Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Dunia inakwenda kasi sana,yaani Aziz Ki wakusajiliwa na SBS,ni baada ya kutemwa na waarabu
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwanza niweke record sawa mimi sitetei Feminism......na sio feminist at all. Jana nimetizama mechi kali sana ya wanawake kati ya Nigeria vs Tunisie wao wanaita Wafcon... (3-0) Niseme ukweli wale...
4 Reactions
63 Replies
2K Views
YANGA WATUMA MAOMBI SIMBA KUCHEZA NAO SIKU YA MWANANCHI Afisa habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema wanatafuta timu nzuri ya kucheza nayo katika kilele cha wiki ya wananchi, Kamwe amesema kwakuwa...
10 Reactions
35 Replies
2K Views
Mashabiki wa Simba SC msimu huu wameachwa na maswali mengi baada ya uongozi wa klabu hiyo kutangaza kuwa kikosi cha msimu wa 2024/25 kina thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 5. Hata hivyo, hali...
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Timu ya taifa ya wanawake Twiga stars wamepoteza mechi yao kwanza katika mashindano ya kombe la mataifa Afrika kwa wanawake yaani WAFCON dhidi Mali kwa goli 1-0
1 Reactions
5 Replies
570 Views
Wakili msomi mwandamizi Alloyce Komba ambaye ni momoja kati ya Mawakili Watano ambao waliungana kupeleka barua Baraza la Michezo Tanzania kuomba kusitishwa kwa mchakato wa uchaguzi wa TFF ameibuka...
1 Reactions
10 Replies
924 Views
Hii sasa ni sifa, yaani Yanga imekomba makombe yote ya msimu!
10 Reactions
15 Replies
1K Views
Leo Tarehe 7/7)2025 naandika huu uzi kama utabiri Azam Fc ina resources zote pesa, uwanja na wachezaji wazuri wenye viwango vya kimataifa. Ni kawaida kwa mashabiki wa Simba au Yanga kuiita azam...
4 Reactions
9 Replies
689 Views
Ni kama bado naona timu hizi za Simba na Yanga zenye utajiri wa Mashabiki zikazane kubuni mbinu mbalimbali kujiongezea mapato. Kwa mfano vipi kama wataingia makubaliano na Kampuni za Bia na Soda...
0 Reactions
11 Replies
517 Views
Hivi kweli Wanamichezo hapa JamiiForums tukiweka pembeni Mahaba yetu kwa hizi Timu zetu kabisa tukifanya thorough analysis kuanzia Msimu wa Ligi Kuu ya NBC ianze mpaka hivi juzi ilipomalizika na...
8 Reactions
71 Replies
4K Views
Wakuu hamjambo, Usiku wa leo Saa 4:00 kwa masaa ya Afrika Mashariki, Timu yetu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) itashuka dimbani dhidi ya Mali katika mchezo wa AFCON ya Wanawake huko nchini...
2 Reactions
39 Replies
1K Views
Huyu jamaa, wachezaji wenzake wote wameudhuria mazishi ya Diogo jota ila yeye peke yake alivyokua na roho ngumu akaendelea kula Bata kwao na video zake zikimuonesha yupo club Colombia Sasa...
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Mbunifu wa mavazi Sheria Ngowi, aliyebuni jezi za Yanga kwa misimu minne mfululizo ameipa mkono wa Bye Bye Klabu hiyo hivyo kumaanisha Uzi wa Yangu 2025/26 hazitabuniwa na mbunifu huyo.
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Niende moja kwa moja kwenye mada, kama title inavyosema lengo nataka kufahamishwa hivi lile PAREDE la ubingwa wa kiatu cha JEAN CHARLES AHOUA, pamoja na cleanshit za MUSA PINPIN CAMARA litafanyika...
13 Reactions
44 Replies
1K Views
Yaani ni aibu kubwa kwa viongozi wa timu ya azzam fc kwa jinsi walivyozindua kits za timu yao kwa mwaka 2025-26,aibu tupu na dhahiri mentality yao ni ya kitoto kabisa.programu nzima ya uzinduzi...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Usajili ni akili, usajili ni sayansi, Kuna timu ilishawahi kuwa na Messi, Mbappe na Neymar lakini haikupata mafanikio yoyote. Usajili unaendana na mahitaji kwa wakati maalum!
10 Reactions
67 Replies
2K Views
Salaam Members! Thomas Partey, mchezaji wa zamani wa Arsenal, afunguliwa mashtaka ya ubakaji mara tano na shambulio la kingono moja, imetangazwa na Huduma ya Mashtaka ya Umma (Crown Prosecution...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Huyu mjita ana vituko,kwanza ni mwalimu wa shule ya msingi,na kwa chini mama mama maa ni hatari balaaaaa,pia ni mwalimu wa kiswahili na msemaji wa jkt
0 Reactions
9 Replies
655 Views
Kazi ipo msimu ujao,ligi inaenda Kuwa ya moto haswa,niwaombe timu yangu ya Simba tuacha masihara Kabisa Kuanzia Sasa tuendako ni machozi jasho na damu...watu hawataki masikhara Kabisa sshv.
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Wakati wanaposajili wasisahau ile nafasi ya pili kwenye ligi ya NBC waliipataje. Wasije wakasahau kuwa walikuwa na timu mbovu iliyosaidiwa kumaliza katika nafasi ya pili kwa msaada wa waamuzi...
12 Reactions
90 Replies
2K Views
Back
Top Bottom