:confused:Hizi ajira nyingine bana....
......hapa sijui wadau mnampata uzuri akielekeza maeneo yenye "miinuko" yatakayokuwa na mawingu, mvua za mtawanyiko wa wastani na ngurumu kiasi???...
- Heshima mbele sana wakuu, wananchi au taifa la wasiojua wanakotoka ni vigumu sana kujua wanakokwenda, ni vyema sana tukawawekea vijana na watoto wetu a brief kumbu kumbu ya wapi Africa imetokea...