Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!

On JF:

wakuu munataka kahawa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kumbukumbu jamani....
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mara nyingi watumiaji wa kilevi huenda baa wakiwa safi kabisa ila muda kadri unavyokwenda ndio na tabia zinabadilika na usipoangalia unawezakuta umeondoka na kikongwe.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeipata hii kwa mmoja wa watani zangu wangoni anauliza hapa ni kanyigo(bukoba)au mbinga(songea)
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Hata hawana aibu kutujia na mahelikopta yao wakati sisi hata maji safi ya kunywa tu shida.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ukisikia elimu ya chuo kikuu ni ngumu, fahamu kwamba siyo katika vitabu tu, ni pamoja na mambo na mitego ya kiuchozkozi kama hiiiiii! Based on true story!
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wikiendi njema wadau...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huwa najiuliza siku zote,hivi hawa jamaa adui yao ni wanaotafuta haki yao au wale wanaokandamiza na kuiba haki za wengine?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
RAY THE GREATEST
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hapo balozi wetu wa Uk akiwa na mkewe baada ya kutoka kumuona Malkia....
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Kahawa toka Kilimanjaro - soma ujumbe wake - This coffe is Dripped ................ - that's a High Quality hand picked coffee beans!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mvua zilizonyesha kwa muda wa siku 4 mfululizo zimesababisha usumbufu mkubwa kwa wakazi wa eneo la Kedah nchuni Malaysia kama inavyoenekana ktk kielelezo nichoambatanisha. Chanzo ni mimi mwenyewe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hapo Bi kidude akipokea fweza za matunzo baada ya kuumudu vizuri mduara wa juzi uliofanyika Mzalendo
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Home | Miss World Alexandria Mills, a soft-spoken 18-year-old, was named the winner in Saturday night's contest in southern China. The tall blonde was a relative surprise winner after speculation...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Maisha bora kwa kila Mtanzania. Hio ni nyumba ya mmoja wa mwanachama wetu. Mara baada ya Uchaguzi tutamjengea
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom