Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

GSM: "Yanga Bingwa" MO: Unajua hii timu inanimalizia sana pesa zangu, tangu 2017 nimewekeza bilioni 87 na hakuna chochote ninacho pata. Nimewanunulia wachezaji boxer mpya za kuvaa, nanunuaga...
37 Reactions
135 Replies
4K Views
Eti Simba SC kufungwa na Yanga SC mara 5 mfululizo siyo Kosa au Jambo la Kushangaa kwani hata Real Madrid nayo imefungwa na FC Barcelona mara 4 au mara 5 mfululizo. Pumbavu Wahed zenu wenye hii...
4 Reactions
12 Replies
769 Views
"Kwa taarifa zilizonazo Kutoka ndani tajiri anafanya Pressing sana huko. Anataka Kabla hajatoa Pesa ya Usajili Msimu huu Kwanza ile Bilion 67 irekodiwe na itambulike rasmi Kama ni Mkopo anaidai...
8 Reactions
70 Replies
3K Views
Mtasema yote au tutasema yote sijui mara Mangungu mara try again mara tajiri kibyongo Mo Dewji mara rafiki yangu na mtani wangu wa Kiha Kocha Matola mara sijui Mtani wangu mwingine wa Kihaya...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Kwamba ndio italeta usawa kwenye ligi,hapana nakataa. Yapo mengi tu ya kurekebisha yanayokiukwa kuleta usawa badala ya kulazimisha wenzenu wakaungua na jua eti huo ndio usawa.Huo usawa roho...
1 Reactions
2 Replies
315 Views
Ni Tamko laTajiri Namba Moja Tanzania Ubaya ubwela season 2
4 Reactions
95 Replies
4K Views
Kama kuna wachezaji ambao ilituuma kuondoka Simba basi ni hawa wafuatao, Deo Njohole, marehemu Method Mogella ‘Fundi’, marehemu Hamis Gaga Gagarino, Zamoyoni Mogella let alone akina Chuji, Chama...
4 Reactions
11 Replies
691 Views
Klabu ya Simba Sc imetozwa faini ya jumla ya Tsh milioni tatu kwa makosa matatu waliyoyafanya katika mchezo namba 184 wa Derby ya Kariakoo dhidi ya Yanga Sc uliomalizika kwa Yanga Sc kushinda 2-0...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Hakuna mchezaji yoyote wa kigeni mwenye uwezo wa kumshinda Yahya Zayd, kiungo fundi kabisa wa chini, hakuna hakuna hakuna, Mkimsajili Yahya Zayd nitaamin mko serious Ila zingatien aliyowaambia...
2 Reactions
5 Replies
626 Views
"Messi ametengeneza njia yake, mimi nitaitengeneza yangu." Hayo ni maneno ya Lamine Yamal, nyota chipukizi wa FC Barcelona, mara baada ya kutangazwa rasmi kuwa atavaa jezi namba 10 — jezi maarufu...
0 Reactions
42 Replies
2K Views
Msimu wa 2025/26 unakaribia kwa kuanza, lakini jambo la kushangaza ni ukimya wa mfadhili mkubwa wa Simba SC, Mohammed Dewji (Mo Dewji). Mashabiki wengi wa Simba wanajiuliza, ni kipi kipya Mo Dewji...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Anaandika Mhe. Hamisi Kigwangwala “Kama ni kudaiana tu, tena bila mikataba, basi na sisi wana @SimbaSCTanzania tunamdai mwekezaji pesa nyingi sana!” “Tulimtaka aweke bilioni 20 kwenye account...
28 Reactions
88 Replies
5K Views
Wazee,kama kuna mpenzi wa mashindano ya baiskeli, naomba anijuze wapi ya mwaka huu 2025 ni live(king'amuzi gani). Hata Livestream nimetafuta hamna kitu.
0 Reactions
0 Replies
211 Views
Mnajitia sifa kusajili wachezaji kumbe huku nyuma mnadhulumu akina Prince, ni basi tu timu yetu ya Msimbazi haina viongozi ndio maana utopolo wanatamba.
2 Reactions
6 Replies
706 Views
"Niwaombe tu Baadhi ya vijana wenzangu ambao ni Waandishi wa Habari .. Mtu anapokupa stori Yoyote kuhusu yangasc.. Ni Vyema Ukanipigia kwanza ili UBALANCE kisha ndio uandike Kilichotokea Leo kwa...
3 Reactions
0 Replies
710 Views
Ameyasema hayo baada ya kukutana kocha wa Fadlu daviskwa Mazungumzo ya kuboresha kikosi kwa msimu Ujao Ubaya ubwela Season 2 tutapiga tuue
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Transfer News Live👇👇 Muda wowote kuanzia sasa Kocha wa Al Hilal Florent Ibengé (63) atatangazwa kuwa kocha mkuu wa Azam FC. Muda huu Ibenge yuko nchini kukamilisha taratibu zote✍️ Maisha ya...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Mwanasheria wa Yanga, Simon Patrick, ametoa ufafanuzi juu ya umiliki wa mchezaji Yusuf Kagoma baada ya mazungumzo marefu na klabu ya Singida Fountain Gate. Patrick alisema, "Tulianzisha maongezi...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Uwanja wa Mkapa ulijengwa kwa ushirikiano wa Serikali ya #Tanzania na #China, mpango uliopo mezani ni mchakato wa ujenzi wa uwanja mwingine wa kisasa ambao Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu...
9 Reactions
63 Replies
6K Views
Back
Top Bottom