CHAN 2024 – Robo Fainali
🇹🇿 Tanzania vs Morocco 🇲🇦
📍 Uwanja wa Mkapa, Dar
⏰ Saa 2 Usiku
Tanzania kwa mara ya kwanza tumefika robo fainali ya CHAN.
Morocco ni mabingwa mara mbili (2018 & 2020)...
Kuelekea mchezo wa michuano ya CHAN kati ya Taifa Stars dhidi ya Morocco utakaochezwa leo Agosti 22, 2025 katillka dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam, Mkuu wa mkoa huo Mhe. Albert Chalamila...
Hii ndio hali halisi ya Watanzania kwa sasa kutokana na yanayoendelea Nchini mwao
Wengi wanaiombea Dua njema Morroco ili iiondoe Nchi yao kwenye CHAN.
Tulipowahoji kwanini wanasaliti Nchi yao...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, Agosti 22, 2025 ametangaza motisha ya Shilingi milioni 20 kwa wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kuelekea mchezo wa robo fainali...
Mchezo wa Robo fainali kati ya Kenya na Madagscar umemaliza kwa magoli 1-1 na sasa kinachosuburiwa ni muda wa ziada (Extra time) yaani dakika 30 za hatma baada ya hapo itakuwa mikwaju ya penalty...
Hovyo kabisa Kocha Hemed Suleiman Morocco yaani unaona kabisa Sopu na Nado wameshachoka na wanarukaruka tu Uwanjani unawaacha hadi dakika ya mwisho. Fei Toto alikuwa akifanya nini zaidi ya...
1. Sina wa kumlaumu kwa sababu mwenyezi Mungu asingekubali 'mitume' idhalilike kwa rangi nyeusi.
2.Sina wa kumlaumu mpira mwingi umepigwa na Stars leo isipokuwa rangi ya 'mitume' nuksi
3.Sina wa...
Yanga msimu huu inakumbana na changamoto kadhaa ambapo kubwa zaidi ni kuanza maisha mapya bila mchezaji aliyekuwa na mchango mkubwa ambaye Khalid Aucho. Kwangu mimi huyu ndiye alikuwa ndiye mwamba...
Kwenye Mada moja kwa moja,
Tukubali kuwa kilichotokea leo ni matumizi ya Brain, tukubali tukutae matumizi ya Brain kwa wachezaji wetu ni KIDOGO sana mfano Coach unamtoa Kagoma anaingia SAADUNI...
Nina furaha sana..
Tanzania ingeshinda basi sisi wengine tusingepumua ..
Sifa zote angepewa mama..
Kila kona tungesikia mama mama...
Halafu sisiemu wangetumia pia hii kama karata yao kuongezea...
Hongera sana kwa wana haki popote pale nchini Tanzania.
Leo ilikuwa ni Haki vs Dhulma na uonevu.
Upuuzi na ushamba umeshindwa ila endeleeni kukaza mafuvu.
Nmejipatia tsh 1,200,000 baada ya kubet na jamaa yangu mmoja mwana CCM ambaye aliniambia leo piga ua T. Stars inashinda. Iwe isiwe. Nami nikasema haitoshinda. Nimefanikiwa kushinda mimi.
Tsh...
1. Kiungo Yussuf Kagoma nawashauri Simba watafute kiungo mwingine wa chini vinginevyo msimu unaokuja mtakuja kulia, mechi na RS Berkane alikula red card akawakosesha ubingwa huku kwenye CHAN mechi...
Umofia Wadau!
Group A:
i). Kenya
ii). Morocco
Kenya itacheza na Madagascar hapa Kenya ina uhakika wa kucheza nusu Fainali.
Ila kwa upande wa Timu yetu ambayo kiukweli Coach hajui kupanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.