Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

WanaSimba Wanakuja kama Mazombie kwa Mkapa🦁 Leo hadi Simba day iishe tutaona mengi sanaa 😂 😂 😂 😂
1 Reactions
5 Replies
506 Views
Uganda walipata penati kwenye mchezo wao dhidi ya Somalia, ikatokea Allan Okello na Steven Mukwala wote wakawa wanagombea kutaka nafasi ya kupiga penalti. Hivyo nahodha wao Khalid Aucho...
2 Reactions
11 Replies
840 Views
Huu msimu wa mpira unaenda kupooza kama uji wa mgonjwa. Yanga walishalijua hili ndiyo maana mambo mengi wanafanya ya hovyo bila kujali, kuanzia usajili usio na tija, jezi na hata ile milioni 100...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Shalom shalom Kwasisi watu wa Pwani tunaojua maana ya neno ubaya ubwela, tunajua uzito wa hili neno na maana yake hasa Kwenye masuala ya upande wa giza. Simba abadili msemo au aendelee kuteseka...
0 Reactions
2 Replies
264 Views
Mashabiki wa DR Congo wameharibu Uwanja wao kwa kuvunja na kurusha viti baada ya timu ya taifa kushindiliwa mabao 3-2 na Simba wakali toka hifadhi ndogo ya Wanyama ya Teranga Senegal nyumbani...
2 Reactions
3 Replies
445 Views
Habari wakuu. Kuelekea Simba day Hapo kesho 7 sep 2025 na msimu mpya wa ligi kuu ya NBC, unatamani simba sc iwe ya aina gani kiuchezaji?? Mimi kila mwanzo wa msimu, huwa natamani sana kuiona...
2 Reactions
6 Replies
449 Views
Benchi la Taifa stars kichwa cha mwendawazimu, limejaa uswahili Swahili mwingi , watu kama Julio kiwhelu , Juma Mgunda na Hemed Morocco hawafai kuwa hata wafua jezi wa timu ya Taifa .. Hao ni...
5 Reactions
12 Replies
681 Views
Kuna kichaka baadhi ya viongozi wa hovyo wa timu hii wanajificha na hakina afya kwa jamii husika ya Simba Sports Club. Simba wamefungwa na Yanga zaidi ya misimu mitatu mfululizo. Yanga wamebeba...
7 Reactions
40 Replies
2K Views
Hii ni habari ya mjini kwa sasa. Thamani ya Yanga kwa Africa ni Kubwa sana. Yanga ni team kubwa sana. Tumshukuru Hersi na ngara23 kwa jinsi wanavyoshirikiana wamefanikisha haya.
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Liverpool wamekamilisha usajili wa mshambuliaji Alexander Isak kutoka Newcastle United, wakiweka rekodi mpya ya usajili England kwa mara ya pili msimu huu wa joto. Alexander Isak ametangazwa...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Binafsi kuanzia Leo Mimi UMUGHAKA WA BHAGHAKA Nimejivua rasmi uanachama wa klabu ya Young Africans almaarufu kama Yanga! Nimekuwa shabiki wa hii timu...
8 Reactions
11 Replies
896 Views
"Mara zote huwa nawaachia wachezaji wangu wamchague nahodha wao, sikupenda kilichofanyika msimu uliopita, msimu huu nitachagua nahodha mimi mwenyewe," kauli ya kocha wa Manchester City, Pep...
2 Reactions
4 Replies
684 Views
My Take Chadomo na Haters wa SSH watanuna 😁 😁 😁 SSH hamumuwezi kadiri mnavyoleta chuki,majungu na fitina ndio mnamsafishia nyota na kuing'arisha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿...
5 Reactions
56 Replies
3K Views
Uongozi wa timu ya Tabora United umekanusha uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii ukidai timu hiyo iko mbioni kupigwa mnada hali iliyozua taharuki kwa wadau wa soka wa Mkoa wa Tabora wakidai...
2 Reactions
5 Replies
549 Views
🚨Wachezaji ambao hawana timu: 🇲🇦 Hakim Ziyech 🇩🇰 Christian Eriksen 🇯🇵 Takehiro Tomiyasu 🇨🇲 Karl Toko Ekambi 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Dele Alli Alex Oxlade-Chamberlain Patrick Bamford 🇫🇷 Wissam Ben Yedder 🇫🇷 Samuel...
2 Reactions
11 Replies
808 Views
Kwa muda mrefu, vilabu vya Simba na Yanga vimefungamana na Mo Foundation na GSM Foundation katika shughuli za kutoa misaada kwa jamii. Sina uhakika kama kuna mtu amekaa akawaza ni kwa nini hivi...
2 Reactions
1 Replies
248 Views
Mo Dewji amemrithisha kiti cha uenyekiti cha ukurugenzi Simba ndugu Cresencius Magori Magori Toka namfahamu ni mtu hana hekima ya uongozi Bali kukurupuka 1. Magori ndo alimlaumu goalkeeper...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Uongozi wa Simba umempa kocha mechi 1 ya angalizo ambayo ametakiwa kushinda ili kuendelea kubaki klabuni hapo. Endapo Simba itafanya hivyo, basi zigo la lawama atakuwa akisukumiwa Fadlu kipindi...
1 Reactions
8 Replies
744 Views
Controversial statements from French journalist Pierre Menes. "My 11-year-old son stopped playing football after just three training sessions because all his teammates were of North African and...
2 Reactions
19 Replies
979 Views
Muongo mmoja uliopita mwanaume mmoja aliamka asubuhi, ili kuhudhuria mazoezi ya klabu baada ya kukamilisha safari muhimu katika maisha yake, kutoka nchini Brazil hadi nchini Urusi. Isivyo bahati...
4 Reactions
5 Replies
757 Views
Back
Top Bottom