Uganda walipata penati kwenye mchezo wao dhidi ya Somalia, ikatokea Allan Okello na Steven Mukwala wote wakawa wanagombea kutaka nafasi ya kupiga penalti.
Hivyo nahodha wao Khalid Aucho...
Huu msimu wa mpira unaenda kupooza kama uji wa mgonjwa.
Yanga walishalijua hili ndiyo maana mambo mengi wanafanya ya hovyo bila kujali, kuanzia usajili usio na tija, jezi na hata ile milioni 100...
Shalom shalom
Kwasisi watu wa Pwani tunaojua maana ya neno ubaya ubwela, tunajua uzito wa hili neno na maana yake hasa Kwenye masuala ya upande wa giza.
Simba abadili msemo au aendelee kuteseka...
Mashabiki wa DR Congo wameharibu Uwanja wao kwa kuvunja na kurusha viti baada ya timu ya taifa kushindiliwa mabao 3-2 na Simba wakali toka hifadhi ndogo ya Wanyama ya Teranga Senegal nyumbani...
Habari wakuu.
Kuelekea Simba day Hapo kesho 7 sep 2025 na msimu mpya wa ligi kuu ya NBC, unatamani simba sc iwe ya aina gani kiuchezaji??
Mimi kila mwanzo wa msimu, huwa natamani sana kuiona...
Benchi la Taifa stars kichwa cha mwendawazimu, limejaa uswahili Swahili mwingi , watu kama Julio kiwhelu , Juma Mgunda na Hemed Morocco hawafai kuwa hata wafua jezi wa timu ya Taifa ..
Hao ni...
Kuna kichaka baadhi ya viongozi wa hovyo wa timu hii wanajificha na hakina afya kwa jamii husika ya Simba Sports Club.
Simba wamefungwa na Yanga zaidi ya misimu mitatu mfululizo.
Yanga wamebeba...
Hii ni habari ya mjini kwa sasa. Thamani ya Yanga kwa Africa ni Kubwa sana. Yanga ni team kubwa sana. Tumshukuru Hersi na ngara23 kwa jinsi wanavyoshirikiana wamefanikisha haya.
Liverpool wamekamilisha usajili wa mshambuliaji Alexander Isak kutoka Newcastle United, wakiweka rekodi mpya ya usajili England kwa mara ya pili msimu huu wa joto.
Alexander Isak ametangazwa...
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Binafsi kuanzia Leo Mimi UMUGHAKA WA BHAGHAKA
Nimejivua rasmi uanachama wa klabu ya Young Africans almaarufu kama Yanga!
Nimekuwa shabiki wa hii timu...
"Mara zote huwa nawaachia wachezaji wangu wamchague nahodha wao, sikupenda kilichofanyika msimu uliopita, msimu huu nitachagua nahodha mimi mwenyewe," kauli ya kocha wa Manchester City, Pep...
My Take
Chadomo na Haters wa SSH watanuna 😁 😁 😁
SSH hamumuwezi kadiri mnavyoleta chuki,majungu na fitina ndio mnamsafishia nyota na kuing'arisha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿...
Uongozi wa timu ya Tabora United umekanusha uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii ukidai timu hiyo iko mbioni kupigwa mnada hali iliyozua taharuki kwa wadau wa soka wa Mkoa wa Tabora wakidai...
🚨Wachezaji ambao hawana timu:
🇲🇦 Hakim Ziyech
🇩🇰 Christian Eriksen
🇯🇵 Takehiro Tomiyasu
🇨🇲 Karl Toko Ekambi
🏴Dele Alli
Alex Oxlade-Chamberlain
Patrick Bamford
🇫🇷 Wissam Ben Yedder
🇫🇷 Samuel...
Kwa muda mrefu, vilabu vya Simba na Yanga vimefungamana na Mo Foundation na GSM Foundation katika shughuli za kutoa misaada kwa jamii.
Sina uhakika kama kuna mtu amekaa akawaza ni kwa nini hivi...
Mo Dewji amemrithisha kiti cha uenyekiti cha ukurugenzi Simba ndugu Cresencius Magori
Magori Toka namfahamu ni mtu hana hekima ya uongozi Bali kukurupuka
1. Magori ndo alimlaumu goalkeeper...
Uongozi wa Simba umempa kocha mechi 1 ya angalizo ambayo ametakiwa kushinda ili kuendelea kubaki klabuni hapo.
Endapo Simba itafanya hivyo, basi zigo la lawama atakuwa akisukumiwa Fadlu kipindi...
Controversial statements from French journalist Pierre Menes.
"My 11-year-old son stopped playing football after just three training sessions because all his teammates were of North African and...
Muongo mmoja uliopita mwanaume mmoja aliamka asubuhi, ili kuhudhuria mazoezi ya klabu baada ya kukamilisha safari muhimu katika maisha yake, kutoka nchini Brazil hadi nchini Urusi. Isivyo bahati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.