WALE MLIOMPENDA YAKOUB WETU MECHI ZA TAIFA STARS
UKWELI SIMBA BADI HAWAJAMLIKI
JANA JKT WAMETOA SIKU SABA SIMBA KUKAMLISHA AHADI ZAOO
IKIWEMO KUMALIZIA MALIPO NA KUWAPA WACHEXAJI WATATU TOKA...
Young Africans [emoji1241] na Utaratibu wao ule ule.
Baada ya kuwasimanga wapinzani wao Simba Sc kwenye jezi zao za msimu uliopita wakiweka namba 5 baada ya kuwafunga mabao 5-1, msimu huu...
Sijajua ni kwanini kwenye kubuni jezi mnawaza kuhusu mapambio utafikiri ni nguo za fasheni vile. Mara maghorofa, mara kuweka watu na safari hii jezi zimeharibiwa na kuwaza UCCM na kuwaza Simba...
Kwann tunune,
Kwanini tukasirike,
Kwanini tuwe na huzuni.
Wazanzibar tumefurahi
Note kuna Wazanzibar na Wazanzibara.
Ata sisi Wazanzibar tungependa kuona timu zetu katika mashindano ya CAF FiFA...
Leo Yanga SC wameichangia CCM ambayo ndiyo inatengeneza Serikali Wapumbavu, Washamba na Wanafiki wote mmekasirika mbona hiyo hiyo Serikali inayoundwa na CCM ikiipa Yanga SC msaada wa Ndege kwenda...
Pole alituibia mbinu 1 ya ushindi wa Chama chetu ni kuwa NIDA zote zipo kwenye mfumo wa tume na zimefanya tushinde hata kabla ya uchaguzi
Kwanini lakini walisahau kuiunga Taifa stars kwenye huu...
PAMOJA tumeandaa CHAN na PAMOJA tukawa namba 1 kwenye Makundi kadhalika PAMOJA tumetolewa Robo, Tumeaibika PAMOJA!
Hii imekuwa Aibu kubwa kwa Jumuiya ya Africa mashariki
Ahsanteni sana
Klabu ya Yanga Sc leo imeingia mkataba wa miaka mitatu na kampuni ya Haier wenye thamani ya shilingi bilioni tatu, haier watakaa kwenye bega la kushoto jezi ya Yanga kwa misimu mitatu.
Je...
Leo tuangazie adui wa maendeleo kwa watu wa rika zote anayejulikana kama aviator na maarufu kwa jina la Kandege. Mchezo huu umegubikwa na siri nyingi sana na ambazo wenye betting sites wamekuwa...
Itoshe kusema Afrika mashariki mliongoza group za CHAN ni kwa bahati na kimaajabu tu, leo hii mumeona kilichotokea.
Wengine wakasema sijui Afrika mashariki mnatimu imara kwa wachezaji wa ndani...
Hili swali huwa najiuliza sana toka nilivyosikia azam wamemlipa fei toto bilioni. Na mshahara wa milioni 50 sijui milioni 40 kwa mwezi ?
Kwa kumtazama toka nimemjua Fei toto , kwenye mechi ngumu...
Ukweli usemwe mapema, tusifiche mambo. Kukua kwa soka letu kunahitaji misingi imara ya uongozi ndani ya chama cha soka.
Matunda ya soka tuliyonayo sasa ni matokeo ya uongozi imara wa TFF kipindi...
Sijukama niandike kwa English au Kiswahili anyways, nadhani niende Kikongoman ,
Hivi Majirani wa Kenya Mpo hapa nataka tuzungumze masuala na Mupira kidogo, Maana sisi wa Tanzania Hatujuagi Mpira...
CHAN 2024 β Robo Fainali
πΉπΏ Tanzania vs Morocco π²π¦
π Uwanja wa Mkapa, Dar
β° Saa 2 Usiku
Tanzania kwa mara ya kwanza tumefika robo fainali ya CHAN.
Morocco ni mabingwa mara mbili (2018 & 2020)...
Kuelekea mchezo wa michuano ya CHAN kati ya Taifa Stars dhidi ya Morocco utakaochezwa leo Agosti 22, 2025 katillka dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam, Mkuu wa mkoa huo Mhe. Albert Chalamila...
Hii ndio hali halisi ya Watanzania kwa sasa kutokana na yanayoendelea Nchini mwao
Wengi wanaiombea Dua njema Morroco ili iiondoe Nchi yao kwenye CHAN.
Tulipowahoji kwanini wanasaliti Nchi yao...