Kama ulishawahi kutazama game zake either physically au online bila shaka utakiri huyu jamaa ni mchawi kama sio jini kabisa.
Jamaa anakufunga anavyotaka yeye, yani kuna ile game unaona kabisa...
Nyie mnaoamini
Maisha ni pesa kuna mbinu zaidi ya pesa
CHAN imenifundisha mengi sana nisidharau mtu sababu ya pesa
unaweza ukaahidiwa mamilioni ukaishia kupata history ulikuwepo CHAN
Nimewaza...
Anayecheza pale ni Rais Samia au Chama Cha Mapinduzi? Hivi ni kwanini kila Kukicha tu Akili za baadhi ya Watanzania zinazidi tu kwenda mrama na kutia Aibu? GENTAMYCINE naweza kuwa kweli sipendezwi...
Nimeona jezi za Simba alizitengeza diadora zikiwa mbaya mno.
Nina wasiwasi kama kweli jayrutty alitwambia ukweli kama diadora ndo atakuwa na mashirikiano nae ili wazalishe jezi Bora
Diadora ni...
Jezi mpya ya ugenini ya Yanga iliyozinduliwa leo imeandikwa “Walisepa 08.03.2025”
Huu ni utoto wa hali ya juu. Wameweka makusudi ili kuwavutia mashabiki wao wanunue jezi hizo ambazo kimsingi sio...
liyekuwa gavana wa kaunti ya Nairobi, Mike Mbuvi Sonko, anataka mechi ya robo fainali ya CHAN kati ya timu ya taifa ya Kenya na Madagascar irudiwe.
Katika ombi aliloliwasilisha mbele ya bodi ya...
WALE MLIOMPENDA YAKOUB WETU MECHI ZA TAIFA STARS
UKWELI SIMBA BADI HAWAJAMLIKI
JANA JKT WAMETOA SIKU SABA SIMBA KUKAMLISHA AHADI ZAOO
IKIWEMO KUMALIZIA MALIPO NA KUWAPA WACHEXAJI WATATU TOKA...
Young Africans [emoji1241] na Utaratibu wao ule ule.
Baada ya kuwasimanga wapinzani wao Simba Sc kwenye jezi zao za msimu uliopita wakiweka namba 5 baada ya kuwafunga mabao 5-1, msimu huu...
Sijajua ni kwanini kwenye kubuni jezi mnawaza kuhusu mapambio utafikiri ni nguo za fasheni vile. Mara maghorofa, mara kuweka watu na safari hii jezi zimeharibiwa na kuwaza UCCM na kuwaza Simba...
Kwann tunune,
Kwanini tukasirike,
Kwanini tuwe na huzuni.
Wazanzibar tumefurahi
Note kuna Wazanzibar na Wazanzibara.
Ata sisi Wazanzibar tungependa kuona timu zetu katika mashindano ya CAF FiFA...
Leo Yanga SC wameichangia CCM ambayo ndiyo inatengeneza Serikali Wapumbavu, Washamba na Wanafiki wote mmekasirika mbona hiyo hiyo Serikali inayoundwa na CCM ikiipa Yanga SC msaada wa Ndege kwenda...
Pole alituibia mbinu 1 ya ushindi wa Chama chetu ni kuwa NIDA zote zipo kwenye mfumo wa tume na zimefanya tushinde hata kabla ya uchaguzi
Kwanini lakini walisahau kuiunga Taifa stars kwenye huu...
PAMOJA tumeandaa CHAN na PAMOJA tukawa namba 1 kwenye Makundi kadhalika PAMOJA tumetolewa Robo, Tumeaibika PAMOJA!
Hii imekuwa Aibu kubwa kwa Jumuiya ya Africa mashariki
Ahsanteni sana
Klabu ya Yanga Sc leo imeingia mkataba wa miaka mitatu na kampuni ya Haier wenye thamani ya shilingi bilioni tatu, haier watakaa kwenye bega la kushoto jezi ya Yanga kwa misimu mitatu.
Je...
Leo tuangazie adui wa maendeleo kwa watu wa rika zote anayejulikana kama aviator na maarufu kwa jina la Kandege. Mchezo huu umegubikwa na siri nyingi sana na ambazo wenye betting sites wamekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.