Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Nimetoka kuangalia clip ya Rais wa Yanga Hersi Said akisema wameingia mkataba na kampuni ya Artificial Intelligence inayoitwa Blackbird AI. Kwa maelezo yake anasema mkataba huu ni kwa ajili ya...
3 Reactions
4 Replies
740 Views
Imeamriwa kuwa watu wapewe jersey bure na pia kiingilio kiwe bure na au mchango mdogo. Tunashukuru sana Viongozi kwa upendo wao kwa wanayanga.. Soup tu ndo naona kama imecheleweshwa. Tungepata na...
3 Reactions
3 Replies
442 Views
Hivi kulikuwa Kuna ulazima Gani wa nyinyi kubadili mfumo wa hiyo app yenu? Sasa hivi hakuna kitu watu wanaangalia kwa Raha, imekua kero na wasumbufu, jiangalieni! ==== Maoni ya wadau wengine...
1 Reactions
8 Replies
746 Views
Kuna kitu kilichokuwa kimekosekana nchini.. Furaha ya kweli, Furaha ya asili Furaha halisi Furaha at free will..! Furaha ya hiari Watu Leo wamerindima na kufefea vibe kama lote toka moyoni...
12 Reactions
31 Replies
2K Views
Yaani sitani Yanga wakiingiza mambo ya siasa nitachoma jezi palepale wakae wakilijua hilo naamini sitokuwa peke yangu tutakuwa wengi
0 Reactions
1 Replies
213 Views
Katika mkutano mkuu wa mwaka, thamani ya club ya Yanga imewekwa wazi kuwa ni billions 100 Yanga wanajiendesha Kisasa na uwazi kabisa, Yanga imekuwa ikifanya mikutano ya mwaka Kwa uwazi na kusoma...
11 Reactions
176 Replies
6K Views
Mfululizo wa Makala zangu za SIKU HAZIRUDI NYUMA. Hapa namaanisha kile kikosi Shababy kabisa cha Cameroon. Mguu wa shingo mguu wa Roho. “golden generation” ya Cameroon iliyotikisa dunia kwenye...
1 Reactions
0 Replies
293 Views
Huyu jamaa ukiacha vimashuti uchwara na damu ya kukubalika kama binadamu hakuna mchezaji wa maana pale..ni wale wachezaji wa nyakati kadhaa tu. Mudathiri Yahya , Yahya zaidi, na wengine wengi ni...
7 Reactions
9 Replies
837 Views
“Wananchi kesho mtaona ladha ya kiutofauti kutoka kwetu. Tumepata kocha mpya ambaye amekuja na mbinu zake. Wachezaji wetu tupo nyuma yake kuhakikisha tunafanyia kazi kila mbinu ambayo...
0 Reactions
0 Replies
235 Views
Kuelekea siku ya Mwanachi day, dondosha neno moja bila kusahau LIKES chama lipate nguvu na amsha amsha. Unyonge mwiko kwetu, uzi tear...
2 Reactions
10 Replies
364 Views
Kama nilivyoeleza Jana nimepata zari la kulipia takribani dollars 360 kupata tickets A67 ya kuingilia kuchek UEFA Final Asante kwake Mr, Richardson's betting centre wa mtaani wangu Odessa kwa...
6 Reactions
51 Replies
6K Views
Hii ni siku maalum kwa mashabiki, na wanafamilia wote wa Simba SC Club kuitazama timu yao baada ya mapumziko ya muda/pre season ili kujiandaa, kufanya usajili bora na kufanyia maboresho baadhi ya...
12 Reactions
220 Replies
10K Views
Soma pia: Yanga wanapitia maumivu makubwa sana juu ya fainali si kwa furaha hii ya muungano cup... Shabiki wa Klabu ya Simba aliyejitokeza hapa kwa mkapa anasema maumivu ya kukosa ubingwa na...
3 Reactions
7 Replies
556 Views
Kwema wakuu, natumaini ni kwema [emoji1488] Kampuni za betting hasa hizi za soka zinatumia mfumo gani kupanga odds za mechi, je ni AI inapanga kwa kupewa data za timu zitakazocheza kisha inapanga...
19 Reactions
73 Replies
6K Views
Ya akina Daniel Amokachi, Emmanuel Amunike, Babangida, Rashid Yekin, Emmanuel Okocha, Taribo West, Uche Ukwechuku, George Finidi, Sunday Oliseh, Samson Siasia, Victor Ikpeba, Peter Rufai, Peter...
5 Reactions
18 Replies
858 Views
Wiki ya wananchi kuna watu wanapenda burudani za muziki, michezo mbalimbali, lakini wapo wengine ambao shughuli hufana kwa kangalia big pambano la mpira wa miguu kwa kushuhudia big match. Sasa...
2 Reactions
8 Replies
583 Views
Club ya Tabora united Imeuzwa rasmi Na sasa itamilikiwa na Mamlaka ya Mapato Nchini TRA makao makuu Dar es Salaam Uongozi wa TRA umewapa muda wa miezi mitatu waliokuwa Viongozi wa Tabora united...
7 Reactions
35 Replies
2K Views
Sio kwamba wanacheza chini ya kiwango, uwezo wanao lakini malengo yao yapo kwenye kulinda namba zao timu zao za ulaya, huko ndiko yaliko maisha yao waliyoyawekea matumaini. Kijana wa kitanania...
0 Reactions
5 Replies
458 Views
Habari za mapumziko, Mashabiki na wapenzi wa kandanda Tanzania na East Africa kiujumla. Jana SIMBA walicheza mechi yao ya pili katika mashindano ya CAF confederation CUP na kupoteza kwa magoli...
7 Reactions
41 Replies
2K Views
Mashabiki wa Klabu ya @simbasctanzania wakisubiri kuruhusiwa kuanza kuingia Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar Es Salaam ili kushuhudia tamasha la Simba Day linalofanyika leo Septemba 10, 2025
4 Reactions
3 Replies
452 Views
Back
Top Bottom