Ni kama mtu anayejifunza kuogelea siku meli inazama. Too late!!!
Imebainika kuwa uongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ulianza kushinikiza Baraza la Michezo la Taifa (BMT)...
Wakuu!
Nahodha wa Simba SC, Mohamed Hussein maarufu kama Zimbwe Jr, ameondoa utambulisho wa kuwa mchezaji wa Simba kwenye mitandao yake rasmi ya kijamii, hatua inayozidi kuchochea uvumi wa...
Wapo waliokuwa wakisema kuwa mashindano ya FIFA Club World Cup hayana mvuto. Lakini je, kauli hizo zilianza kabla au baada ya Chelsea kutwaa ubingwa na PSG kupoteza?
Ikumbukwe kuwa kupitia...
Nyota huyo wa Barcelona anakabiliwa na uchunguzi huo kutokana na malalamiko ambayo mamlaka imesema imeyapokea kutoka kwa Chama Cha Mambilikimo nchini Uhispania kinachoitwa ADEE.
Duru za ndani...
Baada ya Mchambuzi Farhan Kihamu kuandika kuhusu Simba inavyopoteza mapato mengi kwa kushindwa kusajili Wanachama wapya jambo ambalo linasababisha ukata na kukwamisha maendeleo kwenye klabu hiyo...
Ukizungumzia “Sports anchor” yaani muongoza kipindi cha michezo hakuna kama Alex Luambano wa Clouds FM.
Jamaa kwanza ni mkongwe sana kwenye Tasnia, ana utulivu mzuri, sio mropokaji.
Vilevile...
1. Kisheria ni nani aliyemuuzia MO Simba SC?
2.Ndani ya Simba SC ni nani mwenye mamlaka ya kumuhoji MO? Nje ya Simba SC je? Kama mpo kwa nini msimuhoji?
3. Kwanini MO anaruhusiwa kuchanganya...
"Binafsi nimemsikiliza Tajiri ila sijaona utofauti wa kile alichoongea msimu uliopita na leo.
1. Mo anasema ametoa zaidi ya Tsh 80b, inawezekana ni kweli Ila atwambie na Yeye Simba imemtengenezea...
# anasema kuwa Bilioni 87 ambazo mwekezaji amesema amewekeza ndani ya Simba ni mara mbili ya thamani ya Wydad Cassablanca( yaani unainunua Wydad na chenji inabaki), lakini ukiangalia mafanikio ya...
Hili ni hoja nzito na ya msingi, hasa kwa mtu anayefuatilia masuala ya umiliki wa vilabu vya mpira wa miguu, na hasa mgogoro unaoendelea kuhusu uendeshaji wa Simba SC. Tuchambue kwa kina:
1...
Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji (Mo), amesema dhamira yake ya kuijenga Simba kuwa klabu bora barani Afrika haijabadilika, huku akibainisha kuwa tayari amewekeza zaidi ya Sh...
Habari....
Utangulizi
Mo Dewji ni mmoja wa wafanyabiashara tajiri zaidi barani Afrika. Alipoamua kuwekeza kwenye Simba SC, wengi walijiuliza kama uamuzi wake ulikuwa kwa sababu ya mapenzi ya...
Katika soka la Tanzania, pesa imekuwa silaha kubwa katika kujenga na kuendeleza vilabu vya ligi kuu. Katika misimu miwili iliyopita, GSM, mdhamini wa Yanga SC, alidhamini vilabu zaidi ya saba...
1.Hotuba ilikuwa inasubiriwa na wengi ikitarajiwa kukata kiu ya wanasimba lakini haikuwa na jipya saana.Tumeshazoea.
2.Hotuba imeongeza maswali kuliko majibu, billion 87 plus mambo nje ya...
Nadhani hiki kinachotokea Simba kwa sasa sio kitu kigeni kwa waliokuwa wanaifatilia kwa ukaribu utendaji wa viongozi wake kuanzia miaka 3 iliyopita!
Kwa wanaokumbuka vizuri kuanzia mchakato wa...
"Kwa hiki kichapo cha jana cha PSG
wakulaumiwa ni Mangungu tu.
Kwa nini aliwauza Messi na Mbappe?
Huyu Ngungus ni wa kunyongwa tu".
Ameandika Msemaji wa zamani wa Vilabu vya Simba na Yanga Haji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.