Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Huu ujinga serikali ikemee. Yanga ni team ya Taifa. Kwa nini watu watumike kuibagaza na kuibananga namna hii? Hili shoga limevaa jersey ya Yanga linfurahia kama ambavyo huwa yanavaa za CCM.
1 Reactions
4 Replies
550 Views
Klabu ya Yanga inatarajia kukipiga dhidi ya Bandari FC kutokea nchini kenya katika uwanja wa Benjamin Mkapa leo Septemba 12, 2025 katika kuadhimisha siku yao ya Mwananchi. Yanga yauza tiketi...
9 Reactions
288 Replies
13K Views
Niliangalia matamasha ya simba day na yanga day ya mwaka huu nikaendelea kushuhudia kitu ambacho nilidhani hakikupaswa kufanyika kutokana na ukubwa wa vilabu hivi kwa sasa na umaarufu wa matamasha...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Full name: Juventus Football Club S.p.A. Nickname(s): [La] Vecchia Signora (The Old Lady) Founded: 1 November 1897 (as Sport Club Juventus) Ground...
11 Reactions
4K Replies
277K Views
Kuna watu wamempigia chapuo huyu Pacome, mara sijui anastahili uMVP mara hivi, cha kushangaza huyu jamaa aliitwa timu ya taifa kwa mara ya kwanza katika mazingira ya kutatanisha akiwa majeruhi...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Suala la mashabiki wa Simba kuzomea wakati Rais akitoa salam katika tukio la Simba day Watanzania wameamka hawapo hapa kupumbazwa, watu wanataka haki katika sura mbalimbali Yaani tukio la leo...
21 Reactions
94 Replies
6K Views
Jana, Yanga walitangaza kuwa tiketi 4,000 bado zilikuwepo kuuzwa, jambo ambalo linashangaza kwani si Rais wa Yanga kuuza tiketi 4,000 kwa muda mfupi sana. Leo, tukio limeonekana kama full house...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Waziri wa Ardhi Deogratius J. Ndejembi leo katika kilele cha wiki ya mwananchi katika dimba la Benjamin Mkapa amaekabidhi hati kwa klabu ya Yanga ili waweze kujenga uwanja wao pale Jangwani
2 Reactions
1 Replies
453 Views
Wadau wote wa soka hapa ndo penyewe. Tupia kijembe chako hapa mtani akose amani. Simba au Yanga ni nani kiboko?.
2 Reactions
13 Replies
435 Views
Kwa mashabiki wote wa Yanga mtakaojitokeza kwenye tamasha lenu la siku ya Mwananchi tarehe 12/09/2025 hakikisheni huyo mtu niliyemtaja hapo juu akivamia shughuli ya utambulisho wa wachezaji...
47 Reactions
83 Replies
3K Views
Yaani hawa utopolo hawana cha ajabu hata, ukute wanasubiri kwenda kuitikia salamu za mama ndo wanachoweza Mtaani kumepoa sana leo, ila wasijipe moyo kutushtua Mnyama ni mnyama Wanyama tulimaliza...
2 Reactions
11 Replies
595 Views
GT Jana lilikuwa ni bonge la suprise CCM hawakutegemea kabisa walidhani simba wamesombwa ķwa malori kufika taifa. Sasa ili kufuta makosa kesho camera man ataonyeshwa angle ya kuweka camera yake...
4 Reactions
16 Replies
937 Views
Duh nideclare interest ni kwamba kazi ipo sana tu Fadlu kulikua na haja gani ya kuchezesha wachezaji nafasi ambazo sio zao kiasili chasambi full back???? Hamza no 6 seriously??? Kwamba hakukua na...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Hawa tunapaswa kuwatandika si chini ya bao 3. Ni team ambayo ipo nafasi ya chini kwenye ligi yao. Ni kipimo kizuri cha kutupatia ushindi na kutuchangamsha.
2 Reactions
15 Replies
537 Views
Carpe Verde ni kisiwa kilichopo kwenye Bahari ya Atlantiki, magharibi mwa pwani ya Afrika, likiwa ni taifa dogo lenye wakazi wapatao 600,000. Juzi kati Cape Verde aliifunga Cameroon mabingwa wa...
2 Reactions
15 Replies
866 Views
Wanasimba jana wamefanya tukio ngumu sana ni mara baada ya msigwa kumtwangia simu mgombea urais wa CCM Samia watu waligoma kabisa kuitikia salamu ya mgombea huyo. Kwangu ni jambo zuri sana tuko...
7 Reactions
20 Replies
742 Views
Nimetoka kuangalia clip ya Rais wa Yanga Hersi Said akisema wameingia mkataba na kampuni ya Artificial Intelligence inayoitwa Blackbird AI. Kwa maelezo yake anasema mkataba huu ni kwa ajili ya...
3 Reactions
4 Replies
740 Views
Back
Top Bottom