Hakika hii timu sasa itakuwa kama Namungo. Huwezi kutengeneza kamati ya usajili ya kipuuzi kabisa na mtu wa hovyo mali ya utopolo ngungu boy akiwemo. Kamati hii huenda ndiyo inayokwamisha...
3 Reactions
11 Replies
862 Views
Ninaona baadhi ya waandishi nadhani waliolipwa kuchochea moto pale Simba wakitumia nguvu kubwa kumtetea mangungu. Wakati Mangungu akiahidi kuifunga yanga,hakuna aliyeleta uchambuzi kumsuta mtoa...
0 Reactions
6 Replies
472 Views
Wakuu, Ngungu kama ngungu, maono ya simba sc yamebebwa na huyu mwamba, ukimuangalia tu kwa jicho la kawaida unaona kabisa ni tapeli pamoja na jopo lake lote. Nadiriki kusema, kama huyu mwamba...
8 Reactions
7 Replies
1K Views
Tumesikitishwa sana na kitendo cha baadhi ya mashabiki kutaka kumchafua na kumlazimisha Mh. Mangungu, Mtu wa maana kabisa! Mtanzania mwenzetu aliyepata nafasi yake kihalali kabisa, Mtu wa watu...
4 Reactions
8 Replies
552 Views
Habari Wakuu. Jioni nikirudi nyumbani huwa naangalia mpira CWC. Sasa kabla wanaume hawajaanza huwa naangalia mpira wa wanawake(Timu za taifa za wanawake) wachezaji wanawake wa timu za watu weupe...
11 Reactions
53 Replies
2K Views
Klabu ya Simba imeruhusiwa kufanya mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa tarehe 14 Juni 2025, siku ya Jumamosi ambayo ni siku moja kabla ya mechi ya 'DABI' dhidi ya Yanga SC. Wizara ya Habari Sanaa...
3 Reactions
68 Replies
5K Views
Habari. Hadi sasa zimebaki timu nne ambazo zitacheza hatua ya nusu fainali na ratiba: Leg 1. 27 April 2021 Tuesday Paris Saint Germain Vs Manchester City Real Madrid Vs Chelsea Leg 2. 04...
7 Reactions
442 Replies
34K Views
I will be short Mzize zamalek deal. Madalali wamekuwa wengi kama board Yamakolo (Simba sc ) The deal has been stalled , due to large number of unknown agents , with zamalek unaware who to...
2 Reactions
3 Replies
606 Views
Shalom shalom Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga Sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana...
14 Reactions
50 Replies
4K Views
Wadau hamjamboni nyote? Pitia takwimu mpya hapo chini: Wachezaji (17) walioondoka Simba 24 | 25 ◉ Aishi Manula (Loan) ›› Azam FC ◉ Feruz (Loan) ◉ David Kameta 'Duchu' (Loan) ◉ Clatous Chama ››...
11 Reactions
44 Replies
16K Views
Mohammed Dewji, mwekezaji mkuu na Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC, amesema klabu haijapotea na iko kwenye mchakato wa kujijenga upya. Katika ujumbe kwa mashabiki, Dewji amesema huu si wakati wa...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Taarifa ya Rais wa Heshima wa Simba Mwekezaji Mo Dewji Nimeteua wajumbe wanne wapya kwenye Bodi ya Simba Sports Club. Karibu Dk. Raphael Chegeni, Mhe Rashid Shangazi, Bwana Hamza Johari na Bwana...
7 Reactions
53 Replies
4K Views
1. Wachezaji Chamou Karobue, Che Malone, Fabrice Ngoma, Valentine Nouma, Joshua Mutale, Steven Mukwala, Jean Charles Ahoua, Augustine Okajepha wakiendelea kuwepo ndani ya kikosi. 2. Kocha Fahdu...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Timu nzuri inajengwa na kocha sio wingi wa mastaa, kocha ndio anajua taaluma yake inahitaji wachezaji wa aina gani, PSG iliwahi kujaza mastaa kibao na haikuwahi kufanya vizuri kama PSG hii yenye...
5 Reactions
8 Replies
759 Views
Mo na Mangungu wanataka kupinduana, lakini mo ameshaanza kuvuta punzi ya moto ya GSM kibiashara. Baada ya Simba kufungwa mara 5 mfululizo bidhaa za mo zimeingizwa chaka na bidhaa za GSM; kunywa...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom