Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

"Kwa hiki kichapo cha jana cha PSG wakulaumiwa ni Mangungu tu. Kwa nini aliwauza Messi na Mbappe? Huyu Ngungus ni wa kunyongwa tu". Ameandika Msemaji wa zamani wa Vilabu vya Simba na Yanga Haji...
1 Reactions
2 Replies
574 Views
Niseme tuu kuwa matokeo ya mchezo wa jana yalinihuzunisha sana. Miungu ya mpira ilishindwa kumzawadia PSG kombe pamoja na kwamba mchoni pa wengi ndio ilikuwa timu bora. Mpira ni magoli, Chelsea...
3 Reactions
5 Replies
712 Views
Timu ya mpira wa kikapu ya phoenix Suns imekamilisha dili la kumuuza nyota wao Kevin Durant [power forward] kwenda katika timu ya Houston Rockets. Kevin Durant ataungana na wakali kama Jalen...
0 Reactions
2 Replies
336 Views
3 weeks clean, phew! [emoji28] The urge is real but nimepambana kushindana nayo. I’m actually not happy, ila I feel I’m getting my old self back. I’m glad some good few people in here reached...
6 Reactions
18 Replies
6K Views
Napenda kutoa ushauri kwa Kitengo cha Masoko/Uhamasishaji cha Klabu ya Yanga kuhusu fursa ya kuongeza mapato ya klabu na kuimarisha ushirikiano na mashabiki walioko ndani na nje ya nchi kupitia...
2 Reactions
2 Replies
431 Views
Wakuu, Wekeni utabiri wenu kuelekea mechi hii PSG wanasema hakuna mtu kulibeba inawezeka kirahisi hivyo? Mechi ya fainali ya Kombe la Dunia kwa Vilabu kati ya Chelsea ya England na Paris...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa wale wanasimba. Msimu wa 24/25 kuna mambo yametokea ambayo wanasimba wamedhurumiwa kwa nguvu. 1. Simba waligoma kucheza mchezo wowote hadi wahuni waliosababisha vurugu kuelekea mechi ya...
4 Reactions
8 Replies
596 Views
Vote for your best player, youngster, goalkeeper and coach. For the 2024-25 World Footballers Award.
1 Reactions
12 Replies
704 Views
Mambo vipi wadau! Leo ni siku ya kipekee kwani tunasubiri fainali ya FIFA Club World Cup 2025 kati ya Chelsea na Paris Saint-Germain (PSG) itakayochezwa saa nne usiku (10:00pm EAT) kwenye dimba...
13 Reactions
473 Replies
20K Views
Kampuni ya JAYRUTTY imeshinda tenda ya zabuni ya utengenezaji na usambazaji wa jezi za Simba SC. Klabu ya Simba imesaini mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya Bilioni 38,120,400,000 na Kampuni...
19 Reactions
153 Replies
12K Views
Kwamba huyu Bwana ndo star wetu..! Kwamba tukiwa tunajisifia eti Sisi ndo sisi huwaga tunamtaja na yeye ... Kwamba alivyokuwa kwetu Panga pangua humuachi kikosi cha Kwanza...! Sasa Unaambiwa...
16 Reactions
132 Replies
6K Views
Mimesoma chapisho lake kwenye mtandao wa Instagram akizungumzia uhamisho wa Kennedy Musonda aliyekuwa mchezaji wa club ya Yanga ambaye kwasasa katimkia timu moja huko Israel. Maswali...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Wazee wetu walioshiba makande wameendelea kuongeza mgogoro ndani ya timu yetu, hawaoni shida ndani ya timu yetu, wanaona kufika fainali kombe la losers ni mafanikio makubwa ndani ya timu yetu...
0 Reactions
5 Replies
651 Views
Barua hii imfikie waziri wa wizara yetu pendwa ya SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO Mh. Paramagamba Kabudi Kwanza napenda kuipongeza serikali chini ya Mh. Rais Samiah Suluhu kupitia Wizara ya michezo...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Yanga inaweza kuwa na msimu mbaya kuliko mingine yote katika historia yake tangu kuanzishwa kwakwe.. Nimetumia neno INAWEZA kwakuwa bado ina nafasi ya kufanya jambo Rangi, maumbo na michoro...
41 Reactions
434 Replies
29K Views
Karibu katika mikiki ya NBC PL ambapo leo majira ya saa 10kamili jioni pale katika dimba la kumbukumbu ya Rais wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ally Hassain Mwinyi,wenyeji...
8 Reactions
337 Replies
17K Views
Majigambo kila Kona ya Dunia
0 Reactions
128 Replies
10K Views
hebu tuangalie utabiri wa mechi ya YANGA SC dhidi ya SIMBA SC tarehe 25 Juni 2025 saa 10 jioni, kwa kutumia numerology – sayansi ya kiroho ya namba, ambayo huangalia msingi wa namba ya tarehe...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Labda niwaambieni tu Uongozi wa Simba SC kuwa Rais mpya wa CAF Bwana Patrice Motsepe haungwi (hakuungwa) Mkono na Rais wa TFF Bwana Wallace Karia ambaye inajulikana alikuwa ni Mtu wa aliyekuwa...
14 Reactions
40 Replies
6K Views
Mtoto wa mzalendo wa mchezo wa riadha mzee John Stephen Akhwari aitwaye Rogath John Stephen ajitosa kuwania urais wa shirikisho la riadha Taifa (RT), ni kocha wa riadha wa jeshi la polisi kwa mkoa...
0 Reactions
5 Replies
444 Views
Back
Top Bottom