Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Azam FC wanachofanya ni kiburi cha pesa ambacho hakina tija yoyote kwao. Tangu usajiri wa Feisal ufanyike, Azam FC imeendelea kua msindikizaji Katika mashindano ya ndani na hata Yale ya...
2 Reactions
9 Replies
195 Views
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally ametanabaisha kwamba siku ya Simba (Simba Day) Jumamosi Agosti 8, 2026 ataingia Uwanjani kwa namna ya tofauti ambapo ataingia kwa kupaa na ungo.
2 Reactions
31 Replies
407 Views
Ni vile tu watu hupenda michezo na hakuna mishe za kuwapa watu ubusy ila mvuto unapungua si kwa wasanii,wala timu halikwa
4 Reactions
15 Replies
333 Views
Kuna nyakati chache katika historia ya soka ambazo dunia haichagui kwa kura, bali inakubaliana kimya kimya. Hakuna mkutano unaoitishwa, hakuna tangazo linalosomwa, lakini macho ya mamilioni ya...
2 Reactions
7 Replies
278 Views
Hakyanani uliyetengeza Jezi za Yanga SC safari hii umewatafutia tu Yanga matatizo mitaani. Sasa zinitwa Jezi Mimba.
2 Reactions
3 Replies
202 Views
Halafu kwanini kila anayezivaa hizi Jezi hasa akiwa ni Mwanaume anaonekana kama vile ana Mimba? Kulikoni tena?
4 Reactions
11 Replies
343 Views
Viwango vipya vya ubora wa klabu za Afrika (CAF Clubs' Ranking) msimu wa 2026/27 vinaonyesha Simba SC ikiwa nafasi ya 11 kwa alama 38, huku Yanga SC ikishika nafasi ya 12 kwa alama 35. Azam FC...
7 Reactions
24 Replies
723 Views
Mabingwa wa NBC mara 5 Mfululuzi Yanga SC leo wanafanya Mkutano wao Mkuu wa Mwaka na Uchaguzi , katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki, . Na mojawapo ya Ajenda kuu ni Uchaguzi wa kuchagua viongozi...
3 Reactions
4 Replies
351 Views
Umekuwa kocha wa timu za miguu za wanawake kwa miaka mingi sana.Umefanya mengi mazuri,lakini uwezo wako na ujuzi wako umefika upeo,inatosha.Jiuzulu aje mwingine ajaribu na yeye,huna jipya,angalia...
3 Reactions
14 Replies
235 Views
Kwa mujibu wa Mwandishi Lorenz Köhler amesemea kuwa kiungo mshambuliaji Neo Maema anatarajiwa kurejea Simba SC kwa mkopo akitokea Mamelodi Sundowns kwa msimu wa 2026/27. Simba SC na Mamelodi...
2 Reactions
11 Replies
354 Views
Kuna tafsiri ambayo wana Simba SC Tanzania wanayo kwa Mwenyekiti wa Klabu yao MURTAZA MANGUNGU na kuna tafsiri wana Simba wanayo kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi CRESENTIUS MAGORI. Bahati...
6 Reactions
35 Replies
812 Views
Tanganyika na Zanzibar wanacheza huko. Lakini kwenye screen wameandika Zanzibar na Tanzania bara. Sijui ni kwa nini wasiandike tuu Tanzania bara Vs Tanzania visiwani
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Wachimba Dawa FC ni timu hodari kwa kujisaidia haja kubwa kwenye viwanja vya watu. Tarehe 12 August, 2026 ndiyo ile siku ambayo rekodi ya timu kufungwa mabao double digit itaandikwa. Najua humu...
1 Reactions
27 Replies
389 Views
Mashabiki wa Klabu ya Simba wa Tawi la UWASINYA lililopo katika Kata ya Nyarugusu, Halmashauri ya Wilaya ya Geita Mkoani humo, katika kuelekea Msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC), wamesherehekea...
2 Reactions
4 Replies
238 Views
Gwiji wa soka duniani, Luis Figo, ametoa mashambulizi makali dhidi ya Rais wa Shirikisho la Soka la Duniani (FIFA), Gianni Infantino, akimtaka aondoke madarakani mara moja akidai uongozi wake...
1 Reactions
1 Replies
151 Views
Droo ya raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) na Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) msimu wa 2026/27 inatarajiwa kupangwa leo Agosti 6, 2026, katika makao makuu ya CAF jijini Cairo...
2 Reactions
8 Replies
435 Views
ASANTE GSM, ASANTE BILIONEA! 💚💛 Straika bora Afrika, Peter Shalulile, sasa ni mali ya Wananchi. Nguvu mpya safu ya ushambuliaji. Karibu nyumbani, Shalulile! 🔥⚽ ============ Yanga SC...
10 Reactions
53 Replies
2K Views
Baada ya uongozi wa Try Again na Mangungu kusuasua na timu Kufanya Vibaya kitaifa na kimataifa na kua zinafanyika Sajili mbovu na za kipigaji kuletwa wachezaji wasio na Uwezo, kama Pah Omar Jobe...
4 Reactions
33 Replies
499 Views
Mlianza kuisapoti Portugal ya Pimbi Christiano Ronaldo ilipotolewa haraka sana mkahamia kwa England na Keane na walipotolewa haraka sana mkahamia kwa Haaland na Norway yale nao walipotolewa...
10 Reactions
57 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…